Lipumba amekua Mwenyekiti wa CUF miaka 26, Mbowe wa CHADEMA miaka 17, Zitto wa ACT Wazalendo miaka 7, Jumla miaka 50

Soma katiba yao kilammoja anamajukumu yake acha kulazimisha mambo zito siomwenyekiti wachama elewa au unataka kutafsiri kama bibilia?
 
Ku
Kujumlisha ulivyofanya imenishtua kwamba nasoma andiko la mjinga, acha hayo wewe.
 
If you talk about death that another reason, but for the time being, Mbowe is still the best when comparing to others, no messing around.

Above all, learn to respect decions of the majority, Mbowe's position is not a sultanate, that's the bitter pill of democracy, just take it no way out.
 
Ebu nambie ungeliweka mtu Kama Mwambe Chadema, Chadema ingelikuwepo? Hivi vyama viko katika kujijenga, wakibadirisha uongozi wa juu hivyo hovyo bila correct vetting vitakufa akija mtu Kama Magufuli.
Ni vema vikawa na tàhadhali kubwa kabla ya kubadili uongozi wa juu. Hiko chini badilisha tu....
 
Mkuu mbona hushangai ccm imeng'ang'ania miaka karibu 60 kutawala nchi hii kwani hakuna vyama vingine?
 
Inawezekana upo sahihi, ila ndiyo kunajisi definition ya demokrasia.......japo kwa upande fulani nadhani ndiye mtu sahihi zaidi maana anakautulivu sana hakurupuki sana......ila wakipewa wanaharakati wengine watavurugana
 
Vyama vinanijenga miaka 30?

Miaka 30 bado vyama havijaandaa succession plan ya kupata future leaders hadi mtu mmoja awe chairman miaka 20 au zaidi?

Kwa jicho pana la kidemokrasia, hii inarusisha nyuma demokrasia kuliko kuijenga.
 
Hizo hesabu no za kwako wewe na wakwe zako🤭🤭🤭
 
Kwanza hujui hisabati,50 inakujaje katika mantiki hii?

Kumbe CCM ndiko kumejaa maboga.
 
Inabid mbowe akabidhi kijiti kwa mwingine.
 
Kwahiyo kuanzia mwaka 1995 hadi leo ni miaka 50? Ulikuwa na hoja Nzuri lakin kwenye calculation za miaka umepuyanga.
 
Mh! Mbona naona kama unao UNAZI ndani ya chapisho leko mleta Hoja?

Zitto hajawahi kuwa mwenyekiti wa chama chochote tangia siasa cha vyama vingi ziingie Nchini.
Labda unayo Nchi yako ya kufikirika.
 
Ina maana ndani ya Chadema pale nje Mbowe hakuna mwenye uwezo wakuwa Mwenyekiti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumpe Lissu chama au Lema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…