Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kujua na masikini wa uongo na roho mbaya kati ya jiwe na mzalendo slary View attachment VID-20181201-WA0001.mp4View attachment 20181128_2151141535340.mp4View attachment 20181129_2255251724791.mp4Wenye laana kuu ni wewe na kizazi chako walahi View attachment 952328
Mbona unakimbia kimbia huku na kule siukae ujenge hoja walahi?Wenye laana kuu ni wewe na kizazi chako walahi View attachment 952328
wala hakuna walipofanikiwaKwa bara wamefanikiwa ila Zanzibar nadhani ningumu kiasi
hukumu haifutwi hata kama imevujaUnamvurugia maalim sef unwawahi kivujisha habari kabla ya tamko rasmi
Tena ni kukata kimba saa sita soko la Manispaa siku ya jumamosi mtu akiwa uchi wa mnyama ana leso tu mkononi.Kwenye kesi hii kumbeba Lipumba ni sawa na kuamua makusudi kujinyea katikati ya soko
Kwa nini tarehe ya hukumu iwe mbali hvyo? Na ww mleta mada ungekaa kimya tu.. Sasa uzi huu utasababisha jiwe aagize kabundi na bashite kufanya namna ili kubadili hukumu. Unaeza sikia jaji hajulikani alipo
Kwa bara Cuf haina nguvu tena hilo lipo wazi halihitaji utafiti,chadema imetake overwala hakuna walipofanikiwa
Ukimtupa chura umempunguzia mwendo. Siku Mahakama ikitoa hukumu dhidi ya Prof. Lipumba kesho yake atateuliwa Balozi.Haa haa haa et kumbeba lipumba sawa na kujinyea makusud sokon
kabla ya 2015 ilikuwa na wabunge wangapi na sasa ina wabunge wangapi , hata ukiondoa hao wasaliti waliojiuza ?Kwa bara Cuf haina nguvu tena hilo lipo wazi halihitaji utafiti,chadema imetake over
Tadea ni chama cha vikoba.watoto wa viongozi wastaafu ndo wamiliki wa hicho chama.Hata akivuliwa Cuf imeshajifia zamani hawana jipya tena labda huko Zanzibar,bora hata sisi Tadea
Mbona hata ss wakulima tupoTadea ni chama cha vikoba.watoto wa viongozi wastaafu ndo wamiliki wa hicho chama.
Lipumba si m/kiti ispokua amekalia tu kiti, alishajivua uenyekiti kinachotakiwa ni mahakama kumuaondoa tu kwenye kiti alichokikalia kibabe.Hizi ni habari nilizopenyezewa na mtu wa jikoni kwamba Msaliti Lipumba kishaangukia pua Mahakamani , tusubiri tu hiyo Jan 15 ambayo imetajwa kusomwa hukumu ya kesi yake.
Niliwahi kumtahadharisha Francis Mutungi kwamba Maalim Seif hajawahi kushindwa na Wasaliti kuanzia Mapalala na hawa wengine lakini akapuuza , sasa kwa aibu hii anaenda kupoteza hata hii kazi ya Usajili wa Vyama vya siasa .
Mytake : Shetani hajawahi kumshinda Mungu .
View attachment 952288
Kuna fuso zinasomba magodoro pale Buguruni , nenda kajionee anayehama .Tunahakika gani ulichokiandika ni kweli na si kwa lengo la kupre-empty uamuzi huo wa Jan?
Wenye laana kuu ni wewe na kizazi chako walahi View attachment 952328