Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

pagawa Meno yanaanza kuota kati ya miezi 4-10.

#1 na 2 zinategemea sana mtoto mwenyewe pia ni kiasi gani unajishughulisha nae kama mzazi.

Wa kwangu (wa kiume pia) alianza kukataa kubebwa kwa kulazwa tangu ana miezi mitatu. Watu walikua wananiambia nisimkalishe sababu ataumia kiuno ila mi nilichofanya ni kufuata kile mtoto wangu anachotaka na sio maneno na ushauri wa watu ambao niliona utamfanya mtoto adumae kwa kumzuia kufanya yale maendeleo ambayo yeye mwenyewe anayataka na yuko tayari. Be like that, mtoto aking'ang'ania kuinuka msaidie, akitaka kukaa mtafutie pozi la kukaa, kusimama and so on.
Nimesikia sana watu wakisema watoto wa kiume wanachelewa kutembea mpaka hata mwaka na miezi 8lakini nayo sio kweli kwa 100%.
Wangu alikaa mwenyewe na miezi 6 na alianza kutembea na kitanda akiwa na miezi 8.5 (kutambaa ni kama aliruka), miezi 10 anapiga hatua mwenyewe na mwaka mmoja alikuwa anakimbia na alishaanza kuongea.
Kenyewe ni kajanja na kepesi sana ila maendeleo yake ya haraka haraka yamechangiwa sana na kaka yake (wamezidiana miaka mitatu) alimpa sana changamoto na ari ya kukua fasta ili asibaki nyuma. Pia sisi wakubwa tulikuwa hatumbebi bebi hovyo, muda wake wa kuwa macho alikuwa anapata mazoezi ya kumtosha.

Kitu kingine ambacho nimegundua huwa kinawafanya watoto wakue taratibu ni wadada wa kazi na uvivu wa wazazi. Chunguzeni wenyewe mtagundua kwamba, kwanza wadada wa kazi huwa wana-opt kumbeba mtoto mgongoni hata kama ana kazi kuliko kumweka chini kukwepa usumbufu wa mtoto. Wazazi nao, wako radhi wabebe mtoto muda mwingi kuliko kumuacha ahangaike huku na kule kwa sababu hiyo hiyo. Hata kuwaongelesha watoto, wengi wanaona ni kazi ya bure kupiga story na mtoto asiweza kujibu kitu kinachoeleweka ila hiyo ndio njia ya kumfanya mtoto ajifunze haraka.

hii ni kweli kabisa, ukipata msichana mzuri wa kazi ni raha sasa na humsaidia mtoto kukua vizuri, my csta alipata binti mzuri yaana alisababisha mtoto akawahi kuongea na hata kutembea.
alikuwa akiwa na mtoto utafikiri yupo na mtu mzima mwenzie full kupiga nae story na wanachekaa utadhani wanaelewana, muda mwingi anamfanyisha mazoezi hasa alipoanza kusimama na kutembea, na mtoto alikuwa mbishi wa kula lkn atafanya kila aina ya vituko na ubunifu ili mtoto ale, atachukua chakula cha kwanza watasumbuana hadi kinapoa anamwacha kidogo anachukua kingine tena mpaka mtoto anashiba, it was very wonderfullduuuh! ila kuwapata wa hivyo sasa ni ngumu kweli
 
Last edited by a moderator:
atoto dada ako ana bahati sana kuna watu wanapenda watoto yaani hata mtoto yoyote akikuona anakuchekea au kuchangamkia hataamekuona kwa mara ya kwanza
 
Last edited by a moderator:
Wamama mlitumia njia gani kuwa introduce watoto unyonyaji wa chupa (bottle feeding)?

Wa kwangu anapenda sana nyonyo hata awe na njaa vipi nkimpa chupa anakataa ijapokuwa humo kwenye chupa ni breastmilk ambayo nime pump,plz tupeane mbinu
 
atoto dada ako ana bahati sana kuna watu wanapenda watoto yaani hata mtoto yoyote akikuona anakuchekea au kuchangamkia hataamekuona kwa mara ya kwanza


ni kweli aisee mpaka ilibidi yule binti tumuendeleze na sasa ana kazi yake nzuri tu and she is married, and she was bright kwakweli, mtoto alipojua kuongea tu akaanza kumfundisha kusoma, yaani hadi tulikuwa tunamshangaa, mtoto muda wote ana furahaaa na ni msafi maana binti alikuwa hapendi uchafu, binti wa hivi hata ukirudi nyumbani ukakuta hajafanya kazi zingine aisee unafarijika tu na kuzifanya mwenywe maana mtoto ndio priority
 
Last edited by a moderator:
ni kweli aisee mpaka ilibidi yule binti tumuendeleze na sasa ana kazi yake nzuri tu and she is married, and she was bright kwakweli, mtoto alipojua kuongea tu akaanza kumfundisha kusoma, yaani hadi tulikuwa tunamshangaa, mtoto muda wote ana firahaaa na ni msafi maana binti alikuwa hapendi uchafu, binti wa hivi hata ukirudi nyumbani ukakuta hajafanya kazi zingine aisee unafarijika tu na kuzifanya mwenywe maana mtoto ndio priority

Sure ulezi ni kazi sana huyo wa kwako tu yataka subra ssuze kulea mtoto wa mwenzio....
 
