Uchaguzi 2020 Lipumba: Mgombea Ubunge Temeke (CUF) alipata kura sifuri kwenye kituo ambacho yeye na familia yake walienda kupiga kura

Yeye na Mbatia wanavuna walichopanda.. Mrema alishajifia
Lipumba alifanya makosa kufikiria kuwa shetani anaweza kufanya urafiki wa kudumu na baadhi ya watu.

Kazi kubwa ya shetani ni kukuangamiza. Anaweza kukupa vivutio, lakini ni lazima vitakuwa vivutio vya muda mfupi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata NCCR wanalalama
Walisaliti upinzani Kwa kuahidiwa viti 20 bungeni sasa wamengundua shetani sio rafiki
 
Kura ni siri
Inawezekana kabisa hata mgombea mwenyewe hakujiamini akaona asipoteze kura ampigie Magufuli na CCM wenzake
 
Ahahhh, maana yake hata ya mumewe alikosa, walahi CCM ni balaa
 
Si unaangalia upepo unavyovuma? Badala ya kuharibu kura, mtu na familia mnaamua kumpigia mpinzani wanu.
 
Huyo mtu alikwenda kukipigia kura chama kingine na si chake, kwa hiyo Lipumba asilalamike.
 
Kura ni siri inawezekana mgombea alivutiwa na sera za mgombea mwingine akampigia kura.
 
Hakuna cha kushangaza hapo...

Hapo ina maana kura hazikuhesabiwa bali matokeo yalijazwa tuu...




Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…