and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Najivunia kuwa mwana-CCMWanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najivunia kuwa mwana-CCMWanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Hahahahaha siasa tamu sana, uhondo huu tuliukosa miaka mingi sana.Leo tunaliamsha dude tena
Lissu ndo Raisi mtarajiwa wa Tanzania ambaye anabeba maono ya kuivusha Tanzania. Jiwe anaweza kuwa ndo Raisi kwanza kuongoza kwa miaka mitano ajiandae kurudi kijijini kwake Chato huko alipojenga hekalu madikteta wengi wakipata madaraka huwa vitisho vingi sana kama ambavyo Jiwe anavyo tarehe 28-09-2020 tutamrudisha chato hii nchi si mali ya kikundi cha wahuni
MunguTundu Antipas Lissu, Mgombea Urais kupitia CHADEMA anayeaminiwa na wengi kushinda Urais mwaka huu leo anaanza rasmi kuruka angani kwa kutumia Chopa maalum.
Baada ya mapumziko ya siku 2 mgombea huyo leo anatarajiwa kuingia mkoani Pwani kwa kishindo ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni katika miji ya Kibaha, Chalinze na Bagamoyo
Mara baada ya awamu ya kwanza kuzindua kampeni kwenye kanda zote 10 kwa Sasa lengo kubwa ni kufanya mikutano mingi ya kukutana na wananchi kwa kila mkoa na kila Jimbo la uchaguzi.
Tunaomba kura yako na za wenzako kwa Mh Tundu Lissu anaejali maisha ya watu mpenda haki na amani achana na hawa wahuni wa ccmHata mm sio chadema ni ccm naamini lisu kwa sanduku anatushinda serekali yangu imefirisi watu sana kama vile wavuvi tumechomewa nyavu zetu nakutekwa mageneretor .engine za boat ambazo tulikuwa tumia kama usafiri kwakisingizio cha nyavu haram lakini sasa waziri karuhusu kutumia generetor tukiangalia nyavu zinazo uzwa leo nizilezile walizo zichoma na wanataka tukazinunue engine zetu walizo ziteka mpaka leo inatuuma sana
Huwezi kuwa CCM wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mm sio chadema ni ccm naamini lisu kwa sanduku anatushinda serekali yangu imefirisi watu sana kama vile wavuvi tumechomewa nyavu zetu nakutekwa mageneretor .engine za boat ambazo tulikuwa tumia kama usafiri kwakisingizio cha nyavu haram lakini sasa waziri karuhusu kutumia generetor tukiangalia nyavu zinazo uzwa leo nizilezile walizo zichoma na wanataka tukazinunue engine zetu walizo ziteka mpaka leo inatuuma sana
Mngekuwa na nia ya dhati ya kuwasaidia Watanzania ingewasaidia sana, hivi mlipoingia madarakani sukari ilikua bei gani na sasa hivi ni bei gani?
Mademu zangu wote wamekubali kuniunga mkono kumpigia kura Tundu Lissu. Mm na wao kuminjijini Dar es salaam.
Kampeni za Chadema ziko more strategic, zinamfanya mgombea kupita eneo moja zaidi ya mara moja.Safi, Stratergy iwe ni kwenye miji midogo midogo, na vitongoji vyake huko ndo kuna kura.
Magufuli anatumia usafiri wa barabara hivyo basi anafanikiwa kuongea na watu wengi njiani
Kama hawa....Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Kwani ukiwa ccm utakiwi kusema ukweli?Huwezi kuwa CCM wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Muulize Meko ile miaka mitano anayolalama ananyimwa kwa 'dhambi' anayetarajiwa kupewa ni nani?Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Si mnasema Chadema hawana hela ya kampeni, hizo mnazosema zinazotumiwa vibaya zimetoka wapi tena?Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA
Nimekusikia lakini kurayangu bado Hewani hatayeye lisu zijamsikia akisema chochote kwenye huu ubabe tuliofanyiwa wavuvi anaturudishaje kimaishaMungu
Tunaomba kura yako na za wenzako kwa Mh Tundu Lissu anaejali maisha ya watu mpenda haki na amani achana na hawa wahuni wa ccm
Mzee wa kudesa, Meko inaonekana hata ufaulu wake ulitokana na chabo maana sio kwa fonti fedi zile.Magufuli nae ataiga
Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Umemuona Magu anatembeza bakuli?Ule msafara wa Magu unaweza kuwa gharama kuliko Chopa ya Lissu so mshauri kwanza Babu yenu.
Tayari zimeanza huko GeitaView attachment 1564825
Mwaka huu tumekosa show ya push ups