johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni Mwenezi wa CCM DSM 😂Ali Bananga sijamsikia in recent days. Alikuwa fighter hasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Mwenezi wa CCM DSM 😂Ali Bananga sijamsikia in recent days. Alikuwa fighter hasa.
Yuko CCM siku hizi.Ali Bananga sijamsikia in recent days. Alikuwa fighter hasa.
Kabla ya kuingia Chadema, Lisu na Lema walitokea NCCR enzi hizo.Wewe unadhani ameongea bila kushauriana na Lisu?
Wale wanafahamiana na kuelewana.
Unadhani kumteua kuwa wakala wake katika uchaguzi ilikuwa ni kwa bahati mbaya?
Punguza unywaji wa mbege😁😁Mnyika ndiye aliyewapeleka Mbowe na Lisu Kanisa Moja Takatifu La Mitume kupatanishwa
Alihamia CCMAli Bananga sijamsikia in recent days. Alikuwa fighter hasa.
kama kakataa sawa, ila tumuone yupo to the top leadessLema Amekataa ukatibu mkuu.
Weeh, si utakuwa utani jamani !Uweka hazina utamfaa Mbowe🤣
Mimi nakunywa UlanziPunguza unywaji wa mbege😁😁
Mmoja katoa assist na mmoja kafunga goalKati ya Mnyika na Lema nani amecheza kama pere?
Katiba ya chama ina hizo nafasi?Lema anafaa zaidi field, kazi za ground
Kitengo cha usemaji, Itikadi, Uendezi, n.k. vitamfaa zaidi
Kiukweli hata mimi sijaridhika, Lema anastahili zaidi ya ujumbe wa kamati kuu.
Ndiye aliyeubeba ushindi wa Lissu.
Lissu alitaka Lema awe Naibu Katibu mkuu Bara,Lakini Kwa Logic za Lema ambazo zimeeleweka Lema alichomoa hiyo nafasi na niyeye alipendekeza Jina la Brother AmanNdugu Lissu.
Tumeziona teuzi zako, lakini hatuoni kuwa iko sahihi Lema kubaki bila kuwa na nafasi yoyote nzito ya kiuongozi hapo CHADEMA.
Huyu mtu alikuwa critical kwenye ushindi, ni kichwa makini, na ni strategist wa nguvu. Haiwezekani akabaki kuwa mjumbe wa kamati kuu tu.
Mtafutie huyu mtu nafasi kubwa hapo CHADEMA ASAP.
Jemedari kama Lema kubaki nje ya uongozi wa Chama kutachelewesha harakati zetu za kuibana CCM kutuletea katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Mtafutie Lema nafasi ambayo atakuwa akizungumza na wananchi mara kwa mara. Tunamhitaji sana.
Kama hataki, aambiwe kuwa uwepo wake ni kwa manufaa ya Taasisi. Arudi!
Tunatofautiana Mkuu.Hujaelewa saikolojia ya power wewe. Unaweza kuongea X ukamaanisha Y. Huyo mtu ateuliwe nafasi ya maana akigoma kukubali teuzi hapo tutajua kuwa kweli hataki. Siyo hii ya eti alitweet kusema hataki, hiyo haina nguvu sana.
Kiukweli hata mimi sijaridhika, Lema anastahili zaidi ya ujumbe wa kamati kuu.
Ndiye aliyeubeba ushindi wa Liss
Wenje ndiye alimpatia kiti lissuKiukweli hata mimi sijaridhika, Lema anastahili zaidi ya ujumbe wa kamati kuu.
Ndiye aliyeubeba ushindi wa Lissu.
Yupo CCM ni mwenezi DSM.Ali Bananga sijamsikia in recent days. Alikuwa fighter hasa.