LTN USU WA MADOSO
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,193
- 859
Daaaaah kazi ipo akipewa nchi si ndoo wale makotapini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shughulika na matatizo ya chama chenu chadema...nyie ya cuf yanawahusu nini mpaka mtufatilie hivyo?
Wewe inakuuma nini akishughulika na CUF?Shughulika na matatizo ya chama chenu chadema...nyie ya cuf yanawahusu nini mpaka mtufatilie hivyo?
Bonge la professor hilo, hahahahahaha
Ni kama masihara hivi , lakini umeandika jambo muhimu sana !Wamuwaishe mirembe huyu Mzee
Kama hana mke basi ni halali yake kuchanganyikiwa
Chama kipo kama jiwe, likikuangukia waumia na ukiliangukia waumia, Le prof nana kalianguk....Habari nilizozipokea mida hii ya saa nne na kama dakika 25 kutoka vyanzo vyangu vya uhakika ambavyo viko karibu kabisa na ofisi za CUF zinasema Lipumba ameingia ofisini huku akiwa na vijana zaidi ya kumi na inasemekana atalala hapo ili kuondoa usumbufu kesho asubuhi na kuanza majukumu yake ya uenyekiti mapema kabisa.
Hiki chama kinaelekea wapi?
Chama kipo kama jiwe, likikuangukia waumia na ukiliangukia waumia, Le prof naona kalianguk....
Not married? Why?It won't materialize,ni saw na kupiga penalt bila kipenga cha referee..linKuwa gori batri...sema ni vizr akajifariji ili asife kwa pressure..ukizingatia kuwa hana mke hata asipolala kwake sio mbaya
UKAWAShughulika na matatizo ya chama chenu chadema...nyie ya cuf yanawahusu nini mpaka mtufatilie hivyo?
Mtu aliechanganyikiwa na Pure mathematics kupata mke ni ngumu mana hata mke mwenyewe anaweza Dhani anaishi na zezeta ndaniunajua mkuu tuache utani kama kuna mtu anajua jamaa huyu kama ana mke au mtoto wa kusingiziwa atupe msaada kabla hatujaanza kuwaza mengine mana kituko hiki kwa mtu mwenye mke haiwezekani