M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Yoyote anaweza kushinda, ngoma bado mbichi kabisa.Kamwe na katu lissu hawezi kushinda Uenyekiti wa CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yoyote anaweza kushinda, ngoma bado mbichi kabisa.Kamwe na katu lissu hawezi kushinda Uenyekiti wa CHADEMA
Huyo chawa amehamaki kwa vile umemgusa kuwa kama Lissu akishinda hata huko CCM chawa hawatakuwa na nafasi tena umegusa kidonda chake.
Hiyo sonona itakuua we mzee. Jiandae tu Lissu ndo anaenda kuongoza upinzani Tanzania kuelekea Katiba MpyaKamwe na katu lissu hawezi kushinda Uenyekiti wa CHADEMA
Akili mgando hizi kwa mtu unayeonekana ni intellectual siyo sawa hata kidogo.Sasa Lisu atafanya nini zaidi ya kukimbilia Ubelgiji?
Hili bandiko lina lengo la kuwatisha kina Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable comte ....Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.
Ndio maana Lucas Mwashambwa anahofu sana.Tupo salama wote!
Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia.
Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye yuleyule wanayemjua na ambaye wanauzoefu wa Miaka 20 kujipigia kama punch bag
Ikiwa Lisu atashinda, inatarajiwa CCM kubadili baadhi ya Mbinu na mikakati na hii italeta mabadiliko ya Kisiasa kwa kiwango Fulani.
CCM itabidi ijipapasa kuibua Akiba na Kete zake zenye makada wenye uwezo unaoendana na LISU.
Tunatarajia, siasa za kiitikadi kurejea. Zile siasa maslahi au siasa biashara zinaweza kupotea kwa Kipindi hiki. Maana Lisu ataweka Safu ambayo inaitikadi ya CHADEMA Halisi hakuna CCM nayo itaweka makada wenye itikadi ya kiccm. Ile ya Nyerere
Hapa katikati vyama vyote Itikadi Zao zililegalega na Siasa ilikuwa kama Ajira au biashara Fulani hivi.
Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.
Watu wengi wapenda mabadiliko waliopo pande zote. CCM, CHADEMA na vyama vingine wanaombea Lisu ashinde ili kubadili uelekeo WA siasa za nchi Zetu
Tupo!
Wewe kama nani?Kamwe na katu lissu hawezi kushinda Uenyekiti wa CHADEMA
umeonge point kubwa, nzito na ya maana mno gentleman dah 👊💪Uchaguzi wa CHADEMA unaenda kuamua kuwa chama Bora au kujifia.
Na akishinda atatishia masilahi ya machawa ikiwemo wewe kilamba "mavi" wa mama.Kamwe na katu lissu hawezi kushinda Uenyekiti wa CHADEMA
Akili mgando hizi. Eti unajiita doctor na una phd kabisa. Ubelgiji hakwenda kutibiwa? Shida wanasiasa/viongozi wa Tanzania hawataki mawazo tofauti na ya kwao.Tusubili nini wakati tulishamuona, ni Mbowe peke yake ndio hakukimbia na amekaa jela.
Gentleman,
Hana akili huyo!Akili mgando hizi kwa mtu unayeonekana ni intellectual siyo sawa hata kidogo.
Huyu akatayarishe majaruba ya mpingaChawa kama lucas kibarua kitaota nyasi
MakubwaKamwe na katu lissu hawezi kushinda Uenyekiti wa CHADEMA
Ndio maana kawa wa kwanza kukoment kumponda Lissu hahahhhaaaaChawa kama lucas kibarua kitaota nyasi