M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Lissu kushinda atashinda hilo lipo dhahiri.... ila NEC itamtangaza aliyeiteua!Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu kushinda atashinda hilo lipo dhahiri.... ila NEC itamtangaza aliyeiteua!Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
TutawachangiaMtaendelea kuomba michango kwa wananchi?
Mh lakini si ahadi mlizowaahidi,Sasa HIVI watu wana pesa kuliko zamani ulitaka bei zibaki hivyo hivyo?
Washamba ni nyie mnaotumia wasanii kucheza hata kinyume cha maadili ya Kitanzania ili mradi tu mkusanye watu, tena mnakusanya hata watoto wa shule kuja kushuhudia uchafu wenu.Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA
Na wanaofurika kwenye mikutano yake ni wa mitandaoni , hoja kishamba na kilimbukeni za kihutu , Mara upinzani umekufa na ha mafuriko ya Lissu yametoka wapi ? Kila anakoenda mafuriko tena bila wasanii ,malori na watotoWanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Matumizi mabaya ya fikra.Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA
Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Ndugu yangu mgombea wao nmerudi juzi nyumbani naona bango lake lipo chooni limebandikwa hadi sasa nmeshindwa kuelewa mtu kafanya kampeni miaka mitano na bado anahangaika hadi chooni matangazo...CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Mku kuamini ni jambo litarajiwalo na Binadamu yeyote mwenye malengo hai.Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Kwani Mzee Mangula alipewa sumu na wapinzani? Hawa wanatafunana wenyeweKwa Deo walimuua maccm wenzake ?
Hatakufa bali ataishi na kuyatenda yale Mungu aliyoyaweka ndani yake kwa ajili ya kuyafanya kuwa kamili juu yake na Mungu muumba. AminiR.i.P Deo Filikunjombe...[emoji25]
Mia mia za wananchi ndiyo zinafanya haya. Umoja ni nguvu.Aisee...kumbe ina maana CDM haijaishiwa pesa?
Mzee Kikwete alisema hawaachiani maji mezaniKwani Mzee Mangula alipewa sumu na wapinzani? Hawa wanatafunana wenyewe
Hata mm sio CHADEMA ni CCM naamini Lissu kwa sanduku anatushinda serekali yangu imefilisi watu sana kama vile wavuvi tumechomewa nyavu zetu na kutekwa mageneretor engine za boat ambazo tulikuwa tumia kama usafiri kwa kisingizio cha nyavu haram lakini sasa waziri karuhusu kutumia generetor tukiangalia nyavu zinazouzwa leo nizilezile walizozichoma na wanataka tukazinunue engine zetu walizoziteka mpaka leo inatuuma sana.Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Mungu ambariki sana huyu kiongiziTundu Antipas Lissu, Mgombea Urais kupitia CHADEMA anayeaminiwa na wengi kushinda Urais mwaka huu leo anaanza rasmi kuruka angani kwa kutumia Chopa maalum.
Baada ya mapumziko ya siku 2 mgombea huyo leo anatarajiwa kuingia mkoani Pwani kwa kishindo ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni katika miji ya Kibaha, Chalinze na Bagamoyo
Mara baada ya awamu ya kwanza kuzindua kampeni kwenye kanda zote 10 kwa Sasa lengo kubwa ni kufanya mikutano mingi ya kukutana na wananchi kwa kila mkoa na kila Jimbo la uchaguzi.