Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

Kbd says thanks to farkhina for this useful thread.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaaa, wangu mie saivi ukimbeba halafu akaona unaelekea mlangoni anaanza kuruka ruka huku anacheka. Sijui kwa nn wtt wanapenda nje


Sasa yeye kila anaemuona nje anamchekea tena na kikono juu ati ndio hi lol......wengi wanasema ni happy baby kutwa anacheka au kutabasamu kama mama ake lol
 
farkhina kama ndo hivyo basi mtafutie vile vikombe vya watoto vyenye mifuniko iliyotobolewa vitundu vidogo vidogo ili nae ajione mkubwa bila kukuchosha sana na glass.

Anacho anakunywa mbona mie hadi kula namfundisha kula mwenyewe finger food hadi nowadays nalishwa mie lol
 
Last edited by a moderator:
APPLE KWA WATOTO WASIO NA MENO....

Mahitaji

Apple 1 osha vizuri alafu ondoa maganda

Cha kuparia carot


Namna ya kutaarisha...

Baada ya kumenya apple

Sugua vizuri kwenye cha kuparia carrot.....

Mlishe mtoto.....

Njia nyengine

Katakata apple then steam

Pondaponda kwa kijiko na mlishe mtoto
 
APPLE KWA WATOTO WASIO NA MENO....

Mahitaji

Apple 1 osha vizuri alafu ondoa maganda

Cha kuparia carot


Namna ya kutaarisha...

Baada ya kumenya apple

Sugua vizuri kwenye cha kuparia carrot.....

Mlishe mtoto.....

Njia nyengine

Katakata apple then steam

Pondaponda kwa kijiko na mlishe mtoto

Thanks Faa In sha Allah ntajaribu hii, mwanangu kanapenda kula mashaAllah.
 
Hahahaha anapenda sana kutembea sasa kama huyo umtoe out lazma mkimbizane

Ha ha haaaa, wangu mie saivi ukimbeba halafu akaona unaelekea mlangoni anaanza kuruka ruka huku anacheka. Sijui kwa nn wtt wanapenda nje

watoto wanapenda sana kutembea jamani, cjui ni kwasababu huwa wao ni wakukaa nyumbani tuu so wanachoka
 
Thanks Faa In sha Allah ntajaribu hii, mwanangu kanapenda kula mashaAllah.

MaashaAllah msagie iwe laini tumia penye kutoa laini zaidi
 

Attachments

  • 20141203_185128.jpg
    20141203_185128.jpg
    629.8 KB · Views: 311
  • 20141203_185525.jpg
    20141203_185525.jpg
    640.1 KB · Views: 491
Jamanu kajamaaa kangu kamamefika miezi6 ndo nimeanza kukapa uji Wa dona asubuhi hakataki nimejaribu selelac hakataki nampa tujuice kidogo kanakynywa ila kwa kulazimishana hats cijui nifanyaje kenyewe Karnataka kunyonya na maxima ya kopo kanakunywa ciju nyie wenzangu mnafanyaje mnapoanza kuwaanzishia mtoto chakula
 
Jamanu kajamaaa kangu kamamefika miezi6 ndo nimeanza kukapa uji Wa dona asubuhi hakataki nimejaribu selelac hakataki nampa tujuice kidogo kanakynywa ila kwa kulazimishana hats cijui nifanyaje kenyewe Karnataka kunyonya na maxima ya kopo kanakunywa ciju nyie wenzangu mnafanyaje mnapoanza kuwaanzishia mtoto chakula


Una mji wa aina gani? Miezi 6 hata viazi vilivyopikwa na supu anakula visage tu viwe laini
 
Una mji wa aina gani? Miezi 6 hata viazi vilivyopikwa na supu anakula visage tu viwe laini

aiseee!!! huu uzi utakuwa usefull kwangu soon ngoja niendelee kupata maujuzi
 
Back
Top Bottom