Tetesi: Lipumba kaingia ofisini saa 4 usiku huu,inasemekana atalala hapohapo

Tetesi: Lipumba kaingia ofisini saa 4 usiku huu,inasemekana atalala hapohapo

Mimi nadhani huyo anafanya provocation makusudi kuna reaction anaitaka toka CUF ili yeye na waliomtuma wapate playground ya kutengeneza defamation wanayoitaka kwa CUF,UKAWA na upinzani kwa ujumla.
Nashauri CUF waende nae kijanja,wasimpe hiyo reaction anayoitaka,bali watoe surprise moja tu wammalize.
Kama nyoka anasubiri umsogelee ili akurushie mate,basi wewe mmwagie mafuta toka mbali,akatike mauno peke yake huku roho ikimtoka!
 
Kwa zaidi ya mwaka professa hajaonekana ofisini (kaukana uwenyekiti) ghafla anasema amerejea. Hivyo ni ofisi gani itamvumilia mtu aliyejipa likizo (tunaambiwa kujiuzulu kwake kulikuwa hakuja idhinishwa) kwa mwaka mzima halafu anarudi ofisini kana kwamba hakuna lililotokea. Atengue barua asitengue ni dhahiri professa hakuwa kazini-alitoroka kazini kwa mwaka mzima na hili linatosha chama kumfukuza. Hili ofisi ya msajili inalifungia macho.
 
Mimi nadhani huyo anafanya provocation makusudi kuna reaction anaitaka toka CUF ili yeye na waliomtuma wapate playground ya kutengeneza defamation wanayoitaka kwa CUF,UKAWA na upinzani kwa ujumla.
Nashauri CUF waende nae kijanja,wasimpe hiyo reaction anayoitaka,bali watoe surprise moja tu wammalize.
Kama nyoka anasubiri umsogelee ili akurushie mate,basi wewe mmwagie mafuta toka mbali,akatike mauno peke yake huku roho ikimtoka!
Safari hii ngoma imembumia hiyoo kudadeeki anataka kuharibu umeya kino na ubungo na mashtaka ya un
 
Kwa zaidi ya mwaka professa hajaonekana ofisini (kaukana uwenyekiti) ghafla anasema amerejea. Hivyo ni ofisi gani itamvumilia mtu aliyejipa likizo (tunaambiwa kujiuzulu kwake kulikuwa hakuja idhinishwa) kwa mwaka mzima halafu anarudi ofisini kana kwamba hakuna lililotokea. Atengue barua asitengue ni dhahiri professa hakuwa kazini-alitoroka kazini kwa mwaka mzima na hili linatosha chama kumfukuza. Hili ofisi ya msajili inalifungia macho.
Mamluki huyuu babu....
 
Habari nilizozipokea mida hii ya saa nne na kama dakika 25 kutoka vyanzo vyangu vya uhakika ambavyo viko karibu kabisa na ofisi za CUF zinasema Lipumba ameingia ofisini huku akiwa na vijana zaidi ya kumi na inasemekana atalala hapo ili kuondoa usumbufu kesho asubuhi na kuanza majukumu yake ya uenyekiti mapema kabisa.
Hiki chama kinaelekea wapi?
Doesn't help kushinei huyooo mamluki
 
Najua mnamuenjoy tu mwenzenu. Mnafurahi anavojidhalilisha na kujichora.
Sidhani kama anafanya hivyo bure

Yaani akubali kujidharirisha kiasi hicho kisa unyekiti tu wa chama ambacho hata akina future yoyote ya maana..!!?

Hapana, hapo kuna maagizo profesa anatekeleza kwa makusudi wakati huo tayari ameshachukua advance kaweka mfukoni.
 
unaongea pumba gani wewe?mimi sijakuletea mringanisho wa wabunge nimesema tu kuwa CUF au lipumba ni ngumu kuicha CUF
jibu hoja usilete povu hapa lipumba amepoteza siku nyingi na hana mvuto kwa watanzania swali langu nililokuuliza ndo lipumba na ushawishi wake kwa watanzania
 
Viongozi wa CUF watafute jengo lingine la makao makuu wamwachie hilo jengo la buguruni alale hapo na wahuni wake.
 
Habari nilizozipokea mida hii ya saa nne na kama dakika 25 kutoka vyanzo vyangu vya uhakika ambavyo viko karibu kabisa na ofisi za CUF zinasema Lipumba ameingia ofisini huku akiwa na vijana zaidi ya kumi na inasemekana atalala hapo ili kuondoa usumbufu kesho asubuhi na kuanza majukumu yake ya uenyekiti mapema kabisa.
Hiki chama kinaelekea wapi?
Chama kinaelekea wapi? Au Profesa anaelekea wapi?
 
-->>SASA HUYU SIJUI NI PROFESA WA AINA GANI? HUYU AMEUPATAJE UPROFESA,NI AKILI TOKA WAPI ANATUMIA!,
SHAME,SHAME,SHAME/
AIBU HII MR LIPUMBA,/
**
better leave it off,to keep your personallity!,unsteady of shame actions/
 
Chama hakielekei popote ila sijajua profesa anapoelekea
 
Back
Top Bottom