Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 648
- 1,485
- Thread starter
-
- #41
Kwa hiyo Zitto angegombea bila kupewa nafasi na Chama? Lissu alitangaza nia tangu miaka hiyo. Na kwenye ziara yake huko Ulaya na Marekani alikuwa akirudia kutangaza kila nia yake kila maraHakuna mahali katika hiyo miaka Lissu alitangaza kugombea urais bali alisema kama"Chama kitampa nafasi ya kugombea" halafu kuna mtu kama Zitto anasema "Nitagombea urais kwa tiketi ya Chadema 2015"hizi ni kauli zenye maana tofauti kabisa.
Inaonekana ccm wanamuogopa sana Lissu.Lakini kitu cha msingi ni kuangalia ilani ya chama iliyo bora.Hatuangalii mtu in personal bali tunaangalia atatufanyia nini huyo mtu tukimchagua.
Ukieleza ni namna gani alipigwa risasi tokea upande wa kushoto zikamjeruhi mguu wa kulia alikokuwa amekaa dereva na dereva hakupata jeraha lolote nitajua Dr. Mollel ni mwongo aliposema alishiriki kwenye vikao vya kumshambulia Lissu akiwa na viongozi wa chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je huwa hayatokeiMaandiko yako yote huwa yamebeba kuhisi na kusadikika mambo ya CHADEMA waache wenyewe wewe hangaika na yako upate ugali wako,au unalipwa kwa kuanzisha uzi humu JF?
Ukieleza ni namna gani alipigwa risasi tokea upande wa kushoto zikamjeruhi mguu wa kulia alikokuwa amekaa dereva na dereva hakupata jeraha lolote nitajua Dr. Mollel ni mwongo aliposema alishiriki kwenye vikao vya kumshambulia Lissu akiwa na viongozi wa chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akupe uhai ili uje udhalilikeChama hiki kinamfia Mnyika mikono mwake.... Karma ya neno dhaifu alilolitumia Bungeni itaanza kumtafuna muda si mrefu....!
Lissu ana kesi mbili za uchochezi na mahakamani haonekani. Akitua tu bongo anakamatwa.Wewe ni kama fisi anayemfuata binadamu kwa nyuma akitegemea binadamu atadondosha mkono.
Mbona chadema inawaumiza sana vichwa hata wakitulia?
Yeyote chadema itakayempitisha sisi ndo tutamwunga mkono kwahiyo wewe huo upupu wako hauna mantiki
Kama ni Lisu wa MIGA wewe fadhili tu huo ugaidi tena bora uanze sasa kufanya training. HATUMPI KURAndio Utakuwa Mwisho wa amani ya taifa ili akiuawa nipo tayari kufadhiri hata kikundi cha kigaidi.
Hana hoja zaidi ya kebehi.Mkuu, huwezi kujikita kwenye hoja Tu ukaacha kutweza Utu wa mtu?
Je huwa hayatokei
Aisee, haya bwana, Kesho yako unaijua wewe? Unaweza ringia uzima ulio nao kesho ukapata ajili ukawa kilema maisha. Watanzania ni watu wenye utu sio namna hiiKwanza atawezaje kuwatumikia watanzania wakati ni kiwete?
Wabesa besa?Lissu anatafuta sababu ya kufukuzwa ahamie ACT
Halafu sheria za uchaguzi zinataka muombaji achumue fomu mwenyewe,lissu anaogopa kurudi kwa usaliti alioufanya
Mungu akupe uhai ili uje udhalilike
Aisee, haya bwana, Kesho yako unaijua wewe? Unaweza ringia uzima ulio nao kesho ukapata ajili ukawa kilema maisha. Watanzania ni watu wenye utu sio namna hii