Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Vipi kuhusu kuchanganya dagaa na maembe?Viazi vitamu pia ni chakua kizuri kwa watoto, unavichemsha na carrot unablend au unaviponda ponda kwa kijiko, unaweza kuweka maziwa au supu ya nyama
Pia hivo hivo unaweza kupika butternut, sijui kwa kiswahili inaitwaje unachanganya na maziwa au supu ya nyama
View attachment 320132
Hiyo ndio butternut
Pia matunda unayablend badala ya kumix maji unamix na maziwa inakua na ladha nzuri sana mi nshajaribu papai na maziwa inakua ladha nzuri mnoo, Avocado na maziwa pia ndizi sukari
Fresh tu UNAWEKA NA KICHURIVipi kuhusu kuchanganya dagaa na maembe?
Eve mbona liko kama boga? Au ni kitu gani hiki?Viazi vitamu pia ni chakua kizuri kwa watoto, unavichemsha na carrot unablend au unaviponda ponda kwa kijiko, unaweza kuweka maziwa au supu ya nyama
Pia hivo hivo unaweza kupika butternut, sijui kwa kiswahili inaitwaje unachanganya na maziwa au supu ya nyama
View attachment 320132
Hiyo ndio butternut
Pia matunda unayablend badala ya kumix maji unamix na maziwa inakua na ladha nzuri sana mi nshajaribu papai na maziwa inakua ladha nzuri mnoo, Avocado na maziwa pia ndizi sukari
hilo ni tango la kibrazilEve mbona liko kama boga? Au ni kitu gani hiki?
atakuwa msukuma mikokoteni huyo.mi wangu anapenda ugali maharagwe ana miezi mi 8 sasa cjui kurithi au? hata niandae nn yeye nguna na ndondo tu,
karibu sanauzi huu ni mzuri sana, asante mleta uzi!
Muhuni [emoji134]! Wewe siutamlisha mwanao supu ya mawe kweli?nimewapata sana wanajf
kwa watoto hapo nitakuwa care sana mtoto anakula vilaini sana mpaka tiffah dangote hampatMuhuni [emoji134]! Wewe siutamlisha mwanao supu ya mawe kweli?
Niliogopa hilo jina mkuukwa watoto hapo nitakuwa care sana mtoto anakula vilaini sana mpaka tiffah dangote hampat
Ooooh! Ila lenyewe lapikwa!!hilo ni tango la kibrazil
Yap lipo kama bora ila ni tamu zaidiEve mbona liko kama boga? Au ni kitu gani hiki?
Okey, ndio nimelisikia kwako hata silijui.Yap lipo kama bora ila ni tamu zaidi
Kuna website ya Mtoto Wangu ambayo nafikiri wazazi wanaweza kupata mambo mengi kuhusu mototo tangu siku ya kwanza na kuendelea.Habari zenu
Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka.....
Nini madhumuni hasa
1)kwa wale watoto ambao hawapendi kula au hatujatambua bado nini wanapenda lakini kuna mzazi yeyote ameona chakula flani kime work kwake basi tu share nasi kujaribu kama kitapendwa pia....
2)tujuzane trick gani unatumia wakati wa kumlisha mtoto binafsi mimi huwa namfunga kwenye kiti chake alafu nampa kijiko au kipaja cha kuku sasa wakati anafungua mdomo kutafuna alichokikamata mie namuwahi kupitisha kijiko cha chakula hii inasaidia sana na tricks nyengine tutazidi kujuzana...
Karibuni wote tujadili au tupia recipe zako.
===============================
Lishe (1) - UJI WA OATS NA NDIZI/APPLE
Mahitaji
Oats kiasi
Apple 1 au ndizi ya kuwiva...
Maziwa...
Sukari (sio lazima)...
Namna ya kutaarisha
Chemsha maji
Weka oats acha zichemke hadi kuwiva
Ponda ponda ndizi vizuri weka maziwa kidogo ipondeke vizuri....
Mimina kwenye oats alafu weka na maziwa acha ichemke kidogo kwa dakika 3
Epua mlishe mtoto.....
Lishe (3) - WALI WA YAI
Mahitaji
Yai 1....tumia kiini tu
Siagi kidogo
Mchele....
Namna ya kutaarisha...
Pika wali kama wa kawaida ila weka maji mengi uwe laini bwabwa wengine wanaita bondo
Ukikaribia kuwiva weka yai ulolivunja koroga haraka haraka uchanganyike vizuri
Weka siagi na chumvi kidogo ukipenda....
Epua mlishe mtoto....
Lishe (3) - KAROTI NA KUKU
Mahitaji
Karoti
Kuku kiasi
Namna ya kutaarisha
Chemsha kuku hadi kuwiva iwe na supu kidogo
Weka karoti na subiria kuwiva...
Toa kuku pembeni alafu mchambue mifupa tupa
Weka katika blenda kuku na katoti na supu yako saga
Tayari kwa kumlisha mtoto
Ukipendeza waweza weka na viazi
Endelea kufuatilia mjadala kwa ushauri na lishe zaidi....
Wacha niitafute. ThanksKuna website ya Mtoto Wangu ambayo nafikiri wazazi wanaweza kupata mambo mengi kuhusu mototo tangu siku ya kwanza na kuendelea.