Tetesi: Lipumba kaingia ofisini saa 4 usiku huu,inasemekana atalala hapohapo

Tetesi: Lipumba kaingia ofisini saa 4 usiku huu,inasemekana atalala hapohapo

Kati ya hawa lipumba na maalim nani atapokea ile hela ya ruzuku?, mwenye kupokea hela ndio mwenye chama
 
Ivi kwa wenzangu waislamu nauliza mtu akipewa ualhaji anaweza kuvuliwa endapo matendo yake yataenda cyo maana naona huyu le proffeseli ni Kama alienda maka kufanya utalii tuu
 
Hizi ndo Siasa za ipinzan Hanna mpya hapo, ndo mnategemewa mpewe nchi kwa stail hii
 
Kijiji cha Kiumeni.
Jamaa anatisha kwa muonekano huyo
1475009263187.jpg
 
Mlifikiri mtamuonea kama Mzee wangu James Mapalala. Hiki ni kisiki cha mpingo na bado mpaka kieleweke.
 
Muda wa kuwa chama ni Mali ya Seif na Wa Zanzibari pekee ume kwisha, mtake msitake Jamaa Le Proffeseri ndio Mwenyekiti, na Maamuzi ya kikao uchwara Mwisho Chumbi, huku ni Cuf Mabadiliko. .
Ama Cuf ya Ki Zenji ni huko hukooooooh. .!!
 
Back
Top Bottom