Pre GE2025 Lissu: Aliyemleta Abdul kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti na anamuunga mkono 'Mwenyekiti'

Pre GE2025 Lissu: Aliyemleta Abdul kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti na anamuunga mkono 'Mwenyekiti'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

images - 2024-12-19T090035.987.jpeg

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara na 'mgombea' wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu amewashukia wale wote wanaodai kuwa miongoni ya watu wanaomuunga mkono katika kinyang'anyiro cha kutafuta nafasi hiyo ni wale ambao mara zote amekuwa akiwatuhumu kuwa wanajihusisha na vitendo vya rushwa ndani ya CHADEMA

Akizunguma na wanahabari kwenye ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam Desemba 18.2024 ikiwa ni muda mfupi baada ya kurejesha fomu za kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa katika mchakato wa ndani wa uchaguzi unaoendelea Lissu amesema amekanusha vikali madai ya kuungwa mkono na watu wanaojihusisha na vitendo hivyo.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Amesema miongoni mwa wale anaowatuhumu mara kwa mara kujihusisha na vitendo vya rushwa mmoja wapo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (ingawa Lissu hajabainisha kama mgombea huyo anatokea upande wa Tanzania Bara au Zanzibar), na kwamba mtu huyo ametangaza hadharani kuwa anamuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe katika mchakato huo (ingawa Mbowe mwenyewe ameahidi kutoa msimamo wake ndani ya saa 48)

Aidha, Lissu ameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa mtu huyo (anayemtuhumu) ndiye aliyemfuata nyumbani kwake (Tegeta, Dar es Salaam) akiwa ameambatana na mtu mmoja aliyemtaja kwa jina moja la 'Abdul' ambapo wawili hao walifika kumshawishi apokee rushwa, na kwamba walitumia nafasi hiyo kumueleza watu wengine ndani ya chama hicho waliofikiwa na 'Abdul' na 'kuchukua chao', lakini Lissu aliwakatalia

"Mtu aliyemleta Abdul nyumbani kwangu kuja kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, na amesema kwa maneno yake mwenyewe kuwa anamuunga Mwenyekiti (Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa) mkono, sasa hao wanaosema niliowasema mimi (kuwa wanajihusisha na rushwa) na wananiunga mkono ni kina nani?, ninajuwa aliyemleta Abdul nyumbani kwangu anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama na amesema anamuunga mkono Mwenyekiti, maana yake mimi najuwa aliyeniambia amepewa hela na Abdul na aliyeniambia wengine waliyepewa hela na Abdul, na ndiye aliyemleta Abdul nyumbani kwangu na ndiye mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, huyo ambaye mimi nimemsema na ananiunga mkono ni nani?" -Lissu
 
Si ajabu mwenyekiti akasema anaenda kuwaza na kuwazua ndani ya saa 48. Akiona chama CHAKE kinaenda kuzamishwa, yeye kamanda ANARUDI MZIGONI.

Maana yake: kamanda alikuwa ameamua kuachia ngazi na kutoka mzigoni.

Lakini sasa kwa sababu ya upepo wenyewe unavyovuma, na pia ^kwa ushawishi mkubwa^ wa (?) na pia kwa sababu inaonekana hakuwa ameridhia yeye mwenyewe kutoka moyoni, ameamua aende kuchukua fomu ya uenyekiti.

Ikumbukwe kwamba mwenyekiti akichukua fomu, LAZIMA aishinde hata kama yeye mwenyewe ndiye angekuwa anajiunga mkono, halafu wajumbe wengine wote wawe upande wa TAL. Sijui inaeleweka hapo?

cc: Pascal Mayalla unadhani kwa mtindo huu, dume la simba litakuwa moja tu pale mbugani?
 
Wakuu,


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara na 'mgombea' wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu amewashukia wale wote wanaodai kuwa miongoni ya watu wanaomuunga mkono katika kinyang'anyiro cha kutafuta nafasi hiyo ni wale ambao mara zote amekuwa akiwatuhumu kuwa wanajihusisha na vitendo vya rushwa ndani ya CHADEMA

Akizunguma na wanahabari kwenye ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam Desemba 18.2024 ikiwa ni muda mfupi baada ya kurejesha fomu za kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa katika mchakato wa ndani wa uchaguzi unaoendelea Lissu amesema amekanusha vikali madai ya kuungwa mkono na watu wanaojihusisha na vitendo hivyo.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Amesema miongoni mwa wale anaowatuhumu mara kwa mara kujihusisha na vitendo vya rushwa mmoja wapo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (ingawa Lissu hajabainisha kama mgombea huyo anatokea upande wa Tanzania Bara au Zanzibar), na kwamba mtu huyo ametangaza hadharani kuwa anamuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe katika mchakato huo (ingawa Mbowe mwenyewe ameahidi kutoa msimamo wake ndani ya saa 48)

