Pre GE2025 Lissu ahoji Rais anapata wapi pesa za kugawa kwa viongozi wa dini? kwa mshahara gani?

Pre GE2025 Lissu ahoji Rais anapata wapi pesa za kugawa kwa viongozi wa dini? kwa mshahara gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..kuna maelfu ya viongozi wa dini hawajapata fedha za Mama Abduli.

..kwa mfano Shekhe Mkuu wa Arusha kapewa gari Range rover.

..Je, unadhani Mashekhe wa mikoa 30 iliyobaki Tanganyika hawahitaji Range rover? Je, lini watazipewa?
Usilolijua ni kama usiku wa giza
 
Wakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?

"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3240205
Soma: Pre GE2025 - Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?
Tundu Lissu hajalelewa kuwa mzalendo wa dola la Tanzania.....

Rais wa nchi ni MFARIJI MKUU....nchi yetu ni ya kijamaa....ujamaa wa kiafrika....haifanani na nyingine....na hatutaki kufanana na kufananishwa na wengine.....

Dola letu ni la kipekee na huu upekee unatokana na elimu kubwa tuliyonayo juu ya sababu zilizopelekea madola KUANGUKA.....

Tundu Lissu ajue hapa si EU wala Brussels......
 
Wakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?

"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3240205
Soma: Pre GE2025 - Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?
Huyo pimbi anaujua mshahara wa Rais? Wivu tu kwa kuwa yeye hayuko ktk hiyo nafasi
 
Nani kasema ni jambo la kawaida kwa Serikali zote?

Hivi unajua sehemu zingine duniani huko wananchi walivyo Serious za matumizi ya kodi zao?

Pia fedha zozote zile hata kama hazikaguliwi lazima zitengwe kwenye Bajeti kuu ya Serikali na ziwepo kwenye chati ya matumizi.

Kwa nini msituoneshe hizo pesa kwenyw mpango wa matumizi wa Serikali uliopitishwa na Bunge?
Hizo pesa zilishatengwa na Bunge lakini matumizi yake hayahojiwi hata na CAG
 
Mbowe ametumwa mara kadhaa kupeleka michango ya Rais Kwa viongozi wa dini akiwa kama Mwenyekiti wa Chadema

Kwani akitumwa kipeleka michango ni lazima ajue zimetoka wapi?

Kwa kweli hakuna Rais aliyewahi kumwaga mapesa kama Mama Abdul.
 
Wakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?

"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3240205
Soma: Pre GE2025 - Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?
hizo fedha ni malipo halali zinatoka kwa kifungu cha State house miscellaneous funds :CaptFailFish:
 
Back
Top Bottom