Uchaguzi 2020 Lissu akwepa kwenda Zanzibar, hao wadhamini kawapataje?

Uchaguzi 2020 Lissu akwepa kwenda Zanzibar, hao wadhamini kawapataje?

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?

Huko mbona hakwenda kuziba barabara na matarumbeta? Kwa ratiba yake leo alipaswa kuwa Pwani na Kesho Zanzibar kahepa sio?

Kesho tukimwona barabarani atakuwa nafanya maandamano haramu sio, kwani wadhamini keshapata. Eti kasema kazunguka mikoa yote kasoro sita.

Nimuulize ameonaje miundombinu? Kazunguka nchi nzima bila kukanyaga barabara ya vumbi lami mwanzo mwisho namwomba aseme "hongera JPM kwa kazi nzuri".

 
hawa walioshindwa kujenga ofisi za chama lami ndio wataweza? kazunguka na Benz nchi nzima na haukupata pancha,
Hakina ofisi lakini kinawakuna vipi siku kikiwa na majengo yake?
 
Back
Top Bottom