Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Wale tushawazoea hawana sifa ni opportunist, alikatwa CCM anakimbilia chadema ,kwenye kura akashindwa na kurudi CCM, kwahiyo kauli zao ni za kuchafua tu
Hapo kuna hoja gani????
Refer comments za mhe sumaye alipotoka chadema..
Alisema mtu akitaka kugusa nafasi ya ......nini kinatokea....!