Pre GE2025 Lissu: Aliyeshika chupa ya damu nikipelekwa Nairobi ni Msigwa (sio Mbowe)

Pre GE2025 Lissu: Aliyeshika chupa ya damu nikipelekwa Nairobi ni Msigwa (sio Mbowe)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukiwa na waridi ni lazima unukie waridi,ama amini nje ya waridi inaweza kuwa na marashi yasiyowavutia wengi,demokrasia ya Sasa ni ya hovyo kabisa,usiposhinda wamehujumu,badala ya kufanya propoganda Sasa mwendo wa kuzusha,kupagazie,kushutumu,kuzira na kuyumbisha.
Haya unayosema yanafanywa na Lissu?
 
1717750406271.png
... dawa ya majini ni mifupa ya nguruwe, dawa ya nanihii ... ni kreti moja tu ya bia!
TUMEGUNDUA!
 
Vipi unaumia?

Vumilia ndio kwanza kunakucha. Lissu sio chacha wangwe.
CCM wanafurahi kwa Mbowe kupisha uenyekiti. Ila watajua hawajui kwani totafuti ya Mbowe na Lissu ni kwamba Mbowe ni mstaarabu hataki vurugu na msikivu, Lissu ana misimamo ambayo haivumili chadema hii ya wanyonge haitakuwa hivyo tena under Lissu. Hivyo ni disadvantage kwa CCM. Mark my word.
 
Back
Top Bottom