Tetesi: Lipumba kaingia ofisini saa 4 usiku huu,inasemekana atalala hapohapo

Tetesi: Lipumba kaingia ofisini saa 4 usiku huu,inasemekana atalala hapohapo

Anataka kujifanya ana roho ya paka, shauri zake
! Asidhani kama watu wataendelea kuvumilia ukichaa wake!
 
It won't materialize,ni saw na kupiga penalt bila kipenga cha referee..linKuwa gori batri...sema ni vizr akajifariji ili asife kwa pressure..ukizingatia kuwa hana mke hata asipolala kwake sio mbaya
Ah ah ah ah ah
Watu.mna.mambo

Kweli.hana mke??

Siasa nazoo
 
Ni kawaida ya Professeri kufanya kitu kisicho cha kawaida ktk jamii!.
 
Habari nilizozipokea mida hii ya saa nne na kama dakika 25 kutoka vyanzo vyangu vya uhakika ambavyo viko karibu kabisa na ofisi za CUF zinasema Lipumba ameingia ofisini huku akiwa na vijana zaidi ya kumi na inasemekana atalala hapo ili kuondoa usumbufu kesho asubuhi na kuanza majukumu yake ya uenyekiti mapema kabisa.
Hiki chama kinaelekea wapi?
Hapo siyo kuchanganyikiwa kweli!!!!
 
Hii ni trela ...muvi litaanza muda si mrefu ..
Pana kitu kinatengenezewa mazingira hapo ....kwa wale wajuzi wa mambo ni siple ....kugundua .Lepumbaz si wa kufanya vioja hivi bure ..
 
Habari nilizozipokea mida hii ya saa nne na kama dakika 25 kutoka vyanzo vyangu vya uhakika ambavyo viko karibu kabisa na ofisi za CUF zinasema Lipumba ameingia ofisini huku akiwa na vijana zaidi ya kumi na inasemekana atalala hapo ili kuondoa usumbufu kesho asubuhi na kuanza majukumu yake ya uenyekiti mapema kabisa.
Hiki chama kinaelekea wapi?
Hahahahaha tz nchi yangu
 
hebu achani kuropoka hata mwanaume kumuacha mke wake inakuwa ngumu lipumba jatoka na C.U.F mbali sana iweje aiwachie kizembe wakat anajua maalim seif yeye hapat hasara hata akiua C.U.F bara.
 
hatari sana anaogopa vijana wa cufwatakuja usiku ww ngoja atatembea na polisi mda si mrefu kila mahali kwa ajili ya ulinzi
Polis wanalipwa mishahara na pesa za walipa kodi iweje wamlinde mtu ambaye hana Manufaa kwa Taifa?
 
hebu achani kuropoka hata mwanaume kumuacha mke wake inakuwa ngumu lipumba jatoka na C.U.F mbali sana iweje aiwachie kizembe wakat anajua maalim seif yeye hapat hasara hata akiua C.U.F bara.
2010 CUF ya lipumba ina wabunge wangapi mkuu? na 2020 ina wangapi unataka kumdanya nani na akili yako ndogo hiyo?
 
Back
Top Bottom