Aidha, Lissu ameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa mtu huyo (anayemtuhumu) ndiye aliyemfuata nyumbani kwake (Tegeta, Dar es Salaam) akiwa ameambatana na mtu mmoja aliyemtaja kwa jina moja la 'Abdul' ambapo wawili hao walifika kumshawishi apokee rushwa, na kwamba walitumia nafasi hiyo kumueleza watu wengine ndani ya chama hicho waliofikiwa na 'Abdul' na 'kuchukua chao', lakini Lissu aliwakatalia

"Mtu aliyemleta Abdul nyumbani kwangu kuja kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, na amesema kwa maneno yake mwenyewe kuwa anamuunga Mwenyekiti (Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa) mkono, sasa hao wanaosema niliowasema mimi (kuwa wanajihusisha na rushwa) na wananiunga mkono ni kina nani?, ninajuwa aliyemleta Abdul nyumbani kwangu anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama na amesema anamuunga mkono Mwenyekiti, maana yake mimi najuwa aliyeniambia amepewa hela na Abdul na aliyeniambia wengine waliyepewa hela na Abdul, na ndiye aliyemleta Abdul nyumbani kwangu na ndiye mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, huyo ambaye mimi nimemsema na ananiunga mkono ni nani?" -Lissu
Lissu kaamua kumwaga ugali..
 
Mbowe anaweza kuwa ni mmoja wa hao waliopewa hela na Abdul ndio maana Lissu anasita kuwataja. Lakini naamini iko siku atawataja.
Pengine hata Mwenyekiti atakuwa analazimishwa na kina Abdul aendelee kuwa Mwenyekiti.

Siasa hizi ni biashara mkuu, Tundu anataka kutoka nje ya mfumo ndio maana unaona watu wengi ndani ya chama wamechanganyikiwa na wapambe wa CCM pia wamechanganyikiwa.
 
Wakuu,


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara na 'mgombea' wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu amewashukia wale wote wanaodai kuwa miongoni ya watu wanaomuunga mkono katika kinyang'anyiro cha kutafuta nafasi hiyo ni wale ambao mara zote amekuwa akiwatuhumu kuwa wanajihusisha na vitendo vya rushwa ndani ya CHADEMA

Akizunguma na wanahabari kwenye ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam Desemba 18.2024 ikiwa ni muda mfupi baada ya kurejesha fomu za kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa katika mchakato wa ndani wa uchaguzi unaoendelea Lissu amesema amekanusha vikali madai ya kuungwa mkono na watu wanaojihusisha na vitendo hivyo.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Amesema miongoni mwa wale anaowatuhumu mara kwa mara kujihusisha na vitendo vya rushwa mmoja wapo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (ingawa Lissu hajabainisha kama mgombea huyo anatokea upande wa Tanzania Bara au Zanzibar), na kwamba mtu huyo ametangaza hadharani kuwa anamuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe katika mchakato huo (ingawa Mbowe mwenyewe ameahidi kutoa msimamo wake ndani ya saa 48)

Aidha, Lissu ameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa mtu huyo (anayemtuhumu) ndiye aliyemfuata nyumbani kwake (Tegeta, Dar es Salaam) akiwa ameambatana na mtu mmoja aliyemtaja kwa jina moja la 'Abdul' ambapo wawili hao walifika kumshawishi apokee rushwa, na kwamba walitumia nafasi hiyo kumueleza watu wengine ndani ya chama hicho waliofikiwa na 'Abdul' na 'kuchukua chao', lakini Lissu aliwakatalia

"Mtu aliyemleta Abdul nyumbani kwangu kuja kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, na amesema kwa maneno yake mwenyewe kuwa anamuunga Mwenyekiti (Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa) mkono, sasa hao wanaosema niliowasema mimi (kuwa wanajihusisha na rushwa) na wananiunga mkono ni kina nani?, ninajuwa aliyemleta Abdul nyumbani kwangu anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama na amesema anamuunga mkono Mwenyekiti, maana yake mimi najuwa aliyeniambia amepewa hela na Abdul na aliyeniambia wengine waliyepewa hela na Abdul, na ndiye aliyemleta Abdul nyumbani kwangu na ndiye mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, huyo ambaye mimi nimemsema na ananiunga mkono ni nani?" -Lissu
Nawaombea CHADEMA wavuke salama.

