Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Ni aliyepata kuwa mlinzi mahsusi wa JPM bwana Oscar.
Jamaa ni bomba na anaendelea na majukumu yake kama kawaida.
Keep RIP JPM!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata haitwi OscarView attachment 2208983
Ni aliyepata kuwa mlinzi mahsusi wa JPM bwana Oscar.
Jamaa ni bomba na anaendelea na majukumu yake kama kawaida.
Keep RIP JPM!
View attachment 2208983
Ni aliyepata kuwa mlinzi mahsusi wa JPM bwana Oscar.
Jamaa ni bomba na anaendelea na majukumu yake kama kawaida.
Keep RIP JPM!
Mr #dishlimetiltMr belgiji ni taahira yule
...hilo ndilo jina lake hayo unayoaminishwa achana nayoHata haitwi Oscar
Lissu hakumaniisha huyuView attachment 2208983
Ni aliyepata kuwa mlinzi mahsusi wa JPM bwana Oscar.
Jamaa ni bomba na anaendelea na majukumu yake kama kawaida.
Keep RIP JPM!
Duuuh!Lissu hakumaniisha huyu
Kuna Mlinzi Black wa Jiwe, Covid-19 limalizana nae, akazikwa Moro
Wa Moro alikuwa naibu katibu mkuu wa raisi, baadaye akawa katibu tawala mkoa wa Mara alizikwa kwao kilosa morogoro, msaidizi wa kijazi. Kwa vile walikuwa wanajua Siri nyingi za nchi yeye katibu mkuu kijazi na makamu wake ilibidi waondolewe. Wangebaki ingekuwa sintofahamu. Sasa hivi msoga nganga wanagawana pesa Kama njugu, za Symbion or Richmond 356billion. Na bado makinikia.Lissu hakumaniisha huyu
Kuna Mlinzi Black wa Jiwe, Covid-19 limalizana nae, akazikwa Moro
Internet ni Mungu II ngoja tuweke hiyo video ya Lissu akiongea na mwandishi wa VOA kuwa "ile njemba nyeusi tii, pandikizi la mtu yenye macho madoogo mlinzi wa Magufuli....tayari kafa kwa Covid" by Tundu Antipasi Lissu ft. AmsterdamWapi kamsingizia sasa??