Kaanza mapema sana, awe muangalifu na tume ya uchaguzi Tanzania wasije wakamuacha kati ya wagombea watakao teuliwa kugombea.
Muda wa kampeni bado.
Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
Unajua Ngalu sasa unataka kuvuka mipaka? Ooh Chunga sana hata kama ni kusaka uteyuzi siyo lazima ujivue nguo kiasi hicho!Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
Vyovyote vile asubirie kwanza apitishwe na tume ya uchaguzi tarehe 25/8/20, baada ya hapo atayasema yote.Hii haikuwa kampeni , ilikuwa malalamiko yake kwa yanayotendwa na TCRA
Kumbe upo?tangu wajumbe wakupitie umekuwa mkimya sanaNaunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
Ifutwe tu inatuumiza Sana sisi wanyongeAkizungumza kutoka Singida Mgombea huyo wa Urais wa CHADEMA, Mhe. Lissu amefichua njama za kishamba za TCRA na idara ya habari maelezo za kushughulikia vyombo vya habari vinavyoripoti habari zake.
Tayari BBC wamepigwa faini ya Tsh. mil. 15 kwa kurusha mahojiano na Tundu Lissu huku RFA ikiambiwa ijieleze kwanini isiadhibiwe kutokana na kurusha alichoongea Lissu na BBC.
Hata hivyo Mhe. Lissu ameahidi kufutilia mbali TCRA na idara ya habari maelezo iwapo Watanzania wataamua kumpatia Urais.
Lissu anadai malengo ya tume ya Nyalali ya kuondoa SHIHATA na kuleta TCRA yalilenga kuondoa ukiritimba baada ya Shihata kuonekana kuipendelea serikali, jambo ambalo bado halijatimia kwa vile TCRA wameendelea kutumika .
Binafsi naunga mkono TCRA Kufutiliwa mbali.
Sasa hivi anataka vyombo vya habari vya nini na kampeni hazijaruhusiwa?!Hajaanza kampeni bado.. haombi kura, anaongea kama mtia nia. Hao TCRA wamemchokoza wenyewe kukataa habari zake zisisemwe na vyombo vya habari.
Sifa ni zipi. Ili tuanze kuchambua?!Tume imesisitiza Mgombea mwenye sifa ndio atakayepitishwa! Nasisitiza mwenye sifa
Wakijidanganya ktk hilo watasababisha matatizo kwa watanzania wasio nahatia buleKaanza mapema sana, awe muangalifu na tume ya uchaguzi Tanzania wasije wakamuacha kati ya wagombea watakao teuliwa kugombea.
Muda wa kampeni bado.
Hawajidanganyi, Lisu asubirie muda ufike. Mbona wenzake wanatafuta wadhamini kimya kimya?Wakijidanganya ktk hilo watasababisha matatizo kwa watanzania wasio nahatia bule
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
sasa kama mna uhakika wa kupata kura nyingi hofu juu ya TL inatoka wapi?!.Anaedai hana uhuru wa kusema, yukp Tanzania; hapo alipo kasema na kupitia YouTube kasikika.
Nadhani Tundu Lissu atupe vision yake anataka kutupeleka wapi Tanzania na sio kulalamika kila siku.
Watu kwa sasa wako huru kupata habari Nadhani kuliko nyakati zote.
Kama mainstream inaogopa, kuna various networks ambazo hata hao wanaolalama uhuru wa kusema kubinywa, wanatumia na kupata followers au ujumbe wao kufika.
So far kwa majigambo haya toka katika akidai katiba mpya siojaona jipya.
Kenya ambao tunawasifu kupata katiba mpya, ufisadi na kupiga hela kumeongezeka sana ukiwamo upigwaji wa hela zs Covid19.
Bila shaka JPM akashinda kwa kura nyingi ajabu. Na kama TL hatabadili ujumbe wake; akipata kura nyingi kuzidi za Mrema 1995; basi huu utakuwa muujiza.
Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
media inashambuliwa na wewe mkongwe unapiga makofi....tatizo nini ndugu?Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
Hivi kuna udikteta wa kuleta maendeleo na usio wa kuleta maendeleo?Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
Aisee...! Poleni sana wafuasi wake. Ndiyo mnaanza kujuta sasa kwa nini mlijichanganya. Sisi tunasonga mbele kuimarisha Tanzania katika nyanja zote.Hata hivyo Mhe. Lissu ameahidi kufutilia mbali TCRA na idara ya habari maelezo iwapo Watanzania wataamua kumpatia Urais.