"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
Ni ujinga tu wa Watanzania ndo mana kila siku Wanasiasa wanawaibia na kufisadi pesa zao hadi basi.
Watanzania wanapaswa kujua hakuna kitu kinaitwa pesa za Rais. Pesa zote za Serikali ni pesa za Wananchi na zinapaswa kutumiwa kwa utaratibu uliopitishwa na Bunge katika Bajeti ya Serikali iliyoidhinishwa Bungeni.
Ukisoma bajeti huwezi kuta kifungu kinachosema Fedha za kununua magoli. Ukisoma bajeti huwezi kuta kifungu kinachoonesha Pesa za kuchangia au kuwapa/ kuwahonga maaskofu.
Hizi ni Pesa za Walipakodi wa Nchi hii ambazo zinapaswa kutumika kwa kuwahudumia na kuhakikisha wanapata huduma bora kila siku kama maji, madawa hospitali, shule bora na nzuri kwa watoto wao na barabara bora hadi kwenye nyumba zao.
Ila kutokana na ubovu wa Katiba yetu inayowapa Wanasiasa kuwa miungu watu kwa sababu hawawajibishwi fedha za wananchi zinatumiwa kwa matumizi ya kijinga tu huku wananchi wakiwa hawana lolote la kufanya na mbaya zaidi utawakuta wanashukuru na kupiga magoti kumbe ni ujinga tu.
Nchi hii inaibiwa sana na ikitokea wananchi wakapata akili hawa viongozi wanaweza kuchomwa moto wote
Ni ujinga tu wa Watanzania ndo mana kila siku Wanasiasa wanawaibia na kufisadi pesa zao hadi basi.
Watanzania wanapaswa kujua hakuna kitu kinaitwa pesa za Rais. Pesa zote za Serikali ni pesa za Wananchi na zinapaswa kutumiwa kwa utaratibu uliopitishwa nq Bunge katika Bajeti ya Serikali iliyoidhinishwa Bungeni.
Ukisoma bajeti huwezi kuta kifungu kinachosema Fedha za kununua magoli. Ukisoma bajeti huwezi kuta kifungu kinachoonesha Pesa za kuchangia au kuwapa/ kuwahonga maaskofu.
Hizi ni Pesa za Walipakodi wa Nchi hii ambazo zinapaswa kutumika kwa kuwahudumia na kuhakikisha wanapata huduma bora kila siku kama maji, madawa hospitali, shule bora na nzuri kwa watoto wao na barabara bora hadi kwenye nyumba zao.
Ila kutokana na ubovu wa Katiba yetu inayowapa Wanasiasa kuwa miungu watu kwa sababu hawawajibishwi fedha za wananchi zinatumiwa kwa matumizi ya kijinga tu huku wananchi wakiwa hawana lolote la kufanya na mbaya zaidi utawakuta wanaahukuru na kupiga magoti kumbe ni ujinga tu.
Nchi hii inaibiwa sana na ikitokea wananchi wakapata akili hawa viongozi wanaweza kuchomwa moto wote
Wakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?
"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA View attachment 3240205