Lissu akiwa Sengerema apigilia msumari wa "akili matope" kwa Rais kuwapa DP World madaraka yake kama mdhamini wa ardhi

Lissu akiwa Sengerema apigilia msumari wa "akili matope" kwa Rais kuwapa DP World madaraka yake kama mdhamini wa ardhi

Kwameh

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
1,793
Reaction score
2,152
Ni kuhusu kipengele cha mkataba kinachosema Rais akitaka kujenga chochote karibu na maeneo ya DP World kama vile hospitali karibia na bandari ya Isaka basi atatakiwa kwanza kuomba kibali cha DP World. Wakati Rais huwa ndio anaeombwa ardhi, sio yeye kuomba.

Tundu akauliza hii ni akili au matope? Wananchi wakaitikia "Matopeeeeeeee....."

Haya Waziri Nape, pitisheni kipira mkamate wananchi wote walioitikia matopeeeeeee!

 
Kulikuwa na sababu kwamba Mungu Alimwokoa huyu kamanda na yale marisasi. Ni jasiri sana na haogopi. Na hakuna silaha hapa duniani ambayo inaweza kumshinda mtu ambaye haogopi cho chote kikiwemo kifo (cf. Wamarekani vs. Mataliban)

TL ni hazina kubwa kwa taifa hili. Mungu Amtunze 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Hii kandanda sijui itaishaje Ila inasikitisha Sana! kulitakiwa busara ndogo Sana toka CCM ili kuahirisha hii mechi,lakini wakaamua Ngoma iwekwe uwanjani ndio hasara zake hizo ni kukubaliana nazo tu hamna namna, nasikia mwingine anataka kumfirigisa mwambikusi!

Maajabu! wakati anawaambia Kila Leo amehesabu ghalama, wanaona la kumyumbisha kikazi ndio suruhisho kweli?

Hawaoni Kama wanatengeneza tatizo kubwa kisiasa then wanataka Tundu mwingine uwanjani? Kwani hawajui akikosa kazi atarudi uwanjani muda wote? Pole zao
 
Infact and to be truth,"angalieni tena upya baadhi ya vipingele,rais kwenda kuomba kwa mwekezaji ili kutekeleza hata miradi ya watu wake si sawa,endapo kama ni kweli kipo kipengele hicho Ndani ya mkataba"
Sasa wewe hapa unabwabwaja kitu gani, mbona hueleweki?

Hiyo lugha ya "in fact and to be truth" ni lugha gani hiyo. Ulilazimishwa kutumia lugha usiyoijua?

Kwanza haiongezi chochote cha maana katika uliyoandika baada ya maneno hayo.

"...rais kwenda kuomba kwa mwekezaji ili kutekeleza hata miradi ya watu wake..." Ni vipengele gani hivyo unavyozungumzia wewe. "Miradi ya watu wake". Watu wake ni akina nani hao, shemeji zake huyo rais?

Uandishi wa hovyo sana huu unaoonyesha upungufu mkubwa katika mfumo wa elimu yetu.
 
Sasa wewe hapa unabwabwaja kitu gani, mbona hueleweki?

Hiyo lugha ya "in fact and to be truth" ni lugha gani hiyo. Ulilazimishwa kutumia lugha usiyoijua...
Unapanic nini? Jamaa tumemuelewa na ujumbe wake umefika vyema.
 
Sasa wewe hapa unabwabwaja kitu gani, mbona hueleweki?

Hiyo lugha ya "in fact and to be truth" ni lugha gani hiyo. Ulilazimishwa kutumia lugha usiyoijua...
"Kimtazamo na niwe mkweli"
 
Tatizo kubwa lililopo nyuma ya vitendo vya rushwa ni kupoteza kabisa uwezo wa kuhoji ama kujenga hoja zenye mashiko katika meza ya majadiliano. Hapo ndiyo chanzo kwa mtoa rushwa kuwa na ushawishi mkubwa wa kile anachokitaka, na huku mpokea rushwa kubakia akiburuzwa tu na matakwa ya mtoa rushwa.
Ni kuhusu kipengele cha mkataba kinachosema Rais akitaka kujenga chochote karibu na maeneo ya DP World kama vile hospitali karibia na bandari ya Isaka basi atatakiwa kwanza kuomba kibali cha DP World. Wakati Rais huwa ndio anaeombwa ardhi...
Baadhi ya viongozi wakuu wa CCM kwa kujua ama kutokujua, waliona fahari sana "covertly" kupewa vijizawadi na hata kutendewa hisani za hapa na pale. Matokeo yake ndiyo hayo, wameingizwa katika 18 za Muarabu kimaudhui katika makubaliano na mkataba wenyewe.

