Lissu akiondoka Chadema, hakuna Mwana-Chadema ataondoka kwenye chama kumfuata Lissu

Acha uchawa ww ccm
 
Chadema Mtemi Mbowe akiendelea kung'ang'ania uenyekiti hawawezi kupata hata kiti kimoja cha udiwani tena kwa haki kabisa. Wanachadema mpeni Kura TAL. Mtemi Mbowe abakie kama mshauri tu wa chama. Kama anaona kutawala kitemi basi ashinde huo uchaguzi
 
Lakini huyu baba? Janaume zima lakini lina mdomo hilo?! Lishasahau fadhila zote linawaza madaraka tu, aondoke na jamaa zake , Lema, Heche, Mdude na wengine waone kama CHADEMA itayumba?
 
Chadema chini ya Mbowe itaendelea kuwa tishio sana. Mbowe ni mtaalam wa siasa za Tanzania huyo lissu mtamsahau
 
Chadema haitakufa kama TLP, Itaendelea kubaki ila kwa umma itakuwa imepotea
Acha kudanganywa na mitandao Mbowe anajua anachokifanya na anajua amuendi popote kwanza Lissu akishabatizwa kwa moto mmoja mmoja ataanza kumkataa mtarudi kwa Mbowe
 
TL akiondoka na Saccos inajifiaaa
 
Siku hadi siku nazidi kuamini CHADEMA imejaa wapumbavu wengi, Kama wewe ni aina ya Wanachama basi kazi ipo.
Twaweza walitoa ripoti Yao kuwa chama Cheney watu masikini, wajinga,ombaomba ni ccm
 
Your browser is not able to display this video.
 
Akili mtindi.....yeye nani ? Wanufaika na makombo ya mezani kwa kengezaa
Babako mbona ana makengeza?

Kwa hiyo siyo binadamu? Au ilikuwa Bahati mbaya kuzaliwa naye?

Ebu jifunze kuheshimu kazi ya Mungu wewe Kula Kula tena Kwa shemeji yako
 
Hapa tu tupo 3009, tunasubiri.
Siasa,kuna kumfuata mtu na kuna chama. Mtu huwa na vuto zaida ya chama
 
Labda Mke wake na Watoto wake ambao ni Raia wa USA 🇺🇸
 
Na huyu nae utakuta ndio mchambuzi na anaoneka think tank kwenye political desk pale Lumumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…