Wamama mlitumia njia gani kuwa introduce watoto unyonyaji wa chupa (bottle feeding)?

Wa kwangu anapenda sana nyonyo hata awe na njaa vipi nkimpa chupa anakaa ijapokuwa humo kwenye chupa ni breastmilk ambayo nime pump,plz tupeane mbinu

Farkhina wtt wajanja sana na wanasoma mazingira. Mi wa kwangu ilikua kupeana chupa shughuli si ndogo, akikataa nampa kwa kijiko ivoivo tumesumbuana mpk nakaribia kuanza kazi nkaona atakuja kushinda na njaa, tukawa tunamlazimisha lazimisha hivo hivo. Nlipoanza kazi mbona kala, kwa chupa kwa kijiko ivoivo mpk nimerudi. Na nliporudi nampa nyonyo haitaki, lol. Nkamlazimisha mpk akaanza kuvuta. Basi tumeenda nae mdogo mdogo saivi ananyonya chupa alhamdulillah hasumbui hata kdg. Ana miezi 9 inaenda 10 Ila hajaota meno so vyakula vyake tunampa kama uji uji
 
Farkhina wtt wajanja sana na wanasoma mazingira. Mi wa kwangu ilikua kupeana chupa shughuli si ndogo, akikataa nampa kwa kijiko ivoivo tumesumbuana mpk nakaribia kuanza kazi nkaona atakuja kushinda na njaa, tukawa tunamlazimisha lazimisha hivo hivo. Nlipoanza kazi mbona kala, kwa chupa kwa kijiko ivoivo mpk nimerudi. Na nliporudi nampa nyonyo haitaki, lol. Nkamlazimisha mpk akaanza kuvuta. Basi tumeenda nae mdogo mdogo saivi ananyonya chupa alhamdulillah hasumbui hata kdg. Ana miezi 9 inaenda 10 Ila hajaota meno so vyakula vyake tunampa kama uji uji

watoto wajanja mnoo, tena uwe unampa wewe na anajua nyonyo ipo hapo karibu,uwiii havuti ng'ooo so ukimkazania anavuta, ndio maana huwa inakuwa ngumu kwa mama kumlisha mtoto maana akimuona mama anawaza nyonyo, so ni kumlazimishia hadi anazoea
 
Farkhina wtt wajanja sana na wanasoma mazingira. Mi wa kwangu ilikua kupeana chupa shughuli si ndogo, akikataa nampa kwa kijiko ivoivo tumesumbuana mpk nakaribia kuanza kazi nkaona atakuja kushinda na njaa, tukawa tunamlazimisha lazimisha hivo hivo. Nlipoanza kazi mbona kala, kwa chupa kwa kijiko ivoivo mpk nimerudi. Na nliporudi nampa nyonyo haitaki, lol. Nkamlazimisha mpk akaanza kuvuta. Basi tumeenda nae mdogo mdogo saivi ananyonya chupa alhamdulillah hasumbui hata kdg. Ana miezi 9 inaenda 10 Ila hajaota meno so vyakula vyake tunampa kama uji uji

Yeye ana jua nyonyo ipo around mda wote si unajua wanavuta harufu zetu? Ila akipewa na cousin yangu anavuta kdg tu mie nkimpa hata iweje hataki nimeshamlazimisha sana hadi namuonea huruma nampa nyonyo najaribu kumpa kwa glass anakunywa kidogo mana anapenda vitu vya wakubwa lol maji anataka anywe kwa kikombe sio kwa chupa au kijiko sasa kuna siku nlimtengezea formula alafu nkamuekea chocolate kidogp alikunywa si haba ila kwa glass sio chupa
 
watoto wajanja mnoo, tena uwe unampa wewe na anajua nyonyo ipo hapo karibu,uwiii havuti ng'ooo so ukimkazania anavuta, ndio maana huwa inakuwa ngumu kwa mama kumlisha mtoto maana akimuona mama anawaza nyonyo, so ni kumlazimishia hadi anazoea

