Tetesi: Lipumba avuliwa Uenyekiti wa CUF , kuahirisha hukumu ni kuchelewesha aibu yake na swahiba wake Mutungi

CCM wana mikakati mirefu sana, kabla ya kuanzisha jambo kama hili wanajua changamoto na urahisi wa jambo lenyewe. Pia wanajua fika litawafikisha wapi na watakua washatimiza lengo lao kiasi gani. Lipumba alihitaji kutumika kwa kipindi fulani. Kipindi hicho itakua tayari CUF imekufa. Hata wakirudishiwa uongozi itakua ni ghorofa lilikongoroka foundation. So mshindi hapa sio CUF, CUf ni looser kwenye hili
 
Zaidi ya lipumba na Mutungi kudhalilika sidhani kama cuf imedhurika kwa lolote , mpaka sasa ina wabunge na madiwani wengi kuliko kabla ya 2015 .
 
Zaidi ya lipumba na Mutungi kudhalilika sidhani kama cuf imedhurika kwa lolote , mpaka sasa ina wabunge na madiwani wengi kuliko kabla ya 2015 .

Chief, CUF ni chama kilichopo ICU, unless kama tunataka kujifariji.
 
Tatizo watanzania tunachanganya kusoma na kuwa na pesa.. elimu haileti pesa ila inakusaidia kuipata pesa.
 
Hapo ndiyo tuamini kabisa kuwa mungu anasikiliza dua zetu wanyonge
 
Naona mmekuja na uzi wa kujihami ili baadae mseme maamuzi yamegeuzwa
Ni seif kaangukia pua maana lipumba kashinda.
Subiri tamko rasmi kamanda, utalia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…