Uchaguzi 2020 Lipumba: Mgombea Ubunge Temeke (CUF) alipata kura sifuri kwenye kituo ambacho yeye na familia yake walienda kupiga kura

Uchaguzi 2020 Lipumba: Mgombea Ubunge Temeke (CUF) alipata kura sifuri kwenye kituo ambacho yeye na familia yake walienda kupiga kura

Akizungumza na vyombo vya habari tofauti tofauti, akiwa anatoa msimamo wa chama chake kuhusu uchaguzi mkuu uliofanyika 28/10/2020 alisema wizi uliofanyika ni hatari zaidi ya korona.

Nanukuu
"Mgombea wa chama chetu jimbo la Temeke akiwa yeye na familia yake ya watu saba, kwenye kituo alichopigia kura na familia yake amepata kura sifuri, hawana aibu watu hawa ni hatari zaidi ya korona"

Aisee sijajua inawezekana vipi mgombea akose hata kura aliyojipigia mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#Ukweli utabaki pale pale atakayesema uchaguzi huu ulikua huru na haki aende mirembe.

Video hii hapa chini
 
Kuanzia sasa nakuita Pro. Lipumba mwanzo nilikuwa nakuona huna utofauti na wale wa Majalalani
 
Maajabu ya uchaguzi yanaendelea, Lipumba akiwa anaongea na vyombo vya habari ameshangazwa na kitendo cha mgombea ubunge jimbo la Temeke kupitia chama anachokiongoza cha CUF, Zainab Mndolwa kuambulia kura sifuri kwenye kituo ambacho yeye na wana-familia saba walienda kupiga kura.

Lipumba amesema hiyo inamaanisha hata wizi ulivyofanyika hata aibu hawana kitu ambacho ni hatari na balaa kuliko Corona.



====​

Idadi ya kura zilizotangazwa na Tume ya Uchaguzi kwa wagombea mbalimbali wa nafasi mbalimbali zina tofauti kubwa na uhalisia. Kwa mfano, mgombea ubunge wa jimbo la Temeke kwa tiketi ya CUF alipata kura sifuri (0) katika kituo ambacho yeye na wanafamilia yake ya watu 7 walipigia kura.

Aidha, ukichunguza matokeo ya uchaguzi kwa kuzingatia vyama utabaini kwamba matokeo yaliyotangazwa yalikuwa yameshapangwa, na hayatokani na yale ya wapiga kura. Mfano, rejea matokeo ya majimbo ya Dar es Salaam ya Mbagala, Temeke, Segerea na Ubungo. UBAKWAJI huu wa demokrasia ni kinyume na ibara ya 15 (1), ibara ya 16 (1) na ibara ya 17 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Aidha UBAKWAJI huu unakwenda kinyume cha maazimio mbalimbali ya kimataifa ambayo Tanzania kama Nchi imeyaridhia ikiwa ni pamoja na Azimio la Jumiya ya Madola la Harare la mwaka 1991 na itifaki ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Afrika.

Haha haha 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤣🤣🤣. Chezea chama kubwa wewe. Nyie si ndiyo kimbelembele? Tulikuwa tunawahadhaaa tu. Pole zako
 
Once a traitor ...... aendeleee kushangaa amevuna alichokipanda
 
Maajabu ya uchaguzi yanaendelea, Lipumba akiwa anaongea na vyombo vya habari ameshangazwa na kitendo cha mgombea ubunge jimbo la Temeke kupitia chama anachokiongoza cha CUF, Zainab Mndolwa kuambulia kura sifuri kwenye kituo ambacho yeye na wana-familia saba walienda kupiga kura.

Lipumba amesema hiyo inamaanisha hata wizi ulivyofanyika hata aibu hawana kitu ambacho ni hatari na balaa kuliko Corona.



====​

Idadi ya kura zilizotangazwa na Tume ya Uchaguzi kwa wagombea mbalimbali wa nafasi mbalimbali zina tofauti kubwa na uhalisia. Kwa mfano, mgombea ubunge wa jimbo la Temeke kwa tiketi ya CUF alipata kura sifuri (0) katika kituo ambacho yeye na wanafamilia yake ya watu 7 walipigia kura.

Aidha, ukichunguza matokeo ya uchaguzi kwa kuzingatia vyama utabaini kwamba matokeo yaliyotangazwa yalikuwa yameshapangwa, na hayatokani na yale ya wapiga kura. Mfano, rejea matokeo ya majimbo ya Dar es Salaam ya Mbagala, Temeke, Segerea na Ubungo. UBAKWAJI huu wa demokrasia ni kinyume na ibara ya 15 (1), ibara ya 16 (1) na ibara ya 17 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Aidha UBAKWAJI huu unakwenda kinyume cha maazimio mbalimbali ya kimataifa ambayo Tanzania kama Nchi imeyaridhia ikiwa ni pamoja na Azimio la Jumiya ya Madola la Harare la mwaka 1991 na itifaki ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Afrika.

Safi sana
 
😃😃😃 Itakuwa kura zao ziliharibika

Ila prof amevuna na yeye karai 😆😆😆😆
 
Huwezi sema kuna haki kama hujawahi kukutana na ukiukaji haki....

Hatimaye yamemkuta Lipumba huko
 
Inawezekana kabisa wapinzani wamesalitiana wenyewe. Usije shangaa ukakutana na masela kibao wa CCM kwenye pepo ya kwanza wamekaa wanatabaruku na malaika kadha wa kadha.

Siasa hizi zinaishia hapa hapa duniani ndugu yangu. Huko mbele Rais ni mmoja tu na hakuna uchaguzi wala kampeni za kisiasa. Either you are in a cool place or hot place. Period.

Msihangaike na ya huku duniani mkasahau ya kule tunakoelekea. Luku vere.
Mimi nikiingia Peponi nikakutana na Wa-CCM itanibidi nitoke tena nje niangalie mlangoni vizuri kumeandikwaje, isije ikawa nimejichanganya.
 
Anashangaa kura saba hazipo, akashangae uchaguzi Marekani ambapo kumepatikana kura za watu ambao walishafariki dunia.
 
Back
Top Bottom