Tunajua mnachotaka kufanya wauaji wakubwa nyie.lissu sio chacha wangwe, dikteta mbowe ajipange awamu hii yeye na familia yake wamiliki wa chama.
Duh imekuwa hivyo tena?Ukiona CCM wanazidisha uchochezi ujue kuna mtu atauliwa halafu jumba bovu aangushiwe Mbowe
Kamanda Lissu baada ya kumgusa mbowe amekosa fikra pevu?π π π
Kwani Mbowe alishwahi kusema yeye ndio aliyeshika CHUPA?
Halafu harakati za Lissu sasa hivi anazifanya kwa kivuli cha chama gani?
Hebu wana JF muwe na Fikra pevu basi.
Ukiandika habari moja ya kuchafua Chadema jf, Unalipwa Laki 1 kutoka kwa Pedeshee, ndio maana wanapishana humu na muda si mrefu wataanza kuloganaMbona hizi habari za chadema zimeshika kasi humu... kwani kunanini?!