Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

Kuna madokta wanasrma its ok kumpa chakula mtoto kuanzia miezi minne ila viwe vyepesi sana mfano apple and carrot puree au uji mwepesi ila maamuzi ni wewe mlezi mwenyewe
kweli mkuu mimi wangu kiukweli alianza uji mwepesi akiwa na mwezi 1. alitusumbua sana usiku halali ni kulia mwanzo mwisho.tuka gundua mtoto alia kwa ajili ya njaa, pili tukagundua kuwa maziwa ya mama ni mepesi hali iniyo mfanya mtoto asiwe anashiba.

siku tulipo kapa uji mwepesi usiku aisee kesho yake kaliamka saa mbili asubuhi badal ya saa kumi au kumi na moja
 
tupo sawa mkuu wakwangu nikimpa uji wa ulezi ujue hapo ni vita. ila akiona wali,ndizi,viazi,ugali na tambi hapo atakula kama sio yeye
kwenye matunda sasa ndio mahala pake haswa chugwa ,embe na ndizi ndio anavila kwa kushika mwenyewe.

kwenye uji nampa uji wa dona uliochanganywa na blue bend,sukari kwa mbali na maziwa ya ng'ombe.

hapo kwenye maziwa tulimtafutia sehemu wanayo uza maziwa kisha tuka chagua ng'ombe mmoja tu kwa ajili yake.

kwa upande wa juisi wangu hanywi yani hapo ni vita. ila .anakunywa sana maji.

cha ajabu sasa hataki kulishwa na mama yake ila akilishwa na watu wengine anakula bila wasi wasi


kitu kinacho kuja mwanangu ana miezi 8 ila bado haja anza kutambaa ila meno anayo. jana tumempeleka kriniki amekutwa na kilo 10


Vipi dokta alikua na lolote la kusema kuwa kama ukuaje wake si mzuri au ana tatizo lolote kama si hivyo basi yupo sawa atatambaa mda wake ukifika...

Kila ukuaji wa mtoto ni tofauti na mwengine mradi yupo healthy and happy basi usihofu ....

Kutambaa wengi wanaanza miezi 8 kama wa kiume huchelewa kidogo hata kukaa watoto wa kike wakataa mapema miezi 5-6
 
kweli mkuu mimi wangu kiukweli alianza uji mwepesi akiwa na mwezi 1. alitusumbua sana usiku halali ni kulia mwanzo mwisho.tuka gundua mtoto alia kwa ajili ya njaa, pili tukagundua kuwa maziwa ya mama ni mepesi hali iniyo mfanya mtoto asiwe anashiba.

siku tulipo kapa uji mwepesi usiku aisee kesho yake kaliamka saa mbili asubuhi badal ya saa kumi au kumi na moja


Toba!!! Mwezi 1 mlimuonea jamani mngekua mnampa maziwa ya kopo kama ya mama hayatoshi vipi kabla ya hapo mlimshauri dokta wake au mliamua wenyewe tu?
 
Vipi dokta alikua na lolote la kusema kuwa kama ukuaje wake si mzuri au ana tatizo lolote kama si hivyo basi yupo sawa atatambaa mda wake ukifika...

Kila ukuaji wa mtoto ni tofauti na mwengine mradi yupo healthy and happy basi usihofu ....

Kutambaa wengi wanaanza miezi 8 kama wa kiume huchelewa kidogo hata kukaa watoto wa kike wakataa mapema miezi 5-6


kwa madokta wanasema hana tatizo.
wangu NIWAKIKE katika swala la kukaa alianza akiwa na miezi 6
 
kwa madokta wanasema hana tatizo.
wangu NIWAKIKE katika swala la kukaa alianza akiwa na miezi 6

Basi usiwe na wasi wasi atatambaa soon amsaidie mama ake kudeki lol miezi 8 hajachelewa ndio wengi wanaanzia hapo
 
Toba!!! Mwezi 1 mlimuonea jamani mngekua mnampa maziwa ya kopo kama ya mama hayatoshi vipi kabla ya hapo mlimshauri dokta wake au mliamua wenyewe tu?

