Lissu akiwa Sengerema apigilia msumari wa "akili matope" kwa Rais kuwapa DP World madaraka yake kama mdhamini wa ardhi

Mkuu za Siku huyo ni kanjanja
 
Mweee mh lissu wapunguzie spana,ccm wanatafutana huko , mzee Wasira yupo uvunguni mwa kitanda, namshitaki tena kwako ebu mpige nyundo tena atoke uvunguni
 
Nakushauli mngechutama tu na rais wako, maana mnazidi kuvuliwa nguo
 
Serikali ya CCM imepofushwa, haisikii la mnadi swala wala la mwazini, kuna jambo linakuja mbele nadhani si zuri kwa mstakabali wa hichi chama, Wananchi wamegoma kabisa kuelewa suala hili la bandari na bado SISIEM wamekomaza shingo, TUSUBIRI.
 
NINGELIKIKOSEA KISWAHILI NINGESIKITIKA SANA,LAKINI KWA HII LUGHA YA WATU SIONI SHIDA.
 
Mwanzoni nilimlaumu sana Lissu.
Lakini nimetafakari sana haya maneno naona yana gonga kichwa!
Ila ccm mlichokifanya hapana! hapana! mbona wizi mmefanya sana hamridhiki?
 
Infact and to be truth,"angalieni tena upya baadhi ya vipingele,rais kwenda kuomba kwa mwekezaji ili kutekeleza hata miradi ya watu wake si sawa,endapo kama ni kweli kipo kipengele hicho Ndani ya mkataba"
Nadhani hata Shivji ulimsikia akisema "Rais amejipoka madaraka yake".
Hata suala la usalama wa anga maeneo yanayozunguka Bandari lazima Kwanza tumuulize Bwana Mkubwa DP World kama yuko tayari tuweke miundombinu ya kiusalama.
 
Mwanzoni nilimlaumu sana Lissu.
Lakini nimetafakari sana haya maneno naona yana gonga kichwa!
Ila ccm mlichokifanya hapana! hapana! mbona wizi mmefanya sana hamridhiki?
Yaani wewe Rais wa inchi umuombe muwekezeka ruhusa ndani ya ardhi yako? Magufuri asingefanya huu ujinga
 
Nakwambia kipindi hiki angekuwepo mch. Mtikila na ile bendera yake ya Tanganyika, pasingetosha.
 
kinachouma zaidi, DP WORLD wameingia mikataba na nchi nyingine nyingi duniani, zaidi ya hamsini, lakini wote wameingia mikataba ya akili, hakuna mkataba wa kijinga kama wa Tanganyika. walipokuja kwetu wameamua kuingia mkataba wa kijinga kwasababu walituona sisi wajinga na mamburura. wametudharau sana kuliko nchi zingine nyingi walizoingia nao mikataba, wameona Tanganyika ni kilaza. hivi kweli unataka kuniambia the same type of mkataba kama huu wameingia nao Waingereza? au nchi nyingine yeyote, au kwetu tu wameona mtelezo?
 
Hivi kampuni zote za nje zinazopewa tender nchini zina IGA kwenye kila tender? kwa nini hao DP world wanataka walindwe na IGA badala ya mkataba baina yao na TPA? hiyo IGA ni utapeli wa kiuwekezaji uliochagizwa na rushwa nono kwa walamba asali wanaosukumwa na ubinafsi kuliko maslahi mapana ya taifa.​
 
umeongea ya maana sana. plus hilo, najiuliza, aina ya terms za mkataba walizoingia nazo kwenye mataifa mengine ndio kama hizi walizoingia na sisi au wameona sisi mambumbumbu wakatuletea za aina hii? hii si dharau na matusi hii,wametuonaje yaani? wameona sisi mteremko kuliko waingereza walioingia nao na nchi zingine, wakatudharau na kuingia na sisi mkataba wa kijinga na bado kuna wasomi na wanaccm wanaupigia debe hadi kesho. kweli pesa tamu. zinaweza kukufanya ukawa kipofu kabisa.
 
Sisi wengine wenye akili huru tumemuelewa. Ningeshangaa sana kama na wewe mtumwa wa Waarabu ungemuelewa
EeeenHeeeee!

Wewe kweli ni "Mkojo" hasa!
Huoni ulivyopotea badala ya kuwa chooni unakuja kuchafua hali ya hewa bila kujua kilichoelezwa?
 
Infact and to be truth,"angalieni tena upya baadhi ya vipingele,rais kwenda kuomba kwa mwekezaji ili kutekeleza hata miradi ya watu wake si sawa,endapo kama ni kweli kipo kipengele hicho Ndani ya mkataba"
Mnang'ang'ana na lugha ngeni na hamuiwezi,hapa unawasiliana na waswahili wenzio,viingereza vya nini!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…