Wakiangalia nyuma wamekwisha itafuna bazoka, wakiangalia kwa sasa utamu wake haupo tena mdomoni, wakiangalia mbele hawaoni jinsi ya kuondokana na aliyewapa bazoka, ijapo kuwa kwa sasa haina tena utamu wowote ule mdomoni mwao, bali zaidi ya yote wanatakiwa kuzidi kuitafuna pasipo kuwa na ukomo.
 
Sasa wewe hapa unabwabwaja kitu gani, mbona hueleweki?

Hiyo lugha ya "in fact and to be truth" ni lugha gani hiyo. Ulilazimishwa kutumia lugha usiyoijua?

Kwanza haiongezi chochote cha maana katika uliyoandika baada ya maneno hayo.

"...rais kwenda kuomba kwa mwekezaji ili kutekeleza hata miradi ya watu wake..." Ni vipengele gani hivyo unavyozungumzia wewe. "Miradi ya watu wake". Watu wake ni akina nani hao, shemeji zake huyo rais?

Uandishi wa hovyo sana huu unaoonyesha upungufu mkubwa katika mfumo wa elimu yetu.
Sisi wengine wenye akili huru tumemuelewa. Ningeshangaa sana kama na wewe mtumwa wa Waarabu ungemuelewa
 
Kulikuwa na sababu kwamba Mungu Alimwokoa huyu kamanda na yale marisasi. Ni jasiri sana na haogopi. Na hakuna silaha hapa duniani ambayo inaweza kumshinda mtu ambaye haogopi cho chote kikiwemo kifo.

TL ni hazina kubwa kwa taifa hili. Mungu Amtunze 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ni MTU wa kupenda haki Ndio Maana hakufa
 
Infact and to be truth,"angalieni tena upya baadhi ya vipingele,rais kwenda kuomba kwa mwekezaji ili kutekeleza hata miradi ya watu wake si sawa,endapo kama ni kweli kipo kipengele hicho Ndani ya mkataba"
Ndio unazinduka sasa.
 
Ni kuhusu kipengele cha mkataba kinachosema Rais akitaka kujenga chochote karibu na maeneo ya DP World kama vile hospitali karibia na bandari ya Isaka basi atatakiwa kwanza kuomba kibali cha DP World. Wakati Rais huwa ndio anaeombwa ardhi, sio yeye kuomba.

Tundu akauliza hii ni akili au matope? Wananchi wakaitikia "Matopeeeeeeee....."

Haya Waziri Nape, pitisheni kipira mkamate wananchi wote walioitikia matopeeeeeee!


Yaani unampangisha mtu nyumba yako kwa mkataba ambao ukitaka kufanya kitu unamomba mpangaji ruhusu , sijawahi kuna popote ni matope tena matope kweli kweli.
 
Hao Wamisri mnaowaona Leo hamtawaona tena Milele! Exodus 14:13-14

Nadhani Watanganyika wamesimamia kwenye andiko hili la Kibiblia!
 
LISSU hajawahi kupepesa macho hongera sana kamanda ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
 
Infact and to be truth,"angalieni tena upya baadhi ya vipingele,
Masikini Crocodiletooth...Masikini Tanzania...in fact and to be truth, wow! Halafu ukute eti wewe ndio unapitia hivyo vipingele, utaelewa kitu kweli?
rais kwenda kuomba kwa mwekezaji ili kutekeleza hata miradi ya watu wake si sawa,
Na ukishafanya hivyo huna haki yoyote ile ya kumpa tena masharti kwani tayari wewe ni mtumwa. Kila hitaji lako lazima utatakiwa kuomba kibali.
...endapo kama ni kweli kipo kipengele hicho Ndani ya mkataba"
Kwa uwezo wako kilugha, hata kama kipengele hicho kipo huwezi kukiona. In fact and to be truth imekuumbua uwezo wako...hebu epuka mijadala ya aina hii, ukimya wako pekee utakusetiri!

NB: Waliokupa likes labda ndio hao hao walituingiza katika huu mkataba wa hovyo.
 
Back
Top Bottom