Maziwa ya kopo alikunywa siku tatu zilizo fatia alikuwa anagoma mpaka leo maziwa tumeweka ndani. tuliongea na dokta ila ilifika kipindi hatukuwa na jinsi . mtoto alikuwa anashinda kwenye ziwa alafu alikuwa anakonda lakini tulivyo anza kumpa uji ghafla alianza kunenepa mpaka leo na ana afya nzuri.ila maziwa ya kopo mpaka leo hataki wala chuchu hataki kuzitumia ukimpia tu anafunga mdomo
 
Mi wa kwangu mashaallah kila kitu twende. Uji wa lishe, wa oats wa dona, hachagui. Mchana nampa mchanganyiko wa mbatata na carrots na tungule kdg. Siku nyengine tunamchanganyia na soup ya samaki au nyama au maji ya mchicha. Machungwa anapenda, huwa tunampa hivihivi au tunamkamulia juice. Ukimpa chupa ya juice haiweki chini mpaka ahakikishe kamaliza, lol. Ana miezi 10 lkn hana hata kipande cha jino, so lazima kila kitu tumpe kikiwa ujiuji
 
Toba!!! Mwezi 1 mlimuonea jamani mngekua mnampa maziwa ya kopo kama ya mama hayatoshi vipi kabla ya hapo mlimshauri dokta wake au mliamua wenyewe tu?

Farkhina wtt wengine wanapewa uji wakiwa kwenye arobaini. Wengine wanazaliwa na afya zao. Unamfanyia uji mwepesi na uhakikishe tu unawiva vizuri. Wtt wengine maziwa matupu hayawachukui kabisa.

Kuhusu uji wa unga wa muhogo naskia ni mzuri sijaskia kama unasababisha tatizo la choo.

Vp kuhusu uji wa custard hauna neno sijui?
Mi mwanangu mashaAllah hasumbui kwenye kula, ye kinomkalia mbele twende na anakula bila usumbufu. Wa pili ilikuwa akilishwa shughuli, maana ilikua inanibidi mie nitoke nisimkie anavolia.
 
Mi wa kwangu mashaallah kila kitu twende. Uji wa lishe, wa oats wa dona, hachagui. Mchana nampa mchanganyiko wa mbatata na carrots na tungule kdg. Siku nyengine tunamchanganyia na soup ya samaki au nyama au maji ya mchicha. Machungwa anapenda, huwa tunampa hivihivi au tunamkamulia juice. Ukimpa chupa ya juice haiweki chini mpaka ahakikishe kamaliza, lol. Ana miezi 10 lkn hana hata kipande cha jino, so lazima kila kitu tumpe kikiwa ujiuji

MaashaAllah shosti wake teye anataka kuwa miss naona diet mtu lol vibogoyo hawa lazma vyakula viwe laini ila baadhi wanaweza vunja kwa mafizi yao
 
Farkhina wtt wengine wanapewa uji wakiwa kwenye arobaini. Wengine wanazaliwa na afya zao. Unamfanyia uji mwepesi na uhakikishe tu unawiva vizuri. Wtt wengine maziwa matupu hayawachukui kabisa.

Kuhusu uji wa unga wa muhogo naskia ni mzuri sijaskia kama unasababisha tatizo la choo.

Vp kuhusu uji wa custard hauna neno sijui?
Mi mwanangu mashaAllah hasumbui kwenye kula, ye kinomkalia mbele twende na anakula bila usumbufu. Wa pili ilikuwa akilishwa shughuli, maana ilikua inanibidi mie nitoke nisimkie anavolia.

Uji wa custard hauna neno siku moja moja wewe huwa unaupikaje? Nampa anakunywa kidogo
 
umeniacha hoi aiseee SAFARI BARIDI !hahaha

Wagumba utawajua tuu....

Wenzie tunakula desa kimya kimya tusije adhirika huko mbele ya safari...ye analeta ujuha....

Moderator naomba huu Uzi uwe sticky pliiiz.....tusihangaike kuusaka sana siku za usoni....
 
Last edited by a moderator:
Mi wa kwangu mashaallah kila kitu twende. Uji wa lishe, wa oats wa dona, hachagui. Mchana nampa mchanganyiko wa mbatata na carrots na tungule kdg. Siku nyengine tunamchanganyia na soup ya samaki au nyama au maji ya mchicha. Machungwa anapenda, huwa tunampa hivihivi au tunamkamulia juice. Ukimpa chupa ya juice haiweki chini mpaka ahakikishe kamaliza, lol. Ana miezi 10 lkn hana hata kipande cha jino, so lazima kila kitu tumpe kikiwa ujiuji



:what: Miezi kumi hana meno. ila vipi kamesha anza kutambaa?
 