Hii issue ya uchaguzi ni turufu kwa CCM kuingilia vyama pinzani. CCM imeshakinai kuiba kura za chaguzi kuu na sasa inaenda kuiba kura chaguzi za ndani za vyama
 
Wakuu,


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara na 'mgombea' wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu amewashukia wale wote wanaodai kuwa miongoni ya watu wanaomuunga mkono katika kinyang'anyiro cha kutafuta nafasi hiyo ni wale ambao mara zote amekuwa akiwatuhumu kuwa wanajihusisha na vitendo vya rushwa ndani ya CHADEMA

Akizunguma na wanahabari kwenye ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam Desemba 18.2024 ikiwa ni muda mfupi baada ya kurejesha fomu za kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa katika mchakato wa ndani wa uchaguzi unaoendelea Lissu amesema amekanusha vikali madai ya kuungwa mkono na watu wanaojihusisha na vitendo hivyo

Amesema miongoni mwa wale anaowatuhumu mara kwa mara kujihusisha na vitendo vya rushwa mmoja wapo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (ingawa Lissu hajabainisha kama mgombea huyo anatokea upande wa Tanzania Bara au Zanzibar), na kwamba mtu huyo ametangaza hadharani kuwa anamuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe katika mchakato huo (ingawa Mbowe mwenyewe ameahidi kutoa msimamo wake ndani ya saa 48)

Aidha, Lissu ameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa mtu huyo (anayemtuhumu) ndiye aliyemfuata nyumbani kwake (Tegeta, Dar es Salaam) akiwa ameambatana na mtu mmoja aliyemtaja kwa jina moja la 'Abdul' ambapo wawili hao walifika kumshawishi apokee rushwa, na kwamba walitumia nafasi hiyo kumueleza watu wengine ndani ya chama hicho waliofikiwa na 'Abdul' na 'kuchukua chao', lakini Lissu aliwakatalia

"Mtu aliyemleta Abdul nyumbani kwangu kuja kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, na amesema kwa maneno yake mwenyewe kuwa anamuunga Mwenyekiti (Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa) mkono, sasa hao wanaosema niliowasema mimi (kuwa wanajihusisha na rushwa) na wananiunga mkono ni kina nani?, ninajuwa aliyemleta Abdul nyumbani kwangu anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama na amesema anamuunga mkono Mwenyekiti, maana yake mimi najuwa aliyeniambia amepewa hela na Abdul na aliyeniambia wengine waliyepewa hela na Abdul, na ndiye aliyemleta Abdul nyumbani kwangu na ndiye mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, huyo ambaye mimi nimemsema na ananiunga mkono ni nani?" -Lissu
Sasa ngoma inazidi kunoga isee!

Katajwa aliyepeleka burungutu la mlungula.

Hapo tayari kajulikana dhahiri, ingawa kulikuwa na minong'ono kitambo ikimtaja.

Anachokosea Lisu, ni kufichaficha majina ya hao mchwa, angeliwataja taifa lijue, raia wengine mafumbo hawawezi kuyafumbua wanabakia kuhisi hisi.

Inamaana sasa nimeelewa maana ya Mbowe kulazimishwa 'atake asitake' kugombea wenyekiti hata kama ni ukiukwaji wa misingi ya demokrasia ya Katiba yao!

Maana yake ni kwamba, Mbowe akiachia ngazi, hao mibaka uchumi wote watakimbilia Ccm kujifanya wanaunga mkono juhudi za mweshimiwa.

Ndiyo maana ya kufa au kupona, haramu au halali kukilinda chama na Mbowe 'kwa wivu mkubwa' kutakiwa abaki madarakani kumbe sababu ni kulinda genge la wapigaji!

Saa24 za maamuzi ya Mbowe yafike haraka tuone structure ya Cdm itakavyokuwa.
 
Wakuu,


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara na 'mgombea' wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu amewashukia wale wote wanaodai kuwa miongoni ya watu wanaomuunga mkono katika kinyang'anyiro cha kutafuta nafasi hiyo ni wale ambao mara zote amekuwa akiwatuhumu kuwa wanajihusisha na vitendo vya rushwa ndani ya CHADEMA

