Uchaguzi 2020 Lissu alishapoteza sifa za Kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Uchaguzi 2020 Lissu alishapoteza sifa za Kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Aibu yako, laana ya kuiba fedha kule Chadema ingali inakuafuata na CCM hawana mpango na wewe jikite tu kwenye biashara yako ya mama Lishe na bar bubu
 
Ahahaaaahaaaaa waacheni wafu wazike wafuwaoo

Tuwaangalie tu vifoo vyaoo
 
Bora ana biashara huyu hafi njaa mkuu sijui kama una ajira serikalini lakini mfanyabiashara wa kumheshimu mpaka unakufa
Aibu yako, laana ya kuiba fedha kule Chadema ingali inakuafuata na CCM hawana mpango na wewe jikite tu kwenye biashara yako ya mama Lishe na bar bubu
 
Kumbe bado upo nikajua ulishaila UDC kumbe bado unapiga domo na huonekani nyie wahamiaji ccm kijani wanawanyosha sana pole wewe huwezi hata kumbukwa ukatibu kata
 
Mkono wako unaandika kinafiki nafiki sana.. hujengi hoja ya msingi mara Zitto, Kitila, Waitara mara wewe, dr Slaa which is which hueleweki
 
mkono wako unaandika kinafki nafki sana..hujengi hoja ya msingi mara zitto,kitila,waitara mara wewe,dr slaa which is which huelewek
Mkuu, kama umekuwa ukisoma mabandiko ya huyu Benson baadaya ya chaguzi za ndani za CCM, ni kana kwamba anaomba msamaha arudi tena CHADEMA.

Mwandiko wake umekuwa tofauti sana na mara tu alipoingia CCM.

Inaonekana wajumbe walimkata na hakuteuliwa kuwa mteule kwenye kupeperusha bendera ya CCM kugombea nafasi fulani ubunge au udiwani!!
 
Kwa mujibu wa muongozo wa watia nia wa nafasi mbalimbali wa CHADEMA wa mwaka 2012, Mtiania kwa nafasi ya Urais anapaswa kutangaza nia yake katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja kabla ya tarehe ya Uchaguzi.

Muongozo huu uliandikwa ili kumdhibiti Zitto Kabwe ambaye mwaka 2010 wakati Dr Slaa anagombea Urais yeye akiwa Kigoma akatangaza kugombea Urais 2015. Sasa wakubwa wakaamua kumdhibiti mapema.

Mwaka 2013 Zitto akaingia kwenye mgogoro baada ya kunaswa kwa mkakati wa mabadiliko 2013 ulioandikwa na Mwigamba, Kitila na Waitara na mimi kwa mbali kidogo.

Sasa Mh. Tundu Lissu ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA ametangaza nia ya kugombea Urais mwaka 2017, 2018, 2019 na 2020 katika matamko yake mbalimbali na mikutano na waandishi wa habari ndani na nje ya nchi.

Sasa kamati kuu hii ya CHADEMA ambayo iko chini ya Mbowe ambaye pia nia yake ya kuutaka Urais imeonekana kwa vitendo mara zaidi ya maneno itampitisha Lissu? Hawawezi kumpitisha. Nia wanayo na sababu wanayo

Nilisema kuwa mgogoro unaofuata CHADEMA sasa ni kati ya Mbowe na Lissu! Huu ndio utakuwa hatma ya Chama hicho au ufufuko wake. Muda utatuambia.

Mimi naamini Lissu atagombea kwa tiketi ya NCCR
Hii mada uliandika nadhani kabla "wajumbe" hawajakutenda ya kukutenda na kukushikisha adabu!
 
Hapo kuna hoja gani????

Refer comments za mhe Sumaye alipotoka chadema..

Alisema mtu akitaka kugusa nafasi ya ...... nini kinatokea....!
Na nafasi ya jiwe je, Membe alipotaka kuigusa nini kimemtokea??
 
Baada ya Wajumbe kufanya yao na Ujio wa Mh Lisu hapo jana, nadhani sasa kupitia andiko hili unaweza kujitafakar wewe ni mchambuzi wa aina gani.
 
Back
Top Bottom