Lissu akishinda tunatarajia CCM italazimika kuibua akiba yake ya makada wenye akili. Machawa nafasi yao inaweza kuwa hatarini

Lissu akishinda tunatarajia CCM italazimika kuibua akiba yake ya makada wenye akili. Machawa nafasi yao inaweza kuwa hatarini

Ni kweli CCM ni chama kinachobadilika kulingana na wakati...hapo kwenye machawa umeongea ukweli japo sio vizuri kuzungumzia ulaji wa mwingine lakini ukweli ndo huo.
 
Tupo salama wote!

Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia.

Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye yuleyule wanayemjua na ambaye wanauzoefu wa Miaka 20 kujipigia kama punch bag

Ikiwa Lisu atashinda, inatarajiwa CCM kubadili baadhi ya Mbinu na mikakati na hii italeta mabadiliko ya Kisiasa kwa kiwango Fulani.

CCM itabidi ijipapasa kuibua Akiba na Kete zake zenye makada wenye uwezo unaoendana na LISU.

Tunatarajia, siasa za kiitikadi kurejea. Zile siasa maslahi au siasa biashara zinaweza kupotea kwa Kipindi hiki. Maana Lisu ataweka Safu ambayo inaitikadi ya CHADEMA Halisi hakuna CCM nayo itaweka makada wenye itikadi ya kiccm. Ile ya Nyerere
Hapa katikati vyama vyote Itikadi Zao zililegalega na Siasa ilikuwa kama Ajira au biashara Fulani hivi.

Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.

Watu wengi wapenda mabadiliko waliopo pande zote. CCM, CHADEMA na vyama vingine wanaombea Lisu ashinde ili kubadili uelekeo WA siasa za nchi Zetu

Tupo!
Ccm hali mbaya ,wametengeneza machawa badala ya watu wenye uwezo binafsi,

Kumbuka lema anaweza kuwa katibu mkuu wa chama, sasa hii team ccm wanapenya wapi?

Nilisema chadema ina watu ambao wakikaa pale juu ccm watamkumbuka Mbowe ,sasa kimeisha umana , sio mda ccm wataanza ongea peke yao barabarani
 
Ccm hali mbaya ,wametengeneza machawa badala ya watu wenye uwezo binafsi,

Kumbuka lema anaweza kuwa katibu mkuu wa chama, sasa hii team ccm wanapenya wapi?

Nilisema chadema ina watu ambao wakikaa pale juu ccm watamkumbuka Mbowe ,sasa kimeisha umana , sio mda ccm wataanza ongea peke yao barabarani
hilo unajidanganya saana fatilia CCM ya enzi hzo na upinzani wa enzi hzo utagundua kwamba CCM ni chama chenye mbinu nyingi mno na uwezo wa kifedha upo kwahyo kuivunja hyo ngome sio mchezo hata uwaweke watu gani hapo juu hawawezi kuivunja CCM..Kwani chama hiki kimeshajiimarisha toka enzi na enzi kinachofanyika sahv ni kuangalia nani anaushawishi mkubwa kwa wananchi tumlete kwetu.
 
Tupo salama wote!

Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia.

Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye yuleyule wanayemjua na ambaye wanauzoefu wa Miaka 20 kujipigia kama punch bag

Ikiwa Lisu atashinda, inatarajiwa CCM kubadili baadhi ya Mbinu na mikakati na hii italeta mabadiliko ya Kisiasa kwa kiwango Fulani.

CCM itabidi ijipapasa kuibua Akiba na Kete zake zenye makada wenye uwezo unaoendana na LISU.

Tunatarajia, siasa za kiitikadi kurejea. Zile siasa maslahi au siasa biashara zinaweza kupotea kwa Kipindi hiki. Maana Lisu ataweka Safu ambayo inaitikadi ya CHADEMA Halisi hakuna CCM nayo itaweka makada wenye itikadi ya kiccm. Ile ya Nyerere
Hapa katikati vyama vyote Itikadi Zao zililegalega na Siasa ilikuwa kama Ajira au biashara Fulani hivi.

Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.

Watu wengi wapenda mabadiliko waliopo pande zote. CCM, CHADEMA na vyama vingine wanaombea Lisu ashinde ili kubadili uelekeo WA siasa za nchi Zetu

Tupo!
Kwani huyu kibaraka Lisu mnamsajiki kutoka Sayari ya Jupiter kiasi kwamba mtarajie hewa wakati alikuwepo?

Kwamba uwenyekiti wa Lisu ndio utaongeza nini labda?

Mwisho,amekuwa Mbunge,amegombea Urais,amekuwa Rais wa TLS na Makamu wa Mbowe,Kuna jipya aliongeza hapo kwenye chama Cha waganga njaa?

Naona mna hemka kweli kweli mwisho wa siku akitishwa atasepa Ubelgiji Kwa bwanake Amsterdam 🤣 🤣

Mwisho what kind of Mabadiliko are you talking about ambayo nyie mnayataka au kuyapenda?
 
Kwani huyu kibaraka Lisu mnamsajiki kutoka Sayari ya Jupiter kiasi kwamba mtarajie hewa wakati alikuwepo?

Kwamba uwenyekiti wa Lisu ndio utaongeza nini labda?

Mwisho,amekuwa Mbunge,amegombea Urais,amekuwa Rais wa TLS na Makamu wa Mbowe,Kuna jipya aliongeza hapo kwenye chama Cha waganga njaa?

