Usilolijua ni kama usiku wa giza..kuna maelfu ya viongozi wa dini hawajapata fedha za Mama Abduli.
..kwa mfano Shekhe Mkuu wa Arusha kapewa gari Range rover.
..Je, unadhani Mashekhe wa mikoa 30 iliyobaki Tanganyika hawahitaji Range rover? Je, lini watazipewa?