Lissu akishinda tunatarajia CCM italazimika kuibua akiba yake ya makada wenye akili. Machawa nafasi yao inaweza kuwa hatarini

Lissu akishinda tunatarajia CCM italazimika kuibua akiba yake ya makada wenye akili. Machawa nafasi yao inaweza kuwa hatarini

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Tupo salama wote!

Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia.

Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye yuleyule wanayemjua na ambaye wanauzoefu wa Miaka 20 kujipigia kama punch bag

Ikiwa Lisu atashinda, inatarajiwa CCM kubadili baadhi ya Mbinu na mikakati na hii italeta mabadiliko ya Kisiasa kwa kiwango Fulani.

CCM itabidi ijipapasa kuibua Akiba na Kete zake zenye makada wenye uwezo unaoendana na LISU.

Tunatarajia, siasa za kiitikadi kurejea. Zile siasa maslahi au siasa biashara zinaweza kupotea kwa Kipindi hiki. Maana Lisu ataweka Safu ambayo inaitikadi ya CHADEMA Halisi hakuna CCM nayo itaweka makada wenye itikadi ya kiccm. Ile ya Nyerere
Hapa katikati vyama vyote Itikadi Zao zililegalega na Siasa ilikuwa kama Ajira au biashara Fulani hivi.

Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.

Watu wengi wapenda mabadiliko waliopo pande zote. CCM, CHADEMA na vyama vingine wanaombea Lisu ashinde ili kubadili uelekeo WA siasa za nchi Zetu

Tupo!
 
Ukisoma post za watu unaweza kudhani Lisu hakuwa kiongozi mkubwa wa Chadema.
 
Tupo salama wote!

Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia.

Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye yuleyule wanayemjua na ambaye wanauzoefu wa Miaka 20 kujipigia kama punch bag

Ikiwa Lisu atashinda, inatarajiwa CCM kubadili baadhi ya Mbinu na mikakati na hii italeta mabadiliko ya Kisiasa kwa kiwango Fulani.

CCM itabidi ijipapasa kuibua Akiba na Kete zake zenye makada wenye uwezo unaoendana na LISU.

Tunatarajia, siasa za kiitikadi kurejea. Zile siasa maslahi au siasa biashara zinaweza kupotea kwa Kipindi hiki. Maana Lisu ataweka Safu ambayo inaitikadi ya CHADEMA Halisi hakuna CCM nayo itaweka makada wenye itikadi ya kiccm. Ile ya Nyerere
Hapa katikati vyama vyote Itikadi Zao zililegalega na Siasa ilikuwa kama Ajira au biashara Fulani hivi.

Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.

Watu wengi wapenda mabadiliko waliopo pande zote. CCM, CHADEMA na vyama vingine wanaombea Lisu ashinde ili kubadili uelekeo WA siasa za nchi Zetu

Tupo!
Chawa kama lucas kibarua kitaota nyasi
 
Tupo salama wote!

Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia.

Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye yuleyule wanayemjua na ambaye wanauzoefu wa Miaka 20 kujipigia kama punch bag

Ikiwa Lisu atashinda, inatarajiwa CCM kubadili baadhi ya Mbinu na mikakati na hii italeta mabadiliko ya Kisiasa kwa kiwango Fulani.

CCM itabidi ijipapasa kuibua Akiba na Kete zake zenye makada wenye uwezo unaoendana na LISU.

Tunatarajia, siasa za kiitikadi kurejea. Zile siasa maslahi au siasa biashara zinaweza kupotea kwa Kipindi hiki. Maana Lisu ataweka Safu ambayo inaitikadi ya CHADEMA Halisi hakuna CCM nayo itaweka makada wenye itikadi ya kiccm. Ile ya Nyerere
Hapa katikati vyama vyote Itikadi Zao zililegalega na Siasa ilikuwa kama Ajira au biashara Fulani hivi.

Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.

Watu wengi wapenda mabadiliko waliopo pande zote. CCM, CHADEMA na vyama vingine wanaombea Lisu ashinde ili kubadili uelekeo WA siasa za nchi Zetu

Tupo!
kwahiyo unawatia moyo wanaChadema ambao wameshindwa uchaguzi wa chama hicho kabla uchaguzi wenyewe haujafanyika sio gentleman 🤣
 
Tupo salama wote!

Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia.

Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye yuleyule wanayemjua na ambaye wanauzoefu wa Miaka 20 kujipigia kama punch bag

Ikiwa Lisu atashinda, inatarajiwa CCM kubadili baadhi ya Mbinu na mikakati na hii italeta mabadiliko ya Kisiasa kwa kiwango Fulani.

CCM itabidi ijipapasa kuibua Akiba na Kete zake zenye makada wenye uwezo unaoendana na LISU.

Tunatarajia, siasa za kiitikadi kurejea. Zile siasa maslahi au siasa biashara zinaweza kupotea kwa Kipindi hiki. Maana Lisu ataweka Safu ambayo inaitikadi ya CHADEMA Halisi hakuna CCM nayo itaweka makada wenye itikadi ya kiccm. Ile ya Nyerere
Hapa katikati vyama vyote Itikadi Zao zililegalega na Siasa ilikuwa kama Ajira au biashara Fulani hivi.

Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.

Watu wengi wapenda mabadiliko waliopo pande zote. CCM, CHADEMA na vyama vingine wanaombea Lisu ashinde ili kubadili uelekeo WA siasa za nchi Zetu

Tupo!
Hii nayo mods wanaifuta.
 
Back
Top Bottom