Lissu acha Utani, tunataka kumuona Lema akiwa na nafasi ya maana hapo CHADEMA

Lissu acha Utani, tunataka kumuona Lema akiwa na nafasi ya maana hapo CHADEMA

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Ndugu Lissu.

Tumeziona teuzi zako, lakini hatuoni kuwa iko sahihi Lema kubaki bila kuwa na nafasi yoyote nzito ya kiuongozi hapo CHADEMA.

Huyu mtu alikuwa critical kwenye ushindi, ni kichwa makini, na ni strategist wa nguvu. Haiwezekani akabaki kuwa mjumbe wa kamati kuu tu.

Mtafutie huyu mtu nafasi kubwa hapo CHADEMA ASAP.

Jemedari kama Lema kubaki nje ya uongozi wa Chama kutachelewesha harakati zetu za kuibana CCM kutuletea katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Mtafutie Lema nafasi ambayo atakuwa akizungumza na wananchi mara kwa mara. Tunamhitaji sana.

Kama hataki, aambiwe kuwa uwepo wake ni kwa manufaa ya Taasisi. Arudi!
 
Ndugu Lissu.

Tumeziona teuzi zako, lakini hatuoni kuwa iko sahihi Lema kubaki bila kuwa na nafasi yoyote nzito ya kiuongozi hapo CHADEMA.

Huyu mtu alikuwa critical kwenye ushindi, ni kichwa makini, na ni strategist wa nguvu. Haiwezekani akabaki kuwa mjumbe wa kamati kuu tu.

Mtafutie huyu mtu nafasi kubwa hapo CHADEMA ASAP.

Jemedari kama Lema kubaki nje ya uongozi wa Chama kutachelewesha harakati zetu za kuibana CCM kutuletea katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Mtafutie Lema nafasi ambayo atakuwa akizungumza na wananchi mara kwa mara. Tunamhitaji sana.

Kama hataki, aambiwe kuwa uwepo wake ni kwa manufaa ya Taasisi. Arudi!
Mambo mazuri hayataki haraka. Muda upo na nafasi bado zipo.
 
Ndugu Lissu.

Tumeziona teuzi zako, lakini hatuoni kuwa iko sahihi Lema kubaki bila kuwa na nafasi yoyote nzito ya kiuongozi hapo CHADEMA.

Huyu mtu alikuwa critical kwenye ushindi, ni kichwa makini, na ni strategist wa nguvu. Haiwezekani akabaki kuwa mjumbe wa kamati kuu tu.

Mtafutie huyu mtu nafasi kubwa hapo CHADEMA ASAP.

Jemedari kama Lema kubaki nje ya uongozi wa Chama kutachelewesha harakati zetu za kuibana CCM kutuletea katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Mtafutie Lema nafasi ambayo atakuwa akizungumza na wananchi mara kwa mara. Tunamhitaji sana.

Kama hataki, aambiwe kuwa uwepo wake ni kwa manufaa ya Taasisi. Arudi!
Mjumbe wa kamati kuu, maana ukatibu alikataa publicly.
 
Nafasi ambayo Lema amewekwa ndio nafasi aliyoitaka since kwenye press yake ya kwanza.

Lema hakupenda vyeo vikubwa hata kwenye tweeter leo ameweka bayana na hiyo inathibitisha kuwa yeye si mtu wa kupagawa na vyeo.

Hujaelewa saikolojia ya power wewe. Unaweza kuongea X ukamaanisha Y. Huyo mtu ateuliwe nafasi ya maana akigoma kukubali teuzi hapo tutajua kuwa kweli hataki. Siyo hii ya eti alitweet kusema hataki, hiyo haina nguvu sana.
 
Nafasi ambayo Lema amewekwa ndio nafasi aliyoitaka since kwenye press yake ya kwanza.

Lema hakupenda vyeo vikubwa hata kwenye tweeter leo ameweka bayana na hiyo inathibitisha kuwa yeye si mtu wa kupagawa na vyeo.
Lema ni mtu na nusu.
 
Lema anafaa zaidi field, kazi za ground

Kitengo cha usemaji, Itikadi, Uendezi, n.k. vitamfaa zaidi
Nakuunga mkono, LEMA yupo active sana kwenye kuhabarisha hivyo kitengo cha UKURUGENZI WA ITIKADI, USEMAJI NA UENEZI unamfaa sana.
Kikubwa ccm wasipate nafasi ya kupumua wametunyonya sana.
 
Ndugu Lissu.

Tumeziona teuzi zako, lakini hatuoni kuwa iko sahihi Lema kubaki bila kuwa na nafasi yoyote nzito ya kiuongozi hapo CHADEMA.

Huyu mtu alikuwa critical kwenye ushindi, ni kichwa makini, na ni strategist wa nguvu. Haiwezekani akabaki kuwa mjumbe wa kamati kuu tu.

Mtafutie huyu mtu nafasi kubwa hapo CHADEMA ASAP.

Jemedari kama Lema kubaki nje ya uongozi wa Chama kutachelewesha harakati zetu za kuibana CCM kutuletea katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Mtafutie Lema nafasi ambayo atakuwa akizungumza na wananchi mara kwa mara. Tunamhitaji sana.

Kama hataki, aambiwe kuwa uwepo wake ni kwa manufaa ya Taasisi. Arudi!
Waarabu wa pemba wanajuna kwa vilemba
 
Hujaelewa saikolojia ya power wewe. Unaweza kuongea X ukamaanisha Y. Huyo mtu ateuliwe nafasi ya maana akigoma kukubali teuzi hapo tutajua kuwa kweli hataki. Siyo hii ya eti alitweet kusema hataki, hiyo hsina nguvu sana.
Wewe unadhani ameongea bila kushauriana na Lisu?
Wale wanafahamiana na kuelewana.
Unadhani kumteua kuwa wakala wake katika uchaguzi ilikuwa ni kwa bahati mbaya?
 
Ali Bananga sijamsikia in recent days. Alikuwa fighter hasa.
 
Back
Top Bottom