Uchaguzi 2020 Lissu aanza kutumia Chopa. Kutikisa Bagamoyo, Kibaha na Chalinze leo

Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA.
Huu ni msafara wa Magufuli unaijua gharama yake... na chopa ya jeshi juu.


 
Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.

That's very good then....

Na wewe tatizo lako ni nini kwani kama wanaamini hivyo?

Ni dhambi kuamini hivyo?

Unaonekana kuwa mko so confused, desparate na hamna utulivu ktk nafsi zenu huko mtaa wa pili kwa yanayoendelea kwa majirani zenu....., right?

Huu ni uandishi wa mtu mwenye dalili hizo, aliyekata tamaa na kutafuta kila neno na kivuli cha kumfariji....

Kadhi Mkuu 1, tiba ya kudumu ya tatizo lako siyo hii, bali ni kuukubali UKWELI na KUUZOEA...

UKWELI wenyewe ni huu, TUNDU LISSU ni Rais wa JMT na MAALIM SEIF SHARIF HAMAD ni Rais wa nchi ya Zanzibar. Period!!
 
CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Kwa hiyo nyie hamtaki afanye kampeni??!!
 
Anayeaminiwa na nyumbu, sio watanzania tuheshimiane.
 
Safi, Stratergy iwe ni kwenye miji midogo midogo, na vitongoji vyake huko ndo kuna kura.
Magufuli anatumia usafiri wa barabara hivyo basi anafanikiwa kuongea na watu wengi njiani
Kwa safari ya Dsm- Moro hawezi kusimama kila kituo aongeee.... yaani aanzie Ubungo, Kimara, Mbezi, Temboni, Mpakani, Maili 1, Picha ya Ndege, Kwa Mbonde, Kwa Mathias, Msikitini, Kwa Mfipa, Miembe 7, Mwendapole, Tanita, Kongowe, Misugusugu, Kwa Kipofu, Misufini, Madafu, Mlandizi, Ruvu, Vigwaza, Chamakweza, Chalinze, Msolwa, NJiapanda Msata, Ubena, Mdaula...... nakuambia atafika Moro February 2021
 
Mshamba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…