Uchaguzi 2020 Lissu aanza kutumia Chopa. Kutikisa Bagamoyo, Kibaha na Chalinze leo

Uchaguzi 2020 Lissu aanza kutumia Chopa. Kutikisa Bagamoyo, Kibaha na Chalinze leo

Kampeni za Chadema ziko more strategic, zinamfanya mgombea kupita eneo moja zaidi ya mara moja.

Ukiangalia baada ya uzinduzi wa kampeni kwenye kanda zote ( mikoa 10) atarudi tena kwenye maeneo hayo kwa maana ya kila jimbo, hiyo itampa nafasi ya kufanya 'clear the air campaign' kwenye maeneo ambayo mgombea wa ccm alishapita na hana nafasi ya kurudi tena.

Namna hii ya kampeni inamuwezesha kufuta 'sumu' iliyomwagwa na mpinzani wake na kuacha 'madini' yake kwa wapiga kura kuelekea oct 28, just brilliant strategy.
Exactly mkuu, Chadema wanatumia akili sana, uzuri hata ukiwa CCM ukiruhusu kumsikiliza Lissu hata dakika moja, lazima akubatize fasta, jamaa ana sumu hatari
 
Namtakia mema Lisu. Kesho mchana sept 11, atakuwa kwenye ngome ya CCM kule Morogoro Mjini
 
Heri wakawa wanasafiri kwa Chopa. Mabarabani magari 100, watu kama 500 na helikopta juu kwenye misafara ya mzee baba ni matumizi mabaya sana ya pesa na usumbufu mkubwa kwa watumia barabara wengine.
Tatizo lake ushamba na ulimbukeni
 
Asubuhi na mapema Wakati najiandaa kwenda ofsini kwangu, nikasikia tangazo linalohusu ujio wa mgombea wetu mh Lisu kuwa saa nne kamili atatia timu katika viwanja vya Majengo hapa Bagamoyo nilipo Kwa sasa!

Wakati nakuja nikapitia pale kiwanjani, hapakuwa na maandalizi hata hapakuwepo na dalili za hadhara hiyo,

Na cha ajabu Hadi muda huu, hajaja, na Wakati SASA ni saa sita ikielekea saa 7, naambiwa hata hapo uwanjani kuna kiuchanja wametegeshea ili aje kuhutubia Ila hakuna hata mtu, sjui watu wa Bagamoyo hawataki au yeye hawataki watu wa Bagamoyo na ndiyo maana hajaja

Uongozi wa juu, tupeni maelekezo
 
CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Limehodhi mpaka kuta za vyoo vya stendi lila mahali mapichapicha tu! Wenzake limewazuia! Huyu mzee ni mwepesi kuliko tunavyofikria!
 
Tundu Antipas Lissu, Mgombea Urais kupitia CHADEMA anayeaminiwa na wengi kushinda Urais mwaka huu leo anaanza rasmi kuruka angani kwa kutumia Chopa maalum.

Baada ya mapumziko ya siku 2 mgombea huyo leo anatarajiwa kuingia mkoani Pwani kwa kishindo ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni katika miji ya Kibaha, Chalinze na Bagamoyo

Mara baada ya awamu ya kwanza kuzindua kampeni kwenye kanda zote 10 kwa sasa lengo kubwa ni kufanya mikutano mingi ya kukutana na wananchi kwa kila mkoa na kila Jimbo la Uchaguzi.

#Niyeye2020
Tunamtakia heri na baraka za Mungu. Tuendelee kuchangia kampeni zake. Hata book 1 tu tuma.
 
kweli kabisa maana ameuza raslimali zote kwa wzungu na mikataba yote ya kinyonyaji yenye maslahi binafsi ya mwenyekiti yeye LISSU ndio kasaini....

Huyu jamaa hafai kabisa
Tena mwambie watz tutamfundisha adabu!

Baada ya oktoba 28 atarudi kwa beberu wake Amsterdam akiwa analia!
 
Asubuhi na mapema Wakati najiandaa kwenda ofsini kwangu, nikasikia tangazo linalohusu ujio wa mgombea wetu mh Lisu kuwa saa nne kamili atatia timu katika viwanja vya Majengo hapa Bagamoyo nilipo Kwa sasa!

Wakati nakuja nikapitia pale kiwanjani, hapakuwa na maandalizi hata hapakuwepo na dalili za hadhara hiyo,

Na cha ajabu Hadi muda huu, hajaja, na Wakati SASA ni saa sita ikielekea saa 7, naambiwa hata hapo uwanjani kuna kiuchanja wametegeshea ili aje kuhutubia Ila hakuna hata mtu, sjui watu wa Bagamoyo hawataki au yeye hawataki watu wa Bagamoyo na ndiyo maana hajaja

Uongozi wa juu, tupeni maelekezo
Bagamoyo kwa Kikwete hilo atawajua watu wa bagamoyo

Lisu kaona aanzie bagamoyo na chalinze ngome ya Kikwete nyumbani kwake

Huko Lisu hapati kitu wala watu huko ndiko nyumbani kwa Kikwete alikozaliwa na kukulia na anakoishi
 
Lissu ndo Raisi mtarajiwa wa Tanzania ambaye anabeba maono ya kuivusha Tanzania. Jiwe anaweza kuwa ndo Raisi kwanza kuongoza kwa miaka mitano ajiandae kurudi kijijini kwake Chato huko alipojenga hekalu madikteta wengi wakipata madaraka huwa vitisho vingi sana kama ambavyo Jiwe anavyo tarehe 28-09-2020 tutamrudisha chato hii nchi si mali ya kikundi cha wahuni
Amka utakojoa kitandani.
 
“To my friends in Tanzania and Uganda and Thailand. While our opponents engage in repression we have new tools of targeted sanctions available. Assets of regime cronies can no longer be protected. A major instrument to defeat impunity now exists”.-Robert Amsterdam
 
Huu usafiri wa anga unanipa hofu sana sijui kwanini? Naona kama si rafiki dana kwa mazingira tuliyo nayo kwa sasa....hujuma ziko nje nje
 
Chadema wana m bip Kikwete kwenye ngome yake ya bagamoyo na chalinze hawatafanikiwa kule
 
Back
Top Bottom