Tetesi: Lipumba avuliwa Uenyekiti wa CUF , kuahirisha hukumu ni kuchelewesha aibu yake na swahiba wake Mutungi

Tetesi: Lipumba avuliwa Uenyekiti wa CUF , kuahirisha hukumu ni kuchelewesha aibu yake na swahiba wake Mutungi

CCM wana mikakati mirefu sana, kabla ya kuanzisha jambo kama hili wanajua changamoto na urahisi wa jambo lenyewe. Pia wanajua fika litawafikisha wapi na watakua washatimiza lengo lao kiasi gani. Lipumba alihitaji kutumika kwa kipindi fulani. Kipindi hicho itakua tayari CUF imekufa. Hata wakirudishiwa uongozi itakua ni ghorofa lilikongoroka foundation. So mshindi hapa sio CUF, CUf ni looser kwenye hili
 
CCM wana mikakati mirefu sana, kabla ya kuanzisha jambo kama hili wanajua changamoto na urahisi wa jambo lenyewe. Pia wanajua fika litawafikisha wapi na watakua washatimiza lengo lao kiasi gani. Lipumba alihitaji kutumika kwa kipindi fulani. Kipindi hicho itakua tayari CUF imekufa. Hata wakirudishiwa uongozi itakua ni ghorofa lilikongoroka foundation. So mshindi hapa sio CUF, CUf ni looser kwenye hili
Zaidi ya lipumba na Mutungi kudhalilika sidhani kama cuf imedhurika kwa lolote , mpaka sasa ina wabunge na madiwani wengi kuliko kabla ya 2015 .
 
Zaidi ya lipumba na Mutungi kudhalilika sidhani kama cuf imedhurika kwa lolote , mpaka sasa ina wabunge na madiwani wengi kuliko kabla ya 2015 .

Chief, CUF ni chama kilichopo ICU, unless kama tunataka kujifariji.
 
Tatizo watanzania tunachanganya kusoma na kuwa na pesa.. elimu haileti pesa ila inakusaidia kuipata pesa.
 
Hapo ndiyo tuamini kabisa kuwa mungu anasikiliza dua zetu wanyonge
Hizi ni habari nilizopenyezewa na mtu wa jikoni kwamba Msaliti Lipumba kishaangukia pua Mahakamani , tusubiri tu hiyo Jan 15 ambayo imetajwa kusomwa hukumu ya kesi yake.

Niliwahi kumtahadharisha Francis Mutungi kwamba Maalim Seif hajawahi kushindwa na Wasaliti kuanzia Mapalala na hawa wengine lakini akapuuza , sasa kwa aibu hii anaenda kupoteza hata hii kazi ya Usajili wa Vyama vya siasa .

Mytake : Shetani hajawahi kumshinda Mungu .

View attachment 952288
 
Ni zamu ya Mtatiro kurudi na kukomalia ukaimu
Mtatiro ameshapokonywa ubongo wake umehifadhiwa kwenye pipa la taka pale Lumumba.
tapatalk_1542714542899.jpeg
 
Naona mmekuja na uzi wa kujihami ili baadae mseme maamuzi yamegeuzwa
Ni seif kaangukia pua maana lipumba kashinda.
Subiri tamko rasmi kamanda, utalia sana.
 
Back
Top Bottom