Don Nzoko
JF-Expert Member
- Jan 6, 2020
- 308
- 306
mkuu ushafunguliwa chakula chako sitegemei mada tofauti na mapambio,naona aibu baba angu kufanana na jina lako ulonfanya nijiunge jfNaunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P