Usilolijua ni kama usiku wa giza..kuna maelfu ya viongozi wa dini hawajapata fedha za Mama Abduli.
..kwa mfano Shekhe Mkuu wa Arusha kapewa gari Range rover.
..Je, unadhani Mashekhe wa mikoa 30 iliyobaki Tanganyika hawahitaji Range rover? Je, lini watazipewa?
Tundu Lissu hajalelewa kuwa mzalendo wa dola la Tanzania.....Wakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?
"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3240205
Soma: Pre GE2025 - Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?
Huyo pimbi anaujua mshahara wa Rais? Wivu tu kwa kuwa yeye hayuko ktk hiyo nafasiWakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?
"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3240205
Soma: Pre GE2025 - Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?
Hizo pesa zilishatengwa na Bunge lakini matumizi yake hayahojiwi hata na CAGNani kasema ni jambo la kawaida kwa Serikali zote?
Hivi unajua sehemu zingine duniani huko wananchi walivyo Serious za matumizi ya kodi zao?
Pia fedha zozote zile hata kama hazikaguliwi lazima zitengwe kwenye Bajeti kuu ya Serikali na ziwepo kwenye chati ya matumizi.
Kwa nini msituoneshe hizo pesa kwenyw mpango wa matumizi wa Serikali uliopitishwa na Bunge?
Mbowe ametumwa mara kadhaa kupeleka michango ya Rais Kwa viongozi wa dini akiwa kama Mwenyekiti wa Chadema
Tuwekee hapa zilitengwa shs ngapi? Kupitia kifungu kipi?Hizo pesa zilishatengwa na Bunge lakini matumizi yake hayahojiwi hata na CAG
hizo fedha ni malipo halali zinatoka kwa kifungu cha State house miscellaneous fundsWakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi?
"Hatupendi viongozi wetu wa dini wahongwe, hatutaki viongozi wetu wa kidini wapewe mamilioni ya pesa na Rais wa nchi yetu. Rais anapata wapi pesa, mamilioni ya kugawa makanisni au misikitini?" - Tundu Lissu, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3240205
Soma: Pre GE2025 - Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?
Lete majibuHilo Swali angemuuliza Freeman Mbowe 🐼
Kwa hili tuishie kuwa Rais hatengewi fungu lisilohojiwa.Tuwekee hapa zilitengwa shs ngapi? Kupitia kifungu kipi?