mkuu ushafunguliwa chakula chako sitegemei mada tofauti na mapambio,naona aibu baba angu kufanana na jina lako ulonfanya nijiunge jfNaunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
Kuna mropokaji nchi hii kama Magufuli?Issue sio kuongea na vyombo vya habari, issue ni kwamba anaongea nini,tukubaliane Lisu anaropoka mnoo.
Wa kupotea kwa Tril 1.5 Mkuu?Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
KIPEWA UHURU HUO BILA MIPAKA WATANZANIA WANAJULIKANA WATAUTUMIA NDIVYOSIVYO ITAKUWA KERO KWA WATAWALA MNAJIJUA WENYEWE MLIVYOMkuu maendeleo bila kutenda haki.
Kiongozi wa kweli ni yule atakaebadilisha uchumi wa watu wake na kuwapa Uhuru wa kujieleza ni hii huleta maendeleo endelevu.
Je Malengo ya kufuta Shihata yametimia ?Aisee...! Poleni sana wafuasi wake. Ndiyo mnaanza kujuta sasa kwa nini mlijichanganya. Sisi tunasonga mbele kuimarisha Tanzania katika nyanja zote.
Sasa anasema ataifuta TCRA. Akishaifuta TCRA ataweka mbadala upi kwenye kusimamia upatikanaji wa habari nchini? Au ndiyo ataweka Kurugezi ya Habari ya Chadema kama mbadala wa TCRA. Anaweza kufanya hivyo, maana ameanza kuubadili wimbo wetu wa Taifa!!! Hapa mwenye kuelewa na kuitakia mema Tanzania lazima amwangalie Lissu kwa jicho la 'kuchunga'.
Kama anaropoka au anaongea ya maana tutaamua tunaosikiliza. Msitupangie, mropokaji in chief anatoka ChattleIssue sio kuongea na vyombo vya habari, issue ni kwamba anaongea nini,tukubaliane Lisu anaropoka mnoo.
Ajira za mipango, hupewi ajira mpaka uoneshe 'kadi ya kijani' (666). Inakera sana vijana hawana morale ya kusoma, maana hadi sectors binafsi kaziua.Haya maendeleo tunayosimangwa nayo ni haya ya kutoa ajira kwa wenye kadi za CCM?
Ikifutwa TCRA ataleta nini? Au nchi itakuwa na "JUNGLE LAWS"?Akizungumza kutoka Singida Mgombea huyo wa Urais wa CHADEMA, Mhe. Lissu amefichua njama za kishamba za TCRA na idara ya habari maelezo za kushughulikia vyombo vya habari vinavyoripoti habari zake.
Tayari BBC wamepigwa faini ya Tsh. mil. 15 kwa kurusha mahojiano na Tundu Lissu huku RFA ikiambiwa ijieleze kwanini isiadhibiwe kutokana na kurusha alichoongea Lissu na BBC.
Hata hivyo Mhe. Lissu ameahidi kufutilia mbali TCRA na idara ya habari maelezo iwapo Watanzania wataamua kumpatia Urais.
Lissu anadai malengo ya tume ya Nyalali ya kuondoa SHIHATA na kuleta TCRA yalilenga kuondoa ukiritimba baada ya Shihata kuonekana kuipendelea serikali, jambo ambalo bado halijatimia kwa vile TCRA wameendelea kutumika .
Binafsi naunga mkono TCRA Kufutiliwa mbali.
baada ya kufutwa SHIHATA ililetwa nini ?Ikifutwa TCRA ataleta nini? Au nchi itakuwa na "JUNGLE LAWS"?
Kama udikteta ndio thawabu tunayopashwa kulipa ili tupate maendeleo afadhali tubaki maskini, hayo maendeleo yakae.Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Hii siyo kampeni mkuu , haya ni malalamikoVyovyote vile asubirie kwanza apitishwe na tume ya uchaguzi tarehe 25/8/20, baada ya hapo atayasema yote.
Kama kavumilia yote yaliyompata, anashindwa nini kuvumilia sasa.
Kila siku tunasema aache mihemko, muda wake bado kwasasa auvae u candidate aliouomba na kuupigania.
Wenzake umewaona wakifanya haya?! Kwanini wametulia au mnadhani wao wajinga sana.
Tujifunze kufuata taratibu, muda wa kampeni bado.
Aendelee kuota tu. Ila nina ushauri kwake, ajitahidi sana aboreshe Ofisi ya Makao Makuu Chadema pale Ufipa badala ya kufanyia vikao vya chama Mlimani City (matunda ya sera nzuri za CCM).baada ya kufutwa SHIHATA ililetwa nini ?
Nikumbishe.baada ya kufutwa SHIHATA ililetwa nini ?
Kaka Pascal Mayalla nakudharau sanaNaunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
mtu mwenye miaka 65 unamuitaje kaka ?Kaka Pascal Mayalla nakudharau sana
Kumbe ndio maana wajumbe wa likipiga chiniNaunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P