Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

petrinamwana kuna recipe nimeandika kwenye huu uzi unaweza kumpikia kajamaa
 
Last edited by a moderator:
U welcome my dear


to be honest farkhina u hv been a grt help to me, nimejifunza kupika vitu vingi through you, ila kuna kitu bado huwa kinanitatiza nitakupm unipe maujanja zaidi
 
Last edited by a moderator:
MaashAllah wa kwangu anapenda ukubwa anataka kula mwenyewe ati na akila anajiramba utacheka ila vyakula vyake hapendi sana yaani kwa ugomvi nimfanye namlisha yeye baba ake na mie nile apo kidogo atakula siku akiamua hataki kitu ni nyonyo tu nakomajeee

Pole sana sasa kwa style hiyo usiombe uwe na mapacha wakiume wote ni shidaah..
 
to be honest farkhina u hv been a grt help to me, nimejifunza kupika vitu vingi through you, ila kuna kitu bado huwa kinanitatiza nitakupm unipe maujanja zaidi

Usijali any tine my dear
 
Last edited by a moderator:
Hiii thread ni nzuri sana,nimepitia coment za watu ninashukuru nimepata vitu vizuri sana,asanye kwa muanzisha thread,ila mie mwanangu ana miezi mitano nimeanza na uji wa karanga na maziwa,naomba kujua oats nini sijapata jibu nataka nimjaribu mwanangu.
 
Hiii thread ni nzuri sana,nimepitia coment za watu ninashukuru nimepata vitu vizuri sana,asanye kwa muanzisha thread,ila mie mwanangu ana miezi mitano nimeanza na uji wa karanga na maziwa,naomba kujua oats nini sijapata jibu nataka nimjaribu mwanangu.

Oats najua jina jengine ni shufan ila kiswahili sijui..

Labda hii picha itakusaidia kuzijua
 

Attachments

  • 2014-12-20-11-41-36-1324986498.jpeg
    2014-12-20-11-41-36-1324986498.jpeg
    15.3 KB · Views: 782
Asante saana farkhina,nimejua vitu vingi kupitia thread zako hasa mapishi,Mungu akubariki zaidi.
 
Yan Leo mi sikukuu imeenda vibaya nimefika Leo home toka sehem nayofanyia kazi (tunaishi mikoa tofauti kwakuwa wate tumeajiriwa tofauti tofauti)nmekuta mama mtoto anamlisha mwanangu uji tena mtoto mwenyewe ndo Leo ametimiza miezi mitano kiukweli nmekwazika sana ila nmenyamaza sikukuu ipite ndo nimuulize vizur kwann amekiuka makubaliano yetu ya kuanza vyakula baada ya miezi 6?. Hvi kuna madhara yoyote ya kulishwa chakula mapema ? Nfanyaje sasa wadau?
 
Yan Leo mi sikukuu imeenda vibaya nimefika Leo home toka sehem nayofanyia kazi (tunaishi mikoa tofauti kwakuwa wate tumeajiriwa tofauti tofauti)nmekuta mama mtoto anamlisha mwanangu uji tena mtoto mwenyewe ndo Leo ametimiza miezi mitano kiukweli nmekwazika sana ila nmenyamaza sikukuu ipite ndo nimuulize vizur kwann amekiuka makubaliano yetu ya kuanza vyakula baada ya miezi 6?. Hvi kuna madhara yoyote ya kulishwa chakula mapema ? Nfanyaje sasa wadau?

Hakuna madhara watoto wengine wanaanzishwa uji mwepesi kuanzia miezi 4 inategemea maamuzi yako wewe mlezi pamoja na ushauri wa daktari....
 
Usiku sasa nakomaje? Yaani kulala kwenyewe hadi aniguse nkiinuka huyo kashtuka alafu akiona tu nyonyo kwa juu anasema nana ukiskia hivo ndio anataka nyonyo na usiku anataka nimpe nyonyo akishtuka tu nimpe nyonyo sasa nachoka lol walau akiamka mara moja anyonye chupa

Mi wangu akishtuka tu usiku anaanza kunivuta nimpe nyonyo, kula hadi kuwe na chupa ya maji unampa chakula na maji kidogo ndo anameza, hivi hivi hali hata kijiko kimoja
 
Back
Top Bottom