Uchaguzi 2020 Lissu ailipua TCRA na Idara ya Habari Maelezo kwa kunyanyasa Vyombo vya Habari vinavyoripoti habari zake, aahidi kuifutilia mbali

M
Mkuu maendeleo bila kutenda haki.
Kiongozi wa kweli ni yule atakaebadilisha uchumi wa watu wake na kuwapa Uhuru wa kujieleza ni hii huleta maendeleo endelevu.
KIPEWA UHURU HUO BILA MIPAKA WATANZANIA WANAJULIKANA WATAUTUMIA NDIVYOSIVYO ITAKUWA KERO KWA WATAWALA MNAJIJUA WENYEWE MLIVYO
 
Je Malengo ya kufuta Shihata yametimia ?
 
Haya maendeleo tunayosimangwa nayo ni haya ya kutoa ajira kwa wenye kadi za CCM?
Ajira za mipango, hupewi ajira mpaka uoneshe 'kadi ya kijani' (666). Inakera sana vijana hawana morale ya kusoma, maana hadi sectors binafsi kaziua.
 
Ikifutwa TCRA ataleta nini? Au nchi itakuwa na "JUNGLE LAWS"?
 
niliwahi kumwambia mwanangu mmoja tukiwa seriously tunamjadili Magu. akasema mbona nampuuza sana wakati anafanya mambo makubwa? Nikamwambia kwangu yote ni hovyo maana anajijenga yeye badala ya kujenga na kuimarisha taasisi. Taasisi zimekuwa dhaifu kuliko wakati wowote. Nchi yenye taasisi weak ni kama baiskeli ya miti. Akifa yeye tunaanza upya
 
Kama udikteta ndio thawabu tunayopashwa kulipa ili tupate maendeleo afadhali tubaki maskini, hayo maendeleo yakae.

Post zingine humu zinatolewa na watu wanaonekana wamesoma lakini hawana akili kwani unaweza ukawa umesoma lkn hauna akili.
 
Hii siyo kampeni mkuu , haya ni malalamiko
 
baada ya kufutwa SHIHATA ililetwa nini ?
Aendelee kuota tu. Ila nina ushauri kwake, ajitahidi sana aboreshe Ofisi ya Makao Makuu Chadema pale Ufipa badala ya kufanyia vikao vya chama Mlimani City (matunda ya sera nzuri za CCM).
 
Sioni msaada wa TCRA apa nchini.. mimi mtu wa chini uku nahustle nao kuhusu laini(SimCard) yangu mara waifungie mara waniambie niihakiki na nimeihakiki, mara wairudishe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…