Tetesi: Lipumba avuliwa Uenyekiti wa CUF , kuahirisha hukumu ni kuchelewesha aibu yake na swahiba wake Mutungi

Tetesi: Lipumba avuliwa Uenyekiti wa CUF , kuahirisha hukumu ni kuchelewesha aibu yake na swahiba wake Mutungi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hizi ni habari nilizopenyezewa na mtu wa jikoni kwamba Msaliti Lipumba kishaangukia pua Mahakamani , tusubiri tu hiyo Jan 15 ambayo imetajwa kusomwa hukumu ya kesi yake.

Niliwahi kumtahadharisha Francis Mutungi kwamba Maalim Seif hajawahi kushindwa na Wasaliti kuanzia Mapalala na hawa wengine lakini akapuuza , sasa kwa aibu hii anaenda kupoteza hata hii kazi ya Usajili wa Vyama vya siasa .

Mytake : Shetani hajawahi kumshinda Mungu .

A dreamer be the one  A winner be the one  A fighter be the one.jpg
 
Lipumba hivi amesoma sana akawehuka au? Mbona ma prof wa TZ ni kama machizi?

Kaandika barua mwenyewe kujiuzulu alafu saizi anang'ang'ana kurudia kiti? Aende huko Lumumba walipomsajili waanze kumpa buku saba zake na yeye.
Ushahidi huo wa maandishi na wa video umerahisisha sana maamuzi ya Mahakama
 
Hizi ni habari nilizopenyezewa na mtu wa jikoni kwamba Msaliti Lipumba kishaangukia pua Mahakamani , tusubiri tu hiyo Jan 15 ambayo imetajwa kusomwa hukumu ya kesi yake.

Niliwahi kumtahadharisha Francis Mutungi kwamba Maalim Seif hajawahi kushindwa na Wasaliti kuanzia Mapalala na hawa wengine lakini akapuuza , sasa kwa aibu hii anaenda kupoteza hata hii kazi ya Usajili wa Vyama vya siasa .

Mytake : Shetani hajawahi kumshinda Mungu .
Kwa nini tarehe ya hukumu iwe mbali hvyo? Na ww mleta mada ungekaa kimya tu.. Sasa uzi huu utasababisha jiwe aagize kabundi na bashite kufanya namna ili kubadili hukumu. Unaeza sikia jaji hajulikani alipo
 
Kwa nini tarehe ya hukumu iwe mbali hvyo? Na ww mleta mada ungekaa kimya tu.. Sasa uzi huu utasababisha jiwe aagize kabundi na bashite kufanya namna ili wabadili hukumu. Unaeza sikia jaji hajulikani alipo
Kwenye kesi hii kumbeba Lipumba ni sawa na kuamua makusudi kujinyea katikati ya soko
 
Hata akivuliwa Cuf imeshajifia zamani hawana jipya tena labda huko Zanzibar,bora hata sisi Tadea
 
Back
Top Bottom