Akizunguma na wanahabari kwenye ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam Desemba 18.2024 ikiwa ni muda mfupi baada ya kurejesha fomu za kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa katika mchakato wa ndani wa uchaguzi unaoendelea Lissu amesema amekanusha vikali madai ya kuungwa mkono na watu wanaojihusisha na vitendo hivyo.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Amesema miongoni mwa wale anaowatuhumu mara kwa mara kujihusisha na vitendo vya rushwa mmoja wapo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (ingawa Lissu hajabainisha kama mgombea huyo anatokea upande wa Tanzania Bara au Zanzibar), na kwamba mtu huyo ametangaza hadharani kuwa anamuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe katika mchakato huo (ingawa Mbowe mwenyewe ameahidi kutoa msimamo wake ndani ya saa 48)

Aidha, Lissu ameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa mtu huyo (anayemtuhumu) ndiye aliyemfuata nyumbani kwake (Tegeta, Dar es Salaam) akiwa ameambatana na mtu mmoja aliyemtaja kwa jina moja la 'Abdul' ambapo wawili hao walifika kumshawishi apokee rushwa, na kwamba walitumia nafasi hiyo kumueleza watu wengine ndani ya chama hicho waliofikiwa na 'Abdul' na 'kuchukua chao', lakini Lissu aliwakatalia

"Mtu aliyemleta Abdul nyumbani kwangu kuja kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, na amesema kwa maneno yake mwenyewe kuwa anamuunga Mwenyekiti (Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa) mkono, sasa hao wanaosema niliowasema mimi (kuwa wanajihusisha na rushwa) na wananiunga mkono ni kina nani?, ninajuwa aliyemleta Abdul nyumbani kwangu anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama na amesema anamuunga mkono Mwenyekiti, maana yake mimi najuwa aliyeniambia amepewa hela na Abdul na aliyeniambia wengine waliyepewa hela na Abdul, na ndiye aliyemleta Abdul nyumbani kwangu na ndiye mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, huyo ambaye mimi nimemsema na ananiunga mkono ni nani?" -Lissu
Mbowe awe makini Sana kwani Lisu muda Siyo mrefu anakwenda kumwaga mboga, hasara itakuwa kwa Mbowe na CHADEMA kwa Ujumla , Lisu Hana chochote cha kupoteza maana hakuna chochote amewahi kunufaika nacho katika hizo biashara za chinichini hapo CHADEMA
 
Wakuu,


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara na 'mgombea' wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu amewashukia wale wote wanaodai kuwa miongoni ya watu wanaomuunga mkono katika kinyang'anyiro cha kutafuta nafasi hiyo ni wale ambao mara zote amekuwa akiwatuhumu kuwa wanajihusisha na vitendo vya rushwa ndani ya CHADEMA

Akizunguma na wanahabari kwenye ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam Desemba 18.2024 ikiwa ni muda mfupi baada ya kurejesha fomu za kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa katika mchakato wa ndani wa uchaguzi unaoendelea Lissu amesema amekanusha vikali madai ya kuungwa mkono na watu wanaojihusisha na vitendo hivyo.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Amesema miongoni mwa wale anaowatuhumu mara kwa mara kujihusisha na vitendo vya rushwa mmoja wapo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (ingawa Lissu hajabainisha kama mgombea huyo anatokea upande wa Tanzania Bara au Zanzibar), na kwamba mtu huyo ametangaza hadharani kuwa anamuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe katika mchakato huo (ingawa Mbowe mwenyewe ameahidi kutoa msimamo wake ndani ya saa 48)

Aidha, Lissu ameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa mtu huyo (anayemtuhumu) ndiye aliyemfuata nyumbani kwake (Tegeta, Dar es Salaam) akiwa ameambatana na mtu mmoja aliyemtaja kwa jina moja la 'Abdul' ambapo wawili hao walifika kumshawishi apokee rushwa, na kwamba walitumia nafasi hiyo kumueleza watu wengine ndani ya chama hicho waliofikiwa na 'Abdul' na 'kuchukua chao', lakini Lissu aliwakatalia

"Mtu aliyemleta Abdul nyumbani kwangu kuja kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, na amesema kwa maneno yake mwenyewe kuwa anamuunga Mwenyekiti (Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa) mkono, sasa hao wanaosema niliowasema mimi (kuwa wanajihusisha na rushwa) na wananiunga mkono ni kina nani?, ninajuwa aliyemleta Abdul nyumbani kwangu anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama na amesema anamuunga mkono Mwenyekiti, maana yake mimi najuwa aliyeniambia amepewa hela na Abdul na aliyeniambia wengine waliyepewa hela na Abdul, na ndiye aliyemleta Abdul nyumbani kwangu na ndiye mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama, huyo ambaye mimi nimemsema na ananiunga mkono ni nani?" -Lissu
Wewe umetumwa kuoneza uongo jf kipindi hichi. Weka au video yake tuone
 
Back
Top Bottom