Kabulala
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 695
- 936
Jana katika mahojiano na DW , Lema alisema Lissu ndio mgombea wao wa Urais... unless Ile ilikua slip of toungue.Lissu anajisumbua tu....ngoja amiminiwe tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana katika mahojiano na DW , Lema alisema Lissu ndio mgombea wao wa Urais... unless Ile ilikua slip of toungue.Lissu anajisumbua tu....ngoja amiminiwe tena
Jiandae kuikimbia nchi maana ndiyo atakuwa rais wako
Aibu yako, laana ya kuiba fedha kule Chadema ingali inakuafuata na CCM hawana mpango na wewe jikite tu kwenye biashara yako ya mama Lishe na bar bubu
Jana katika mahojiano na DW , Lema alisema Lissu ndio mgombea wao wa Urais... unless Ile ilikua slip of toungue.
Aibu yako, laana ya kuiba fedha kule Chadema ingali inakuafuata na CCM hawana mpango na wewe jikite tu kwenye biashara yako ya mama lishe na bar bubu
Mkuu, kama umekuwa ukisoma mabandiko ya huyu Benson baadaya ya chaguzi za ndani za CCM, ni kana kwamba anaomba msamaha arudi tena CHADEMA.mkono wako unaandika kinafki nafki sana..hujengi hoja ya msingi mara zitto,kitila,waitara mara wewe,dr slaa which is which huelewek
hakuna hoja hapa, labda akili zenu ndogo mtaona kuna hoja.mbona ufipa mapovu badala ya kujibu hoja!
Hii mada uliandika nadhani kabla "wajumbe" hawajakutenda ya kukutenda na kukushikisha adabu!Kwa mujibu wa muongozo wa watia nia wa nafasi mbalimbali wa CHADEMA wa mwaka 2012, Mtiania kwa nafasi ya Urais anapaswa kutangaza nia yake katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja kabla ya tarehe ya Uchaguzi.
Muongozo huu uliandikwa ili kumdhibiti Zitto Kabwe ambaye mwaka 2010 wakati Dr Slaa anagombea Urais yeye akiwa Kigoma akatangaza kugombea Urais 2015. Sasa wakubwa wakaamua kumdhibiti mapema.
Mwaka 2013 Zitto akaingia kwenye mgogoro baada ya kunaswa kwa mkakati wa mabadiliko 2013 ulioandikwa na Mwigamba, Kitila na Waitara na mimi kwa mbali kidogo.
Sasa Mh. Tundu Lissu ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA ametangaza nia ya kugombea Urais mwaka 2017, 2018, 2019 na 2020 katika matamko yake mbalimbali na mikutano na waandishi wa habari ndani na nje ya nchi.
Sasa kamati kuu hii ya CHADEMA ambayo iko chini ya Mbowe ambaye pia nia yake ya kuutaka Urais imeonekana kwa vitendo mara zaidi ya maneno itampitisha Lissu? Hawawezi kumpitisha. Nia wanayo na sababu wanayo
Nilisema kuwa mgogoro unaofuata CHADEMA sasa ni kati ya Mbowe na Lissu! Huu ndio utakuwa hatma ya Chama hicho au ufufuko wake. Muda utatuambia.
Mimi naamini Lissu atagombea kwa tiketi ya NCCR
Jiwe??Hata kama watampitisha sidhani kama kuna mtanzania yuko tayari kumpa nchi mtu muhuni, mlopokaji na msaliti wa watanzania, huyu hafai hata kwa bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nafasi ya jiwe je, Membe alipotaka kuigusa nini kimemtokea??Hapo kuna hoja gani????
Refer comments za mhe Sumaye alipotoka chadema..
Alisema mtu akitaka kugusa nafasi ya ...... nini kinatokea....!
Ni Kama popo.. hajulikani kasimamia wapiHii mada uliandika nadhani kabla "wajumbe" hawajakutenda ya kukutenda na kukushikisha adabu!