Lissu akiwa Sengerema apigilia msumari wa "akili matope" kwa Rais kuwapa DP World madaraka yake kama mdhamini wa ardhi

Hiyo ingepaswa iwe hivi: "My perspective, and to be truthfull", au maneno ya aina hiyo mengine, siyo hayo ulivyoyatumia.
Ukishaelewa nilichomaanisha inatosha,HII ni lugha ya wageni SI ya MSINGI sana uiongee kwa usahihi.
 
Ukishaelewa nilichomaanisha inatosha,HII ni lugha ya wageni SI ya MSINGI sana uiongee kwa usahihi.
naona umepoteza kabisa msingi wa niliyo andika kukujibu kwa mara ya kwanza kabisa.
Hata hayo uliyoyaandika kwa lugha yetu wenyewe yalikuwa ni shida tupu ulikuwa unalenga kueleza kitu gani hapo!
 
Jamaa anatusaidia sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…