Uchaguzi 2020 Lissu alishapoteza sifa za Kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Uchaguzi 2020 Lissu alishapoteza sifa za Kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Hakuna mahali katika hiyo miaka Lissu alitangaza kugombea urais bali alisema kama"Chama kitampa nafasi ya kugombea" halafu kuna mtu kama Zitto anasema "Nitagombea urais kwa tiketi ya Chadema 2015"hizi ni kauli zenye maana tofauti kabisa.
Inaonekana ccm wanamuogopa sana Lissu.Lakini kitu cha msingi ni kuangalia ilani ya chama iliyo bora.Hatuangalii mtu in personal bali tunaangalia atatufanyia nini huyo mtu tukimchagua.
Kwa hiyo Zitto angegombea bila kupewa nafasi na Chama? Lissu alitangaza nia tangu miaka hiyo. Na kwenye ziara yake huko Ulaya na Marekani alikuwa akirudia kutangaza kila nia yake kila mara
 
Aisee vizuri kama ni kweli huyo Dr Mollel aliyaongea hayo basi naona upelelezi utakamilika very soon maana ameirahisishia jeshi kufanya kazi yake
Ukieleza ni namna gani alipigwa risasi tokea upande wa kushoto zikamjeruhi mguu wa kulia alikokuwa amekaa dereva na dereva hakupata jeraha lolote nitajua Dr. Mollel ni mwongo aliposema alishiriki kwenye vikao vya kumshambulia Lissu akiwa na viongozi wa chadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Benson pole sana kwa yaliyokukuta mkuu, kabla hujafa hujaumbika, nimepata habari zako nimesikitika sana !
 
Kosa kubwa la Lissu ni kule kujitetea Mashoga hatharani. Kuwatetea acacia na makenikia yao. Wako wa dini zote awapendi
 
Mbona una hoja nyepesi sana
Jenga hoja juu ya mwamba ueleweke

Unaongea zaidi unavyotaka iwe sio uhalisia.
 
Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. CCM mwanzo walipokuchukua walidhani wamepata kifaa, ila kwa mabandiko kama haya wanajua fika walipoteza hela zao.
 
Chama hiki kinamfia Mnyika mikono mwake.... Karma ya neno dhaifu alilolitumia Bungeni itaanza kumtafuna muda si mrefu....!
 
Ukieleza ni namna gani alipigwa risasi tokea upande wa kushoto zikamjeruhi mguu wa kulia alikokuwa amekaa dereva na dereva hakupata jeraha lolote nitajua Dr. Mollel ni mwongo aliposema alishiriki kwenye vikao vya kumshambulia Lissu akiwa na viongozi wa chadema.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
 
Wewe ni kama fisi anayemfuata binadamu kwa nyuma akitegemea binadamu atadondosha mkono.

Mbona chadema inawaumiza sana vichwa hata wakitulia?
Yeyote chadema itakayempitisha sisi ndo tutamwunga mkono kwahiyo wewe huo upupu wako hauna mantiki
Lissu ana kesi mbili za uchochezi na mahakamani haonekani. Akitua tu bongo anakamatwa.
 
ndio Utakuwa Mwisho wa amani ya taifa ili akiuawa nipo tayari kufadhiri hata kikundi cha kigaidi.
Kama ni Lisu wa MIGA wewe fadhili tu huo ugaidi tena bora uanze sasa kufanya training. HATUMPI KURA
 
Lowasa alitangaza nia kugombea Urais pitia chadema miezi miwili kabla ya uchaguzi.
 
Kwanza atawezaje kuwatumikia watanzania wakati ni kiwete?
Aisee, haya bwana, Kesho yako unaijua wewe? Unaweza ringia uzima ulio nao kesho ukapata ajili ukawa kilema maisha. Watanzania ni watu wenye utu sio namna hii
 
Back
Top Bottom