Naona mna hemka kweli kweli mwisho wa siku akitishwa atasepa Ubelgiji Kwa bwanake Amsterdam 🤣 🤣

Mwisho what kind of Mabadiliko are you talking about ambayo nyie mnayataka au kuyapenda?

Subiri utajionea
 
Ccm hali mbaya ,wametengeneza machawa badala ya watu wenye uwezo binafsi,

Kumbuka lema anaweza kuwa katibu mkuu wa chama, sasa hii team ccm wanapenya wapi?

Nilisema chadema ina watu ambao wakikaa pale juu ccm watamkumbuka Mbowe ,sasa kimeisha umana , sio mda ccm wataanza ongea peke yao barabarani

CCM hawawezi kubali hili litokee. Ngoja tuone
 
Tupo salama wote!

Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia.

Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye yuleyule wanayemjua na ambaye wanauzoefu wa Miaka 20 kujipigia kama punch bag

Ikiwa Lisu atashinda, inatarajiwa CCM kubadili baadhi ya Mbinu na mikakati na hii italeta mabadiliko ya Kisiasa kwa kiwango Fulani.

CCM itabidi ijipapasa kuibua Akiba na Kete zake zenye makada wenye uwezo unaoendana na LISU.

Tunatarajia, siasa za kiitikadi kurejea. Zile siasa maslahi au siasa biashara zinaweza kupotea kwa Kipindi hiki. Maana Lisu ataweka Safu ambayo inaitikadi ya CHADEMA Halisi hakuna CCM nayo itaweka makada wenye itikadi ya kiccm. Ile ya Nyerere
Hapa katikati vyama vyote Itikadi Zao zililegalega na Siasa ilikuwa kama Ajira au biashara Fulani hivi.

Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.

Watu wengi wapenda mabadiliko waliopo pande zote. CCM, CHADEMA na vyama vingine wanaombea Lisu ashinde ili kubadili uelekeo WA siasa za nchi Zetu

Tupo!
Bandiko mujarab kabisa tangu tuuanze mwaka 2025 !

Ngoja Tusubiri tuone !
Huenda nasi tukaibuliwa upya 😂😂😂
Natania tu 😅🙏
 
Subiri utajionea
Ona hunaga majibu 😂😂

Mumeukizwa kule kazi halali ya kibaraka Lisu inayomuingizia kipato ni ipi mkaishia kutukana na kutoa povu 😆😆

Nikiwauliza sera zenu za Uchumi ni zipi ? Mtaishia kutukana .

Nimekuwa nauliza Katiba Mpya Ina Msaada gani Kwa common mwananchi hakuna majibu

Nikauliza mbona Nchi Zenye Katiba Mpya Haki ni mbaya vile vile ,nini maana ya Katiba Mpya tofauti na kuingia Wanasiasa wengine kwenye ulaji hakuna majibu.

Mfano Hawa hapa Wana Katiba Mpya,haya utekaji umekoma? 👇👇

View: https://x.com/Kenyans/status/1879430838510866653?t=ZOip1x0WrCkWqzHwqohGzw&s=19

View: https://x.com/Kenyans/status/1879428166047154306?t=GUTM7RaKXFJSuWOAv-6fNQ&s=19
 
Tupo salama wote!

Wakati CCM ipo Kimya ikiangalia yanayoendelea CHADEMA na mara kadhaa kwa Siri huenda ikijihusisha na mambo hayo kuyaingilia.

Ikiwa Mbowe atashinda hakuna mabadiliko yoyote ambayo CCM itafanya. Mbinu zitakazotumika zitakuwa zilezile walizotumia kwa Miaka 20 kwani Mbowe ndiye yuleyule wanayemjua na ambaye wanauzoefu wa Miaka 20 kujipigia kama punch bag

Ikiwa Lisu atashinda, inatarajiwa CCM kubadili baadhi ya Mbinu na mikakati na hii italeta mabadiliko ya Kisiasa kwa kiwango Fulani.

CCM itabidi ijipapasa kuibua Akiba na Kete zake zenye makada wenye uwezo unaoendana na LISU.

Tunatarajia, siasa za kiitikadi kurejea. Zile siasa maslahi au siasa biashara zinaweza kupotea kwa Kipindi hiki. Maana Lisu ataweka Safu ambayo inaitikadi ya CHADEMA Halisi hakuna CCM nayo itaweka makada wenye itikadi ya kiccm. Ile ya Nyerere
Hapa katikati vyama vyote Itikadi Zao zililegalega na Siasa ilikuwa kama Ajira au biashara Fulani hivi.

Machawa nafasi yao itatishwa kwa Sababu machawa ni matokeo ya siasa biashara. Wao wapo sio kwa kile wanachoamini kwenye chama husika Bali wpo kwaajili matumbo Yao.

Watu wengi wapenda mabadiliko waliopo pande zote. CCM, CHADEMA na vyama vingine wanaombea Lisu ashinde ili kubadili uelekeo WA siasa za nchi Zetu

Tupo!
Upepo unatazamwa kwa kina pande mbili hizo za vyama. Acha tuendlee na zoezi.
 
Sawa sawa Mr. Mcha-mbuzi . 🐐 🐐
relax na ufuatilie mambo kwa utulivu na ukaribu zaidi, itakusaiadia sana kuongeza uelewa na ufahamu wa mambo haya ya siasa gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom