Acha ushamba kijana, ni haki ya serikali yoyote kujenga miundombinu ya nchi yake hata angekuwa Mzee Spunda lazima angejenga !.Kazunguka nchi nzima bila kukanyaga barabara ya vumbi lami mwanzo mwisho
kuwepo kwa lami Ni Kodi zetu ikiwemo na Kodi ya Lissu pia.But kuhusu nzazibar huo ni utaratibu wa chama kuona ni namna gani watawapata wadhamini njia zipo nyingi.Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?..
Barabara zimejengwa na waipakodiLeo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Unajua maana ya MATAGA?Hizo lami amejenga kwenye utawala wake mkiitwa mataga mnakataa
Jiulize Magu ameeda linikuwepo kwa lami Ni Kodi zetu ikiwemo na Kodi ya Lissu pia.But kuhusu nzazibar huo ni utaratibu wa chama kuona ni namna gani watawapata wadhamini njia zipo nyingi.
Kwani Jiwe kaenda Zenj? Au hapa hapa Bara?Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?..
Hilo swali hata Mimi nimejiuliza sijapata jibu.Jiulize Magu ameeda lini
Akikujibu nishtue!! CCM Lissu kawaweka kwenye hali mbaya sana. Hadi wanatia huruma!!Hilo swali hata Mimi nimejiuliza sijapata jibu.
HIVI KWANINI LISSU ANAWANYIMA USINGIZI, SI MNAUAMINISHA UMMA KWAMBA CCM INAPENDWA MBONA KILA SIKU LISSU HAWATOKI MIDOMONI MWENU? UKITAKA KUUONA UCHI WA KUKU SUBIRINI UPEPO UJE NDO MTAJUWA KAMA NGUVU YA UMMA IKOJE KAMA OCTOBA 25 2015 TULIFUNGA MASOKO NA HUDUMA NYINGINE ZA KIJAMII NA KIUCHUMI BASI AWAMU HII ITAKUWA MARA 1000.Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?
Huko mbona hakwenda kuziba barabara na matarumbeta? Kwa ratiba yake leo alipaswa kuwa Pwani na Kesho Zanzibar kahepa sio?
Kesho tukimwona barabarani atakuwa nafanya maandamano haramu sio, kwani wadhamini keshapata. Eti kasema kazunguka mikoa yote kasoro sita.
Nimuulize ameonaje miundombinu? Kazunguka nchi nzima bila kukanyaga barabara ya vumbi lami mwanzo mwisho namwomba aseme "hongera JPM kwa kazi nzuri".
Na hawawezi kuandika hilo pingamizi.Sawa, waambie wenzako muandike pingamizi..this is only thing u can do kukwepa kichapo!!
Ngoja niwatafute wanipe majibu.Akikujibu nishtue!! CCM Lissu kawaweka kwenye hali mbaya sana. Hadi wanatia huruma!!
Ndio maana JF waliweka jukwaa lake. Hapa ni siasa tu. Lissu kaenda na moja kichwani angekanyaga Zenj tu bills zote za mabeberu zingesimamishwa. Kanununi ya yule ami
Aende Zanzibar ili awafungue macho wikina Amsterdarm na mabeberu wengine kuwa hakubaliki? Jamaa ni mjanjanja flani hivi. Tafuta clip ya Patrobas Katambi ndio utalielewa vizuri hili tapeli la kisiasa..
Patrobasi katambi yule mme wako?? Mda wote unawawaza wanaume, na utazalishwa sasa hawamu hii.