Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Ni ujinga pia.Sasa kwanini Mbowe anabeba michango ya Ikulu kwenda Kanisani? 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ujinga pia.Sasa kwanini Mbowe anabeba michango ya Ikulu kwenda Kanisani? 🐼
Kwa kutumwa Mbowe (kama unavyodai) hiyo inahalalisha haramu ya rushwa kwa viongozi wa dini kutoka kwa Rais?!Mbowe ametumwa mara kadhaa kupeleka michango ya Rais Kwa viongozi wa dini akiwa kama Mwenyekiti wa Chadema
Mafisadi ya mali za umma yanaogopa kuwa watanzania wataamkaUkiona humuelewi lizu hakika bongo yako inashida
kwani ndo katibu mkuu hazinaHilo Swali angemuuliza Freeman Mbowe 🐼
SitakiWakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?
"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3240205
Soma: Pre GE2025 - Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?
Are you serious kwamba hujui kila mwaka bunge linapitisha fungu la Rais?Hiyo bajeti inapitishwa na nani na ni sh ngapi kwa muda gani?
Tuoneshe zimewekwa shilingi ngapi kwenye miaka hii ya Urais wa Samia na matumizi yake yakoje?Sitaki
Are you serious kwamba hujui kila mwaka bunge linapitisha fungu la Rais?
Mi nikidhani Lisu tu hajui kumbe hata wewe!
Kuna mwaka J. Mnyika alihoji bungeni matumizi ya hili fungu, akajibiwa na Hawa Ghasia kuwa kuna watoto wadogo wameingia bungeni juzi wanataka kujua ht visivyoruhusiwa na ikaishia hapo
Zingine anaenda kujenga Zanzibar zinachotwa tu hakuna namnaSasa umeona jinsi tulivyo na Katiba Mbovu? Kwa nini matumizi ya kodi za wananchi yasijadiliwe Bungeni?
Huoni hicho ndo kichaka cha Wanasiasa kufisadi hela za Wananchi? Matumizi ya kodi za Wananchi lazima yajulikane kwa Wananchi na huo ndio utawala bora.
Ndugu zako wanakosa madawa hospitali, tuna miundombinu mibovu ya barabara, kuna maeneo mijini na vijijini watu hawana maji hadi majumbani mwao wanaenda kuchota maji na Motorori kwenye visima na mabwawa. Alafu unapanua mdomo hapa eti kuna kifungu cha pesa hakijadiliwi Bungeni wakati watu wanaiba kodi zenu na kutumia kufanya ufisadi na ufedhuli nyie mkiwa mnaangalia tu.
KumekuchaWakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?
"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3240205
Soma: Pre GE2025 - Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?
Wakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?
"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3240205
Soma: Pre GE2025 - Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?
Hilo swali hata ukimuuliza CAG mwenyewe hajui na haruhusiwi kujua.Tuoneshe zimewekwa shilingi ngapi kwenye miaka hii ya Urais wa Samia na matumizi yake yakoje?
Acheni kutetea wizi! Hizi ni pesa zinazopaswa kuwahudumia wananchi kuhakikisha wanakuwa na maisha bora.
Tushike lipi tuache lipi? Kwa nini kuwe na matumizi ya fedha za walipakodi ambazo hayqkaguliwi?Hilo swali hata ukimuuliza CAG mwenyewe hajui na haruhusiwi kujua.
Hilo fungu ni halikaguliwi. Ina maana ht wewe hujui kama Lisu tu!
Nnachokishangaa hapa ni kuwa wewe na Lisu hamlijui hilo mpk leo! Hamjui kwamba kuna pesa haziruhusiwi kukaguliwa matumizi yake!Tushike lipi tuache lipi? Kwa nini kuwe na matumizi ya fedha za walipakodi ambazo hayqkaguliwi?
Kama hayakaguliwi maana yake nini? Maana yake ni kwamba hiyo ni njia ya kuiba Pesa za Walipakodi ambapo ni dharau kubwa kwa walipa kodi wa Taifa hili
Huoni huo ni Ufisadi tena wa kutisha?
Nani kasema ni jambo la kawaida kwa Serikali zote?Nnachokishangaa hapa ni kuwa wewe na Lisu hamlijui hilo mpk leo! Hamjui kwamba kuna pesa haziruhusiwi kukaguliwa matumizi yake!
Mbona hili ni jambo la kawaida kwa serikali zote duniani
Hilo fungu la Rais unalosema huwa linatengwa kwa kazi za kusaidia jamii sio kusaidia makanisa.Rais wa nchi anayo bajeti maalumu ambayo anatumia kwa shughuli mbalimbali za kijamii. Wacha Rais, hata Mawaziri na Wakuu wa Mashirika ya umma na binafsi wanayo bajeti hiyo.
Fedha hizo anaweza akampa mwananchi yeyote ambaye ataona kuna haja. Hata viongozi wa dini ni sehemu ya wananchi ambao wanaweza kupewa fedha hizi. Kwa nini mnataka kuwatenga na Rais halafu mnasema watasimama na Chadema kwenye uchaguzi. Maneno hayo yanaweza kueleweka tu kwa watu wenye akili ndogo, kama anavyoonekana Lisu na wafuasi wake wachache
Ni Tz ndo kuna hizi fedha chafu.Nnachokishangaa hapa ni kuwa wewe na Lisu hamlijui hilo mpk leo! Hamjui kwamba kuna pesa haziruhusiwi kukaguliwa matumizi yake!
Mbona hili ni jambo la kawaida kwa serikali zote duniani
Hawana hoja zozote ni waongo tu.Hilo fungu la Rais unalosema huwa linatengwa kwa kazi za kusaidia jamii sio kusaidia makanisa.
Mfano Wakati Siku Kuu fedha huenda kusaidia watoto yatima au vituo vya wazee.
Na zile fedha zina ukomo wake...Sijui kama ndo Honoraria lkn haijasemwa kupelekwa kanisani au msikitini...Hiyo ni rushwa na matumiz mabaya ya fedha za mfuko wa Rais.
Chadema kura za viongozi wa dini wameshazikosa tayari kwa hili tamko la Lisu