Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari ni mbaya sanaAmebeba Zana kwa ajili ya hao vijana alioenda nao? Na je atawaweza wote hao?
Wakulaumiwa ni ccm kwa kumlambisha pipiYaani anawatia aibu wasomi wote wa Tanzania,haya nyie wasomi wa UDSM mnaojisifu Chuo Kubwa mnaona product yenu inavyoleta kinyaa na kutuchafua wasomi wote wa Tanzania?
Alidai mkewe yupo ulaya anasomaNot married? Why?
ukawa inawatoa jashoCcm kazi wanayo
Professor kipensi....Bonge la professor hilo, hahahahahaha
Heri akasaidiane na Fayza Fox kulima mihogo mwana mbayahahhahha,mwanangu anataka kuwa proffessor,bora aje tulime mihogo tuu
Kadata huyoo mzee sio bureHiki sasa ni kichaa
....Hahaha...apelekewe na dawa ya mbu
....Labda mnyamwezi wa kichina! sijawahi kuona MTU anayeabudu njaa kama huyu!
Lugha nyepesi ni kua KAPOROMOKAKapanda mlima kafika keleleni,karudi chini sema tu upande wa pili...lkn yupo chini baada ya kutoka huko juu
Jamaa anatisha kwa muonekano huyoKijiji cha Kiumeni.
Muone macho yake ya kisaliti kwanzaKadata huyoo mzee sio bure
Utapewa weweHizi ndo Siasa za ipinzan Hanna mpya hapo, ndo mnategemewa mpewe nchi kwa stail hii