Uchaguzi 2020 Lissu akwepa kwenda Zanzibar, hao wadhamini kawapataje?

Uchaguzi 2020 Lissu akwepa kwenda Zanzibar, hao wadhamini kawapataje?

Kanuni inasema wakiwemo wazamini mikoa 2 kutoka Zanzibar na sio mikoa 2 wakati ukiwa Zanzibar.
 
Hizo lami kila serikali itajenga na inatakiwa ijenge maana pesa ni za wananchi sio za viongozi.
Kunywa soda nitajalipa nikikuta mtu anaongea na mishipa inamkauka huwa namfikiria nimuweke fungulipi nashindwa kabisa
 
Yaani ulivyo kulupuka kuleta umbea wako hapa eti hajaenda Zanzibar vp kuhusu Mungu yeye alikwenda zanzibari
 
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Ila afadhali yake yeye Lissu kajaribu kwenda mikoani kusaka wadhamini, wengine walioenda kusaka wadhamini ni akina nani ambao uliwaona huko mikoani.
 
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Hizo lami meko amejenga Kwa hela za mama ako?
 
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Wajinga mko wengi sana kwenye nchi hii miundombinu kwamba magu anatoa kwenye mfuko wake kujenga miu ndombinu?
 
hawa walioshindwa kujenga ofisi za chama lami ndio wataweza? kazunguka na Benz nchi nzima na haukupata pancha,
Mkuu hayo waachie CHADEMA wenyewe, huku tunapanga mikakati ya goli la mkono tena mwaka huu. Pia ni jukumu na wajibu wa serikali kuyafanya yote hayo na tena wafanye zaidi ya hayo.
 
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?..
Si lazima afike kila kona ya nchi, fomu zinaweza kutembezwa na wawakilishi wake badala yake. Wewe umemuona jiwe akitembea kila mkoa kutafuta wadhamini?
 
hawana ofisi nyaraka zao wanatunzia kwako?
Mtoa mada anataka kutuambia kuwa ili iitwe ofisi ni lazima jengo wajenge mwenyewe, wakipanga jengo la mwingine hiyo si ofisi linabaki kuwa jengo tu. Basi tuliite jengo la ofisi ya CDM
 
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Kadanyiwa kazi na Shikamoo mzee..maalim Seif je bado unaswali nyie mmenda wapi. Au aliyewapa kuku ndio kawadhamini
 
Aende Zanzibar ili awafungue macho wikina Amsterdarm na mabeberu wengine kuwa hakubaliki.? Jamaa ni mjanjanja flani hivi. Tafuta clip ya Patrobas Katambi ndio utalielewa vizuri hili tapeli la kisiasa..
Kama ulivyo wewe tapeli wa mapenzi
 
hawa walioshindwa kujenga ofisi za chama lami ndio wataweza? kazunguka na Benz nchi nzima na haukupata pancha,
Hoja za kibwege sana hizi.Nitakupa mifano ya makampuni,Nike
hawana kiwanda, unatakiwa pia utambue tunaenda slow sana, hizo lami zilipaswa kukamilika in the last 30-40 yrs kwa namna tulivyo na mali.
Sasa naona mnakuwa kama mtu mwenye miaka 59 anaejisifia kununua set ya vijiko.
 
Alikozunguka ameona yaliyofanywa na awamu ya tano sasa anaona aibu alichosema huko Ugaibuni
 
Back
Top Bottom