Ni kuhusu kipengele cha mkataba kinachosema Rais akitaka kujenga chochote karibu na maeneo ya DP World kama vile hospitali karibia na bandari ya Isaka basi atatakiwa kwanza kuomba kibali cha DP World. Wakati Rais huwa ndio anaeombwa ardhi, sio yeye kuomba.
Tundu akauliza hii ni akili au matope? Wananchi wakaitikia "Matopeeeeeeee....."
Haya Waziri Nape, pitisheni kipira mkamate wananchi wote walioitikia matopeeeeeee!
Tundu akauliza hii ni akili au matope? Wananchi wakaitikia "Matopeeeeeeee....."
Haya Waziri Nape, pitisheni kipira mkamate wananchi wote walioitikia matopeeeeeee!