Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndio profesa wa futuhiHuyu jamaa hajajiunga na kikundi fulani cha waigizaji? isijekuwa hiyo ni scene, wengine wamejikuta wanafanywa cast bila kupenda? maana siamini kama ni mambo ya kweli kabisa yanafanyika
Ccm kazi wanayohatari sana anaogopa vijana wa cufwatakuja usiku ww ngoja atatembea na polisi mda si mrefu kila mahali kwa ajili ya ulinzi
M 7?Daaaaah kazi ipo akipewa nchi si ndoo wale makotapini
Mkuu nipo natafuna kilaji kwa kusonga mbele baada ya seif sharif Hamadi kurudi nyumbani kulifukuza joka kuu lipumba....
......Mkuu upo
Muone huyo....
.....aisseehh busara ni HESHIMA
Kaamua kutuonyesha uhalisia wa maisha yake halisiKuna siku mtasikia jana kalala kwenye mtaro, msishangae fuse zimekata huyu mzee.
Hahahaaaa.......humo ndani!Vijana alioingia nao ofisini ni wa jinsia gani?
.....Mkuu nipo natafuna kilaji kwa kusonga mbele baada ya seif sharif Hamadi kurudi nyumbani kulifukuza joka kuu lipumba
Ni mnyamwezi wa kubumba huyoLabda mnyamwezi wa kichina! sijawahi kuona MTU anayeabudu njaa kama huyu!
Magamba chaliiiiiiiiiiiiii.....
......ha ha ha pamoja Mkuu ...Msome Lissu Kisutu Leo hatareee !!!