Wagumba utawajua tuu....

Wenzie tunakula desa kimya kimya tusije adhirika huko mbele ya safari...ye analeta ujuha....


Moderator naomba huu Uzi uwe sticky pliiiz.....tusihangaike kuusaka sana siku za usoni....

Yeah ni vizuri kama yawezekana wafanye hivyo
 
Last edited by a moderator:
Farkhina aksante mno kwa uzi mzuri. Utatusaidia wengi.

Wangu ana miezi 5 soon tunaanza mchakato wa chakula. Maziwa ya mama ananyonya usiku tu. Mchana formula sababu kwanza alikuwa hashibi na pia ratiba za ajira.

Naomba kuuliza, tunashauriwa chakula cha mtoto kiwe fresh yaani kipikwe ale. Siyo unapika asubuhi ale jioni. Sasa wenzangu mnafanyaje? H/gs ndo wanapika mchana wakati mpo makazini au?

At least cha jioni mama unaweza andaa as ukiwahi kurudi...including weekends.

Maana hawa H/gs nao umakini unahitajika.



Binafsi nakua nae mwenyewe 24 hours lakini haina tatizo kama kitapikwa asubuhi alafu kama kitahifadhiwa vizuri mda wa kumlisha mnakifanya warm tu mnampa kama cha kukaa frijini kinakaa tu sio tatizo kabisa.....walau kingekua kinalala apo kdg itakua sio yenyewe inavyotakiwa hasa
 
Farkhina aksante mno kwa uzi mzuri. Utatusaidia wengi.

Wangu ana miezi 5 soon tunaanza mchakato wa chakula. Maziwa ya mama ananyonya usiku tu. Mchana formula sababu kwanza alikuwa hashibi na pia ratiba za ajira.

Naomba kuuliza, tunashauriwa chakula cha mtoto kiwe fresh yaani kipikwe ale. Siyo unapika asubuhi ale jioni. Sasa wenzangu mnafanyaje? H/gs ndo wanapika mchana wakati mpo makazini au?

At least cha jioni mama unaweza andaa as ukiwahi kurudi...including weekends.

Maana hawa H/gs nao umakini unahitajika.

Mama anaweza andaa ht asb kabla hajaenda kazini kisha kinahifadhiwa kwaajili ya matumizi ya badae kwa siku hiyo tu,km kitalala basi hakifai tena kwa mtoto.

Binafsi kulingana na majukum na kwa vile chakula kile huwa ni cha mchana mara nyingi anaandaa dada,mie huwa naandaa uji asb na kwa siku za mapumziko nafanya mwenyewe.
 
tupo sawa mkuu wakwangu nikimpa uji wa ulezi ujue hapo ni vita. ila akiona wali,ndizi,viazi,ugali na tambi hapo atakula kama sio yeye
kwenye matunda sasa ndio mahala pake haswa chugwa ,embe na ndizi ndio anavila kwa kushika mwenyewe.

kwenye uji nampa uji wa dona uliochanganywa na blue bend,sukari kwa mbali na maziwa ya ng'ombe.

hapo kwenye maziwa tulimtafutia sehemu wanayo uza maziwa kisha tuka chagua ng'ombe mmoja tu kwa ajili yake.

kwa upande wa juisi wangu hanywi yani hapo ni vita. ila .anakunywa sana maji.

cha ajabu sasa hataki kulishwa na mama yake ila akilishwa na watu wengine anakula bila wasi wasi


kitu kinacho kuja mwanangu ana miezi 8 ila bado haja anza kutambaa ila meno anayo. jana tumempeleka kriniki amekutwa na kilo 10

Usihofu mkuu ht wangu alikuwa na uzito huo wakati anafikisha miezi 8 na alikuwa hajaanza kutambaa. Alitambaa akiwa na miezi 10 na baada ya mwezi mmoja akatembea. Na sasa anakimbia tu n fujo kwa kwenda mbele.
 
Back
Top Bottom