Lissu akiwa Sengerema apigilia msumari wa "akili matope" kwa Rais kuwapa DP World madaraka yake kama mdhamini wa ardhi

Lissu akiwa Sengerema apigilia msumari wa "akili matope" kwa Rais kuwapa DP World madaraka yake kama mdhamini wa ardhi

Hiyo ingepaswa iwe hivi: "My perspective, and to be truthfull", au maneno ya aina hiyo mengine, siyo hayo ulivyoyatumia.
Ukishaelewa nilichomaanisha inatosha,HII ni lugha ya wageni SI ya MSINGI sana uiongee kwa usahihi.
 
Ukishaelewa nilichomaanisha inatosha,HII ni lugha ya wageni SI ya MSINGI sana uiongee kwa usahihi.
naona umepoteza kabisa msingi wa niliyo andika kukujibu kwa mara ya kwanza kabisa.
Hata hayo uliyoyaandika kwa lugha yetu wenyewe yalikuwa ni shida tupu ulikuwa unalenga kueleza kitu gani hapo!
 
Kulikuwa na sababu kwamba Mungu Alimwokoa huyu kamanda na yale marisasi. Ni jasiri sana na haogopi. Na hakuna silaha hapa duniani ambayo inaweza kumshinda mtu ambaye haogopi cho chote kikiwemo kifo (cf. Wamarekani vs. Mataliban)

TL ni hazina kubwa kwa taifa hili. Mungu Amtunze 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Jamaa anatusaidia sn
 
Back
Top Bottom