Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mbona hizi habari za chadema zimeshika kasi humu... kwani kunanini?!
Uchaguzi umekaribia, lazima wadanganyika wadanganywe ili CCM ichukue kura kirahisi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hizi habari za chadema zimeshika kasi humu... kwani kunanini?!
MachawaMbona hizi habari za chadema zimeshika kasi humu... kwani kunanini?!
Inasikitisha sanaMachawa
Shadowing PropagandaUkiona CCM wanazidisha uchochezi ujue kuna mtu atauliwa halafu jumba bovu aangushiwe Mbowe
Uchaguzi umekaribia, lazima wadanganyika wadanganywe ili CCM ichukue kura kirahisi...
Tunashida sana wadanganyika sisi!!Machawa
Chadema inapendwa sana. Kwahiyo muda wote iwe makini sana ktk harakati na kazi zake. Kosa dogo tu linageuka kuwa nongwa kwa wananchi. Watu wameichoka ccm hivyo matumaini yao yako chadema, hivyo ikizingua inaumiza watu wengi sanaMbona hizi habari za chadema zimeshika kasi humu... kwani kunanini?!
Aliyesema hivyo ni Godbless Lema😂 😂 😂
Kwani Mbowe alishwahi kusema yeye ndio aliyeshika CHUPA?
Halafu harakati za Lissu sasa hivi anazifanya kwa kivuli cha chama gani?
Hebu wana JF muwe na Fikra pevu basi.
Kumbe ni Lema sio Mbowe?Aliyesema hivyo ni Godbless Lema
Hii HAWEZI kukujibu.Kwa hiyo Lissu anaichafua chadema kusema ukweli aliyemsaidia kushika chupa ni msigwa sio mbowe
🥲Ukiona CCM wanazidisha uchochezi ujue kuna mtu atauliwa halafu jumba bovu aangushiwe Mbowe
Mjomba wake Lema ndio anaesem hivyo na Mbowe hakuwahi kukabushaHujaelewa hoja yangu na umekurupuka kunipa quote, nimeuliza hivi Kwani Mbowe alishawahi kusema Yeye ndiye aliyeshika CHUPA ya damu?
Kwa mara ya kwanza naanza kupata wasiwasi na uwezo wa Mheshimiwa Lissu katika namna kuendesha siasa zake.😂 😂 😂
Kwani Mbowe alishwahi kusema yeye ndio aliyeshika CHUPA?
Halafu harakati za Lissu sasa hivi anazifanya kwa kivuli cha chama gani?
Hebu wana JF muwe na Fikra pevu basi.
Tena zikiwalenga Tundu Lissu (M/M/Kiti) na Freeman Mbowe (M/Kiti).Mbona hizi habari za chadema zimeshika kasi humu... kwani kunanini?!
..Na Mbowe alishatolea ufafanuzi suala hilo kabla hata Lissu hajarudi Tanzania.
..sikiliza vizuri hapa chini.
View: https://www.youtube.com/watch?v=fyDrDx9HHAQ
Ujinga wake ni nini? Unaweza kufafanua ukitaka na kama unaujua kweli===Kumbe Lissu ni mjinga sana.Katika siasa huwezi kusonga mbele kama unajiweka ktk eneo la vurugu ndani ya base yako mwenyewe.
Lissu hakuwa na fahamu,Mbowe kaweka kila kitu wazi sijui kwanini unapenda ligi.Nafikiri ulimaanisha Lema anasema uongo ni muongo, uzuri Lissu ameshaweka clear kila kitu.