Usiku sasa nakomaje? Yaani kulala kwenyewe hadi aniguse nkiinuka huyo kashtuka alafu akiona tu nyonyo kwa juu anasema nana ukiskia hivo ndio anataka nyonyo na usiku anataka nimpe nyonyo akishtuka tu nimpe nyonyo sasa nachoka lol walau akiamka mara moja anyonye chupa
 
Yeye ana jua nyonyo ipo around mda wote si unajua wanavuta harufu zetu? Ila akipewa na cousin yangu anavuta kdg tu mie nkimpa hata iweje hataki nimeshamlazimisha sana hadi namuonea huruma nampa nyonyo najaribu kumpa kwa glass anakunywa kidogo mana anapenda vitu vya wakubwa lol maji anataka anywe kwa kikombe sio kwa chupa au kijiko sasa kuna siku nlimtengezea formula alafu nkamuekea chocolate kidogp alikunywa si haba ila kwa glass sio chupa

yaani cjui ni kwanini watoto huwa wanapenda vitu vya wakubwa, mfano mtoto wa rafiki yangu akipewa chakula chake alichoandaliwa ni vurugu mechi hali kabisa, ila wakubwa wakiwa wanakula nae anataka akilishwa anakula mpaka anavimbiwa ila chake hataki
 
yaani cjui ni kwanini watoto huwa wanapenda vitu vya wakubwa, mfano mtoto wa rafiki yangu akipewa chakula chake alichoandaliwa ni vurugu mechi hali kabisa, ila wakubwa wakiwa wanakula nae anataka akilishwa anakula mpaka anavimbiwa ila chake hataki


Hahahaha kuna wengine hadi wanavaa viatu vya wakubwa mie nawaita watu wazima wafupi watoto wana vituko sana wa kwangu kila nguo akipata anavaa kichwani siku nyengine vichupi vyake lol ndio anajitanda ushungi na asione nimevaa ushungi na guo jeusi analia sana anajua natoka namuacha they are very smart
 
Hahahaha kuna wengine hadi wanavaa viatu vya wakubwa mie nawaita watu wazima wafupi watoto wana vituko sana wa kwangu kila nguo akipata anavaa kichwani siku nyengine vichupi vyake lol ndio anajitanda ushungi na asione nimevaa ushungi na guo jeusi analia sana anajua natoka namuacha they are very smart

hahaaaaa!! watoto wana vitukosana kuna huyo alikuwa hamkubali mgeni yeyote ambebe, ila ikifikia mgeni anaaga anakimbilia viatu na kumwambia mgeni 'tiende' yaani utadhani walikuja wote
 
hahaaaaa!! watoto wana vitukosana kuna huyo alikuwa hamkubali mgeni yeyote ambebe, ila ikifikia mgeni anaaga anakimbilia viatu na kumwambia mgeni 'tiende' yaani utadhani walikuja wote


Hahahaha anapenda sana kutembea sasa kama huyo umtoe out lazma mkimbizane
 
Hahahaha anapenda sana kutembea sasa kama huyo umtoe out lazma mkimbizane

Ha ha haaaa, wangu mie saivi ukimbeba halafu akaona unaelekea mlangoni anaanza kuruka ruka huku anacheka. Sijui kwa nn wtt wanapenda nje
 
Yeye ana jua nyonyo ipo around mda wote si unajua wanavuta harufu zetu? Ila akipewa na cousin yangu anavuta kdg tu mie nkimpa hata iweje hataki nimeshamlazimisha sana hadi namuonea huruma nampa nyonyo najaribu kumpa kwa glass anakunywa kidogo mana anapenda vitu vya wakubwa lol maji anataka anywe kwa kikombe sio kwa chupa au kijiko sasa kuna siku nlimtengezea formula alafu nkamuekea chocolate kidogp alikunywa si haba ila kwa glass sio chupa

farkhina kama ndo hivyo basi mtafutie vile vikombe vya watoto vyenye mifuniko iliyotobolewa vitundu vidogo vidogo ili nae ajione mkubwa bila kukuchosha sana na glass.
 
Last edited by a moderator:
hahaaaaa!! watoto wana vitukosana kuna huyo alikuwa hamkubali mgeni yeyote ambebe, ila ikifikia mgeni anaaga anakimbilia viatu na kumwambia mgeni 'tiende' yaani utadhani walikuja wote

Hahahaha...watoto wanafurahisha sana kwakweli. Alafu sidhani kama kuna mtoto asiyependa matembezi aisee. Wangu amekua sasa hivi ameelewa kwamba hatuwezi kuzunguka pamoja muda wote kwahiyo halii tena ila huwa ananiomba twende wote 'popote'
 
Back
Top Bottom